Wanasheria nisaidieni: Nina eneo langu lakini nimekuta limepangiwa matumizi bila kunihusisha

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,415
74,070
Wameligawa kuwa la open space, PB, shule , kanisa, msikiti, makazi etc etc.

Sheria iansemaje na kama una case law kuhusu scenario hiyo naomba
 
So una Ushahidi wa maneno ? huna ata sale agreement ?
I have a sale agreement witnessed by all authorities of the area situate.

All in all nadhani hujanielwa an ndilo tatizo nnalolipata. Je Halmashauri ya mji inatumia sheria gani kutangaza matumizi ya eneo langu bila fidia? (labda niliweke hivyo).
Planning area najua huwezi kufanya maendelezo say ya ujenzi bila kibali, but not confiscating ones land and assigning it various uses without compensation..... nisaidie kama umenielewa
 
I have a sale agreement witnessed by all authorities of the area situate.

All in all nadhani hujanielwa an ndilo tatizo nnalolipata. Je Halmashauri ya mji inatumia sheria gani kutangaza matumizi ya eneo langu bila fidia? (labda niliweke hivyo).
Planning area najua huwezi kufanya maendelezo say ya ujenzi bila kibali, but not confiscating ones land and assigning it various uses without compensation..... nisaidie kama umenielewa
Umejaribu kufanya follow up ya compensation..?
Na je, walikushirikisha kwa kukupa notice yeyote kabla ya kuchukua eneo lako.??
 
Mkuu hapo kwanza inabidi ujue kwa HAKIKA asili ya maeneo hayo
Inawezekana yalikua ni hifadhi ya serikali halafu watu wakavamia na kuanza kuuziana

Katika hali ya kawaida serikali haiwezi kupora eneo miliki ya watu wengine bila fidia
 
Umejaribu kufanya follow up ya compensation..?
Na je, walikushirikisha kwa kukupa notice yeyote kabla ya kuchukua eneo lako.??
Not at all. Hawakunipa notice
Labda nieleze kuwa haajajenga ila wameweka ramani kuonesha hapa kuna nini na kula kuna nini......na ni muda mrefu over 10 yrs
 
Not at all. Hawakunipa notice
Labda nieleze kuwa haajajenga ila wameweka ramani kuonesha hapa kuna nini na kula kuna nini......na ni muda mrefu over 10 yrs
Na wewe ulikuwa wapi sasa hizo 10 years zote kufanya inquiries..?
 
So una Ushahidi wa maneno ? huna ata sale agreement ?
You can not claim ownership without evidence and notably documentary evidence be it sale agreement or otherwise!

Issue is mamlaka za ardhi zinapima eneo lako an kuli designate kuwa ni open space (OS), market, cemetery, Public building etc etc etc without consultation with you/kuipa fidia, sheria inasemaje? any case law to that scenario?
nadhani umenielewa
 
Unastahili fidia, unless, ulivamia. Fanya chapu fungua shitaka Mahakama Kuu.
 
So una Ushahidi wa maneno ? huna ata sale agreement ?
We nawe huna unalolijua,utazidi tu kumchanganya mwenzio.

Issue iliyopo hapa sio utata wa umiliki au mauziano,ni suala la eneo kupangiwa matumizi na halmashauri bila ya mwenye eneo kuhusishwa.

Sasa mambo ya sale agreement yanatokea wapi hapo.

Waache wataalamu waje wamsaidie!!
 
Wameligawa kuwa la open space, PB, shule , kanisa, msikiti, makazi etc etc.

Sheria iansemaje na kama una case law kuhusu scenario hiyo naomba
Hapo jambo la msingi ni kumwandikia barua mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya uliyopo,akupe ufafanuzi wa mkaati wa matumizi ya eneo hilo upoje,na mkakati huo ulianza mwaka gani na wao kama halmashauri walichukua hatua gani kuutangazia umma juu ya mpango huo wa kuendeleza eneo hilo.

Ikiwa eneo hilo lilipangiwa matumizi hayo kabla ya wewe kununua,na wenyeji walitaarifuwa na halmashauri,hapo umefanyika utapeli kwa waliokuuzia.Wafunhulia mashtaka wakulipe hela zako na fidia nyengine.

Ikiwa halmashauri walipanga matumizi ya eneo baada ya wewe kununua,wanapaswa wakulipe fidia kwa eneo lako walilolitwaa.Waandikie barua ya kukulipa fidia,wakikataa,fungua kesi ya ardhi mahakama kuu,kwa kesi hiyo inahusisha serikali.

Ikiwa,halmashauri walipanga matumizi ya eneo kabla ya wewe kununua na wakakaa kimya bila kuutangazia umma,issue inayoibuka hapo ni uzembe(negligenc)unapaswa kuishitaki halmashauri kwa uzembe ili wakulipe gharama zako na fidia iliyosababishwa na uzembe wao.

Changamoto.
Changamoto kubwa inayoibuka hapo ni kwamba ilo jambo lako limekaa kwa zaidi ya miaka kumi 10 kwa nilivyokuelewa,xaxa nahofia kwamba utakutana na mapingamizi mengi kuhusiana na ukomo wa kufungua mashauri(Time Limitation to file suit).

Ila jaribu kwanza kufanya maulizo ya halmashauri,watakachokujibu ndio utajua pa kuanzia.
 
We nawe huna unalolijua,utazidi tu kumchanganya mwenzio.

Issue iliyopo hapa sio utata wa umiliki au mauziano,ni suala la eneo kupangiwa matumizi na halmashauri bila ya mwenye eneo kuhusishwa.

Sasa mambo ya sale agreement yanatokea wapi hapo.

Waache wataalamu waje wamsaidie!!
ASANTE KWA KUNIELEWA. THANKS AGAIN
 
n
Hapo jambo la msingi ni kumwandikia barua mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya uliyopo,akupe ufafanuzi wa mkaati wa matumizi ya eneo hilo upoje,na mkakati huo ulianza mwaka gani na wao kama halmashauri walichukua hatua gani kuutangazia umma juu ya mpango huo wa kuendeleza eneo hilo.

Ikiwa eneo hilo lilipangiwa matumizi hayo kabla ya wewe kununua,na wenyeji walitaarifuwa na halmashauri,hapo umefanyika utapeli kwa waliokuuzia.Wafunhulia mashtaka wakulipe hela zako na fidia nyengine.

Ikiwa halmashauri walipanga matumizi ya eneo baada ya wewe kununua,wanapaswa wakulipe fidia kwa eneo lako walilolitwaa.Waandikie barua ya kukulipa fidia,wakikataa,fungua kesi ya ardhi mahakama kuu,kwa kesi hiyo inahusisha serikali.

Ikiwa,halmashauri walipanga matumizi ya eneo kabla ya wewe kununua na wakakaa kimya bila kuutangazia umma,issue inayoibuka hapo ni uzembe(negligenc)unapaswa kuishitaki halmashauri kwa uzembe ili wakulipe gharama zako na fidia iliyosababishwa na uzembe wao.

Changamoto.
Changamoto kubwa inayoibuka hapo ni kwamba ilo jambo lako limekaa kwa zaidi ya miaka kumi 10 kwa nilivyokuelewa,xaxa nahofia kwamba utakutana na mapingamizi mengi kuhusiana na ukomo wa kufungua mashauri(Time Limitation to file suit).

Ila jaribu kwanza kufanya maulizo ya halmashauri,watakachokujibu ndio utajua pa kuanzia.
Nimekupata vizuri. Walioniuzia na majirani hakuna aliyetaarifiwa. Wote kwa ujumla wao na wala hawajawahi kuona halmashauri inakuja kupima na kuwashiriksha. Wanasema walifanya kinyemela na walikuwa hawajui mpaka nilipokwenda halmashauri nkakuta kuna kitu kama hicho na kuwapa taaifa. Kila mmoja alilia.
 
n

Nimekupata vizuri. Walioniuzia na majirani hakuna aliyetaarifiwa. Wote kwa ujumla wao na wala hawajawahi kuona halmashauri inakuja kupima na kuwashiriksha. Wanasema walifanya kinyemela na walikuwa hawajui mpaka nilipokwenda halmashauri nkakuta kuna kitu kama hicho na kuwapa taaifa. Kila mmoja alilia.
Sijajua hiyo taarifa umeipata mda gani kutoka hapo halmashauri mpka sasa.
Cha kufanya hapo muone wakili au hata wewe mwenyewe andika barua rasmikwenda kwa halmashauri kuulizia ukweli wa hilo jambo ili wakupe jibu rasmi la maandishi ambalo litakusaidia kwa hatua inayofuata,kama ni kufungua kesi au kuomba fidia kulingana na majibu ya barua yatakavyokuja.
 
Back
Top Bottom