thanks bro,you nailed!
usimsomeshe mdogo wako wa kike wala watoto wako wa kike ili AJE AOLEWE akifika la7 tu muachiahe shule aolwe
sasa we mwenyewe umeishia la pili A!wa degree utamuweza wapi???? hebu muwe mnachukua mnaofanana nao msituletee shombo hapa
ndo yale yale Rihhana akitingisha Biyonce anaumaKheeeee.....we ne siku hizi umekuwa #teammipasho ?
Acheni dharau...ninachokijua kila muoaji ana sifa zake kwa mtu amtakae!!labda hiyo ni choice yako viol..hongera
acheni uwoga wa bure mwanamke ata awe na elimu gani hapa duniani mwesho wa siku all she will do is spread legs simple wala usiogope . na ukishindwa dominate a woman u aint a man enough
naona umepata support kutoka kwa mburula mwenzio. kazi mnayo
hujui kitu kuhusu wanawake wewe ngoja nisopoteze energy mie.......
jenga kwa mme wako,umeolewa na kwenu au kwa mmeo?
utapeka challange yako yako ya ujuzi na uzuri wapi?hehehe
Na wewe si ujenge kwenu nyooo
Naona ni ujinga tu wa mwanaume asiyejiamini,
yaani mzazi wangu atumie pesa yake kunisomesha leo nimepata kazi nimuache aendelee kuishi kwenye tembe!!