Huu utumbo hata Yesu wenu anawashangaaa maana akisikia jina Lissu kibiriti kwenye moyo kinazima n kuwakaHuku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe umeshashiriki bwashee!Huo upuuzi washirikishe wapumbavu wenzako hapo Lumumba
Sampuli!Utafiti eti, ulizinguka nchi nzima
Ova
Hao Warombo wa Usseri hawana shida maana wanadai hata Selasini mbunge wao hawamjui. Sasa kama Selasini Mrombo mwenzao hawamjui unategemea watamjua Lissu?Niko hapa Usseri Rombo jimboni kwake Selasini wanakijiji hawamjui kabisa Lisu..... Wengine wanasema eti Lisu wanayemjua ni mwimbaji wa nyimbo za Injili siyo mwanasiasa!
Nani amekudanganya?Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!
Poor lisu mna kazi ya kumnadi na bado hatafanikiwa maana uchaguzi huu mgumu sana kwa wapinzani sijui mtaambia nini watuSangoma wakiwa kazini!
Wanawapigia ramli wapiga kuraHofu kwa mtu asiyejulikana vijijini?!
Hofu kwa mtu asiyejulikana vijijini?!
Acha uongo mkuu, Nani asiyemjua Tundu Lissu?? Acha kujidanganyaHuku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!
unaandika huku dhamira yako inakusuta kuwa wee muongoTundu Lisu anakwenda kuizika chadema rasmi, bora hata wamuweke Mbowe anaweza angalau kutetea na kurudisha baadhi ya kura za Wachaga lkn Tundu Lisu hata kwao tu Singida hapati kura, ...
Tahadhari yangu haimaanishi kwamba atakapotua vijana wa IGP hawatashughulika naye!Ulianza kusema ana kesi hivyo asichaguliwe, lakini unaona kabisa ndio tunayemtaka, inabidi useme hafahamiki! Safari hii ndio utaamini kuwa jiwe hawezi siasa za ushindani, na lazima atalambishwa mchanga. Kampeni zilizopita alikutana na yule mchovu wa elimu elimu elimu. Safari hii kazi anayo.
Kwani kampeni hazitafanyika?Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!
Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!