Uchaguzi 2020 Wananchi wa vijijini hawamjui Tundu Lissu, Chadema mtapata kazi ya ziada kumnadi

Vijiji vya wapi wasiomjua TL Mkubwa?

Nipo Shinyanga huku na naposti hii kitu nikiwa kijiji cha Iselamagazi, Tundu Lissu ni famous kuliko Magufuli...

Huku kwa CCM wanamjua Julius K. Nyerere na kidogo Kikwete. Magufuli namna kitu. Ana Zero fame...
Mimi niko Usseri bwashee huku Rombo!
 
Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.

Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.

Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.

Maendeleo hayana vyama!
Mbona mat.a..ko yanakuwasha tafuta mtu akufanyie masage,kama tundu lisu hawamjui wewe unakereka na nini?
 
Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.

Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.

Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.

Maendeleo hayana vyama!
Mrudishe lowasa awe mgombea wako.
Hiyo yote ni kumwogopa Lissu
 
Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.

Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.

Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.

Maendeleo hayana vyama!
Usijali tutawaambia ni mtanzania pekee anayejulikana Alie hai ukitoa mashujaa wetu wa 1978 kagera war aliepigwa 16 bullets na akapona ila pia ujue lisu ametajwa sana kuliko KORONA hivyo usitudanganye.
 
Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.

Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.

Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.

Maendeleo hayana vyama!
Lissu anajulikana kuliko magu.
 
Huo UTAFITI uliufanya lini na katika vijiji vingapi Nchini na wanavijiji wangapi walikuwemo kwenye sample yako!?

Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.

Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.

Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.

Maendeleo hayana vyama!
 
Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.

Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.

Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.

Maendeleo hayana vyama!

Hofu ya TL itakumaliza kiongozi.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom