Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,662
- 102,703
Niko hapa Usseri Rombo jimboni kwake Selasini wanakijiji hawamjui kabisa Lisu..... Wengine wanasema eti Lisu wanayemjua ni mwimbaji wa nyimbo za Injili siyo mwanasiasa!
Kama hawamjui Lissu ndio watajua miradi ya SGR, SG na mandege?