Upinzani watauawa tu na tume lkn isingekuwa hivyo wangeshinda vibaya hata kama wangesimamisha kisiki.
Magufuli hana lolote la maana alilofanya lililowapa watu unafuu wa maisha.
Hilo ndilo muhimu wanaloangalia wananchi sio midege, reli sijui kuhamia Dodoma wala Stieglar Godge. Watu wanaangalia unafuu wa maisha na ndivyo ilivyo duniani kote.
Yeye atakuwa "Mshindi" wa tume tu kwa sababu pia ni mtu anayeogopa sana siasa za ushindani, rejea rekodi yake toka akiwa mbunge kule Chattle.
Magufuli hana lolote la maana alilofanya lililowapa watu unafuu wa maisha.
Hilo ndilo muhimu wanaloangalia wananchi sio midege, reli sijui kuhamia Dodoma wala Stieglar Godge. Watu wanaangalia unafuu wa maisha na ndivyo ilivyo duniani kote.
Yeye atakuwa "Mshindi" wa tume tu kwa sababu pia ni mtu anayeogopa sana siasa za ushindani, rejea rekodi yake toka akiwa mbunge kule Chattle.