Wananchi 200 wauawa nchini Misri asubuhi hii

Wananchi 200 wauawa nchini Misri asubuhi hii

habariyamujini

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2013
Posts
3,094
Reaction score
457
wanajukwaa,

HALI YA KISIASA NI MBAYA SANA NCHINI MISRI HIVI SASA.
NI DHAHAMA, DAMU NA MAUAJI YANAYOFANYWA NA SERIKALI HARAMU YA KIJESHI ILIYOPINDUA SERIKALI HALALI ILIYOCHAGULIWA NA WANANCHI.
CHAMA cha muslimu brotherhood kimetangaza kuwa wafuasi 200 wa rais wa zamani mohamed morsi wameuawa asubuhi hii na jeshi la nchi hiyo kwenye mapambano na wananchi. maelfu wamejeruhiwa na wako hospitali.

WATANZANIA TUNAJIFUNZA NINI MISRI??? KUNA WATU WANATAMANI YA MISRI YATOKEE TANZANIA, YA LIBYA YATOKEE TANZANIA, YA SYRIA YATOKEE TANZANIA. JE SIASA NI KULA ROHO ZA WATU?? NAKUMBUKA MWALIMU NYERERE ALIWAHI KUSEMA KUWA ANAYEKULA NYAMA ZA WATU HUWA HAACHI.

MY TAKE; WATANZANIA TUFANYE SIASA LAKINI TUSIHAMASISHE VURUGU NA MAUAJI.
 
Hawa Wamisri nao ni watu wa ajabu sana! Waliwaweka madarakani Muslim Brotherhood wakitegemea nini? Na bado, cha moto watakiona hadi watakapopata akili waachane na kuchagua viongozi kwa kuegemea udini.
 
wanajukwaa,

HALI YA KISIASA NI MBAYA SANA NCHINI MISRI HIVI SASA.
NI DHAHAMA, DAMU NA MAUAJI YANAYOFANYWA NA SERIKALI HARAMU YA KIJESHI ILIYOPINDUA SERIKALI HALALI ILIYOCHAGULIWA NA WANANCHI.
CHAMA cha muslimu brotherhood kimetangaza kuwa wafuasi 200 wa rais wa zamani mohamed morsi wameuawa asubuhi hii na jeshi la nchi hiyo kwenye mapambano na wananchi. maelfu wamejeruhiwa na wako hospitali.

WATANZANIA TUNAJIFUNZA NINI MISRI??? KUNA WATU WANATAMANI YA MISRI YATOKEE TANZANIA, YA LIBYA YATOKEE TANZANIA, YA SYRIA YATOKEE TANZANIA. JE SIASA NI KULA ROHO ZA WATU?? NAKUMBUKA MWALIMU NYERERE ALIWAHI KUSEMA KUWA ANAYEKULA NYAMA ZA WATU HUWA HAACHI.

MY TAKE; WATANZANIA TUFANYE SIASA LAKINI TUSIHAMASISHE VURUGU NA MAUAJI.

Anayekula roho za watu hapo ni nani? Ni wafuasi wa Muslim Brotherhood na Rais wao aliyeondolewa madarakani akichochea wafuasi wake. Prof. Muhamad Morsi hana tofauti na baadhi ya ma-Prof. wetu hapa ambao wameanza kampeni kwenye majumba ya ibada kuchochea chuki. Tanzania tunajifunza kwamba tusipowaepuka viongozi wa aina hii hakika tunaelekea huko huko Misri iliko.
 
WaTanzania hatujafikia huko ingawa wapuuzi wachache wanafosi kutaka kutupeleka huko....Mungu ibariki Ibariki Africa Mungu Tubariki waTanzania.
 
wanajukwaa,

HALI YA KISIASA NI MBAYA SANA NCHINI MISRI HIVI SASA.
NI DHAHAMA, DAMU NA MAUAJI YANAYOFANYWA NA SERIKALI HARAMU YA KIJESHI ILIYOPINDUA SERIKALI HALALI ILIYOCHAGULIWA NA WANANCHI.
CHAMA cha muslimu brotherhood kimetangaza kuwa wafuasi 200 wa rais wa zamani mohamed morsi wameuawa asubuhi hii na jeshi la nchi hiyo kwenye mapambano na wananchi. maelfu wamejeruhiwa na wako hospitali.

WATANZANIA TUNAJIFUNZA NINI MISRI??? KUNA WATU WANATAMANI YA MISRI YATOKEE TANZANIA, YA LIBYA YATOKEE TANZANIA, YA SYRIA YATOKEE TANZANIA. JE SIASA NI KULA ROHO ZA WATU?? NAKUMBUKA MWALIMU NYERERE ALIWAHI KUSEMA KUWA ANAYEKULA NYAMA ZA WATU HUWA HAACHI.

MY TAKE; WATANZANIA TUFANYE SIASA LAKINI TUSIHAMASISHE VURUGU NA MAUAJI.

Eti Waislam wenye msimamo mkali Muslim Brotherhood, slowly changing to Terrorist Group. Haya ndiyo tunayoyakataa hapa nchini wengi hawajui kwamba chanzo cha kufikia hapo walipofikia Wamisri ni mihadhara ya kidini kisha kuunda kikundi ambacho baadaye kinajifanya kuvua gamba na kuwa kikundi cha "Kisiasa" kisha kinaingia madarakani na kuendeleza UDINI kama alivyofanya Mohammed Morsi, nalisifu sana jeshi likamtoa kitini apumzike watu waweze kuishi kwa amani.
 
nimejifunza tuchague Chadema inchi ipate ukobozi!!
 
tunajifunza tusichanganye siasa na dini. unatakiwa kuongezea kuwa waandamaji wanatolea hasira zao kwenye makanisa kwa kuyachoma moto.
Watanzania tunatakiwa tuache upuuzi wetu wakushabikia maswala hatari kama haya ya kuchanganya dini na siasa

''Churches in Sohag, Upper Egypt and Heliopolis, Cairo are said to have been attacked in retaliation to sit-in clear-outs''

View Article

In that regard, the agenda behind is clear! WANACHOMA MOTO MAKANISA! Kwani hayo makanisa yamewakosea nini? Yale yale ya Mbagala - ubishi wa watoto mijitu na akili zao wanavamia makanisa.
 
kazi ipo! Fuatilia hotuba ya aliyekuwa rais wa marekani Gorge Bush anapoondoka madarakani utaelewa!
 
Yatatokea tuu kama CCM hawataki kutoka madarakani na wakiendelea kuiba kura mwisho uvumilivu utawashinda watu. Ukiona haya yanatokea ujue watu walishavumilia sana wakachoka kwani unadhani ni wajinga mpaka waamue kufanya hivyo? CCM ndio wataoa sababusha haya kama ambavyo yamesababishwahuko na ugandamizaji uliofanywa kwa miaka mingi na vyama tawala vya nchi zao. CCM WAJIFUNZE NA WAANZE KUJIANDAA KUONDOKA KWA AMANI.
 
wanajukwaa,

HALI YA KISIASA NI MBAYA SANA NCHINI MISRI HIVI SASA.
NI DHAHAMA, DAMU NA MAUAJI YANAYOFANYWA NA SERIKALI HARAMU YA KIJESHI ILIYOPINDUA SERIKALI HALALI ILIYOCHAGULIWA NA WANANCHI.
CHAMA cha muslimu brotherhood kimetangaza kuwa wafuasi 200 wa rais wa zamani mohamed morsi wameuawa asubuhi hii na jeshi la nchi hiyo kwenye mapambano na wananchi. maelfu wamejeruhiwa na wako hospitali.

WATANZANIA TUNAJIFUNZA NINI MISRI??? KUNA WATU WANATAMANI YA MISRI YATOKEE TANZANIA, YA LIBYA YATOKEE TANZANIA, YA SYRIA YATOKEE TANZANIA. JE SIASA NI KULA ROHO ZA WATU?? NAKUMBUKA MWALIMU NYERERE ALIWAHI KUSEMA KUWA ANAYEKULA NYAMA ZA WATU HUWA HAACHI.

MY TAKE; WATANZANIA TUFANYE SIASA LAKINI TUSIHAMASISHE VURUGU NA MAUAJI.

Kuhusu yanayotokea Misri CCM na Serikali iliyoko Madarakani hapa Tanzania inatakiwa ijifunze kwa tukio hilo kwani tumeshuhudia viongozi mbali mbali wa CCM wakijinadi kuwa hawawezi kuikabidhi nchi kwa wahuni je ikaja tokea hao wanaoitwa wahuni wakashinda katika Uchaguzi 2015 na kwa kauli za hiongozi hawa ambazo zimehifadhiwa kama kumbukumbu na kweli wakakataa kuachia madaraka yanayotokea Misri yatatokea Tanzania kwani CCM watatumia vyombo vya Dora kulazimisha kutawala kama walivyoanza sasa. Kitu muhimu ni kukubari matakwa ya walio wengi Nchini Misri Chama cha Muslim Brotherhood kilichaguliwa na wananchi na kikaonekana kushindwa kuongoza na kuwaletea wananchi kile walichokihitaji, Busara ingetumika haya yasingetokea.
 
Cha msingi ni kumuachilia Morsi aonena na wafuasi wake na yeye ndiye anaye weza kuwatuliza na sio kutumia nguvu
 
ndiyo maana tunaomba kila siku siasa iwe siasa na maswala ya dini yawe ya dini. wana brother hood wanasema wanafia dini yao wala siyo chama chao. wapi na wapi. Namshaangaa sana prof L anavyotumia karata ya ponda kujijenga kisiasa bila kujua nini madhara yake.
Natamani sana viongozi wa kisiasa wasizungumzie jambo la ponda maana cuf wamelisimamia utazani huyu jamaa ni kiongozi wa cuf. madhara yake tutayaona siku sio nyingi
In that regard, the agenda behind is clear! WANACHOMA MOTO MAKANISA! Kwani hayo makanisa yamewakosea nini? Yale yale ya Mbagala - ubishi wa watoto mijitu na akili zao wanavamia makanisa.
 
black cat mbona ume delete comment yako?
 
Last edited by a moderator:
wanajukwaa,

HALI YA KISIASA NI MBAYA SANA NCHINI MISRI HIVI SASA.
NI DHAHAMA, DAMU NA MAUAJI YANAYOFANYWA NA SERIKALI HARAMU YA KIJESHI ILIYOPINDUA SERIKALI HALALI ILIYOCHAGULIWA NA WANANCHI.
CHAMA cha muslimu brotherhood kimetangaza kuwa wafuasi 200 wa rais wa zamani mohamed morsi wameuawa asubuhi hii na jeshi la nchi hiyo kwenye mapambano na wananchi. maelfu wamejeruhiwa na wako hospitali.

WATANZANIA TUNAJIFUNZA NINI MISRI??? KUNA WATU WANATAMANI YA MISRI YATOKEE TANZANIA, YA LIBYA YATOKEE TANZANIA, YA SYRIA YATOKEE TANZANIA. JE SIASA NI KULA ROHO ZA WATU?? NAKUMBUKA MWALIMU NYERERE ALIWAHI KUSEMA KUWA ANAYEKULA NYAMA ZA WATU HUWA HAACHI.

MY TAKE; WATANZANIA TUFANYE SIASA LAKINI TUSIHAMASISHE VURUGU NA MAUAJI.
Waambie CHADEMA!!! wanajidai nchi haitatawalika kama wafuasi wa Morsi.
 
Back
Top Bottom