gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
Avatar yangu kiukweli napenda sana kuwa mtu tofauti katika jamii hasa kua very smart na hivi majuzi tu nimenyoa nywele, nilikuwa na bonge la afro. Id ya kwamtoro ni tarafa moja nzuri sana ipo wilaya ya Chemba mkoa wa Dodoma. kwamtoro ndipo sehemu nilipozaliwa na kukulia kwa kiasi fulani. kwamtoro ni sehemu iliyochangamka,ukiwa na pesa unaishi maisha as if upo town kabisa. Napapenda sana
wewe unatokea wilaya ya CHEMBA?? dah!!! umenikumbusha sana msitu wa MTUNGUTI na kijiji cha kelema na Haneti tutafutane