Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,355
Ha ha ha lol wewe mchokoziii!!!!
Hakuna cha uchokozi wala nini!
Nahisi inafall under many requirements which i prefer save your weaknesses!
...
Just niambie nije PM or nikuanzishie thired!
Ha ha ha lol wewe mchokoziii!!!!
Hahah...angalia usiumize sana kichwa
Seriously.
Uko SHY kweli...??? Comments zako tofauti kabisa na hiyo character yako.
Yaani unanifanya hadi hapa nilipo hii chai nayokunywa niione chungu just niki imagine the way you feel always....nimesoma na signature yako it speaks volumes
Yes I am....nikiwa humu never take me seriously at all....
Yako vipi mkuu....
hahahaah......ukiniona laivu ndio utajua kwa nini nipo hivyo.
umeona enhee....na mie imebidi nisome signature yake tena......nimejisikia uchungu pia hapa
I want to....but something tells me not to
natumia simu sioni signature.....inasemaje ya huyo jamaa...??
umeona enhee....na mie imebidi nisome signature yake tena......nimejisikia uchungu pia hapa
hahahaaah.....you are so charming thats why am taking you seriuosly...
umeona enhee....na mie imebidi nisome signature yake tena......nimejisikia uchungu pia hapa
oops nimesema apo juu sasa ivi
Nimependa kama unaipenda Katavi National Park...nilifikaga huko miaka kama saba imepita....awesome....Mpanda mjini pale saa hizo hapana uwanja wa kisasa wa ndege
Oh you better listen to that inner voice.