Wakae kufanya kazi pamoja wazazi kama wazazi wanajihiusisha na kilimo nao walime na kuangalia ng'ombe kama baba ni muuza duka wake dukani wauze, kama baba ana ofisi binafsi wawahi maofisini wakafagie na kukaa kama receptionist, kama ni mama ntilie wakaoshe vyombo na kuhudumia, kama wazazi ni fundi mchundo waende huko kujifunza, kama mzazi unajiweza huu ndio muda wa kuwapeleka hawa watoto wakasilimie ndugu, vijijini na kwa wajomba mijini, wakajifunze kulala sebuleni kwa watu,
vijana ni muda pia wa kujifunza kuwafanya ma hausigeli wasiliwe na bodaboda