GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,875
Tafadhali Wizara husika na Serikali iliangalie hili tena ( Upya ) kwani Wanafunzi wa Kidato cha Tano ( 5 ) Kumaliza Shule November na kukaa Idle ( Mtaani ) mpaka July mwaka unaofuata ni Kuhatarisha sana Ustawi wao wa Kitaaluma na Kuwaathiri Kimaadili na hata Kisaikolojia pia.
Kiukweli 24/7 tunapishana nao sana katika Nyumba za Kulala Wageni ( Gesti na Loji ) wakienda ' Kungonoliwa ' huku wengine tukikesha nao 24/7 pia katika Vijiwe vyetu vya Kulanduka ' Bange ' hali ambayo kama Kaka na Wazazi watarajiwa inatukera na kutuumiza zaidi.
Kiukweli 24/7 tunapishana nao sana katika Nyumba za Kulala Wageni ( Gesti na Loji ) wakienda ' Kungonoliwa ' huku wengine tukikesha nao 24/7 pia katika Vijiwe vyetu vya Kulanduka ' Bange ' hali ambayo kama Kaka na Wazazi watarajiwa inatukera na kutuumiza zaidi.