Wana jf napenda tu kusema machache.
Chuo kikuu kinafikia hatua ya kuwa chuo bora baada ya mchakato na muda fulani kupita. Kwa chuo kikuu dodoma, ni mapema mno kukiita cha kata au vodafasta. Muda wahitajika kuamua ubora wake. Kuona kuwa ni duni baada ya kulinganisha na vyuo vingine vikongwe nchini kama udsm si sahihi. Ukiangalia historia, hata udsm kilianza kama school tu kabla ya kuwa affiliated na uea. Lakini hatua kwa hatua kimeimarika.
Pia muhimbili (muhas) kilikuwa kidogo sana wakati kinaanza. Maprof walikuwa wa kuhesabu, lakini sasa kimepiga hatua kubwa sana.
Ukija ardhi (aru), nacho mwanzoni hakikuwa na madokta, lakini wakajiwekea malengo kuwa baada ya miaka 10 wawe na madokta wa kutosha na hali imekuwa hivyo. Aru ina maprof na madokta wengi sana.
Vivyo hivyo mzumbe, na vyuo vingine vingi unavyo vifahamu.
Sasa tukija kwa udom, twahitaji muda kuanzaia miaka kumi na kuendelea ili kuwe na ubora unaohitajika kulingana na vigezo vilivyo wekwa na tuc. Huwezi leo leo ukajenga majengo, papo hapo ukawa na walimu wenye phd na maprof. Hayo ni mambo yanayo hitaji muda. Na bila shaka yatakuwepo kwenye mipango yao ya muda mrefu na wa kati. Hatimaye tutakuwa na udom iliyo na sura kama vyuo vingine ambavyo mnadhani ni bora.
Pia labda ushauri kwa udom, katika kipindi hiki cha shida ya walimu, ni bora kuajiri walimu toka nje ya nchi. Hiyo inasaidia sana kupata ujuzi wa watu toka sehemu nyingine ya dunia. Binafsi sipendelei kufundishwa na mwalimu aliyesoma degree ya kwanza tanzania, ya pili tz, phd tz. Nahisi nakosa stadi toka nchi zingine.
Halafu lingine ni kuwazoeza wanafunzi wetu kusoma vitabu. Hilo ni tatizo sana. Wanafunzi wetu wengi hawazoezwi kusoma vitabu. Vitabu vinakufanya hata kama umesoma chuo duni namna gani, unakuwa na stadi, uelewa na ujuzi wa hali ya juu na kujiamini pia. Elimu yetu ya tz inatupa shida sana mara unapokwenda kusoma ulaya na marekani ambako wanafunzi na jamii yao na jamii yao kwa ujumla ina utamaduni wa kusoma vitabu. Unakuta wenzako wanasoma vitabu mulivyogawiwa kwenye kozi kama wanacheza vile, na mukienda kwenye semina wanakuwa fiti, huku wewe vikutesa mno kuvisoma.
Hivyo udom ni chuo kichanga sana, chahitaji muda ili kiwe bora. Kufuata mipango waliojiwekea ndiyo msingi wa maendeleo ya chuo hicho.
hahaaa, kwa taarifa yako sisomi udom,
na sijasoma chuo bongo,
ila nawaponda nyinyi vilaza mnaosoma au mliosoma
vyuo flani flani mnaoponda wenzenu wa udom.
Hakuna kutafuta public sympathy hapa...
kweli kabisa, udsm wana tabia ya kuwaona vyuo vingine kuwa yebo yebo, hata mimi mwenyewe nilikuwa nafikiria kuwa udsm ni bora. Lakini kumbe zilikuwa fikra mgando kama za ccm na vyama vya upinzani. Tulizoea chuo kikuu kimoja miaka nenda rudi. Mpaka ikafikia kuwa ukisema nasoma chuo kikuu watu walijua tu ni mlimani - udms. Kwa hiyo ilikuwa chuo kikuu maana yake mlimani - udsm. Lakini sasa vyuo ni vingi. Ukisema nasoma chuo kikuu mpaka wakuulize chuo gani.
Kwa hili la udom naipongeza serikali, maana baada ya miaka kumi hakitakuwa tena kama kilivyo sasa, kitakuwa bora zaidi. Siku zote mwanzo huwa mgumu. Hivyo udom lazima ipite kipindi kigumu.
JAMANI MI SIMO..........ILA ETI NIMESIKIA SOCIALOGY inafundishwa na MHINDI....!
SASA NAJIULIZA ANAFUNDISHA SOCIALOGY YA WAPI?.........INDIA AU TZ?
MI SIMO....
Mkuu kuna tofauti kati ya ISP na internet cafe, Unajua hivi ni vitu vya technologia. ISP ni internet Service Provider kama vile African Online, na wengine wote wanaounganisha wateja/watumiaji wa kawaida/mashirika katika mtandao wa Internet. Siyo kama pale internet Cafe za posta, hila hawa ndio wanaleta huduma ya mtandao katika sehemu za Internet cafes na makampuni mbali mbali. Kwa hilo unaombwa kufuta usemi wako.
Mimi ninapinga sana JF kujiita land of great thinkers... Sasa kama huyo hapo ni kweli great thinkers kweli inaonyesha hata sociology haijui na kitu gani kinasomemeshwa kwenye sociology masikini weee!! hebu niambie mtanzania gani aliyeatoa social theory?kuhusu TZ social theory nyingi sana zimetolea na kama,Karl Max,Herbert Spencer,Emile Durkheim,Ferdinand Tonnies,Robert K.Merton,Max Weber,Georg Simmel,Talcott Persons,Anthony Giddens,Max Horkheimer,Harrison white na wengineo. Sasa hao wote ni watanzania na hawajatoa theory zao kwa kuishi na jamii ya WTz sasa nashangaa sana vyuo vyetu hata kabla ya huyo muhindi vinazitumia theory zao na vitabu vyao...Kitu chengine naomba Viongozi wa JF suala la nani mtu kuwa mwanachama bora liangaliwe tena bora atu awasilishe maombi ikiwe hard copy ya IQ score results...
Wana jf napenda tu kusema machache.
Chuo kikuu kinafikia hatua ya kuwa chuo bora baada ya mchakato na muda fulani kupita. Kwa chuo kikuu dodoma, ni mapema mno kukiita cha kata au vodafasta. Muda wahitajika kuamua ubora wake. Kuona kuwa ni duni baada ya kulinganisha na vyuo vingine vikongwe nchini kama udsm si sahihi. Ukiangalia historia, hata udsm kilianza kama school tu kabla ya kuwa affiliated na uea. Lakini hatua kwa hatua kimeimarika.
Pia muhimbili (muhas) kilikuwa kidogo sana wakati kinaanza. Maprof walikuwa wa kuhesabu, lakini sasa kimepiga hatua kubwa sana.
Ukija ardhi (aru), nacho mwanzoni hakikuwa na madokta, lakini wakajiwekea malengo kuwa baada ya miaka 10 wawe na madokta wa kutosha na hali imekuwa hivyo. Aru ina maprof na madokta wengi sana.
Vivyo hivyo mzumbe, na vyuo vingine vingi unavyo vifahamu.
Sasa tukija kwa udom, twahitaji muda kuanzaia miaka kumi na kuendelea ili kuwe na ubora unaohitajika kulingana na vigezo vilivyo wekwa na tuc. Huwezi leo leo ukajenga majengo, papo hapo ukawa na walimu wenye phd na maprof. Hayo ni mambo yanayo hitaji muda. Na bila shaka yatakuwepo kwenye mipango yao ya muda mrefu na wa kati. Hatimaye tutakuwa na udom iliyo na sura kama vyuo vingine ambavyo mnadhani ni bora.
Pia labda ushauri kwa udom, katika kipindi hiki cha shida ya walimu, ni bora kuajiri walimu toka nje ya nchi. Hiyo inasaidia sana kupata ujuzi wa watu toka sehemu nyingine ya dunia. Binafsi sipendelei kufundishwa na mwalimu aliyesoma degree ya kwanza tanzania, ya pili tz, phd tz. Nahisi nakosa stadi toka nchi zingine.
Halafu lingine ni kuwazoeza wanafunzi wetu kusoma vitabu. Hilo ni tatizo sana. Wanafunzi wetu wengi hawazoezwi kusoma vitabu. Vitabu vinakufanya hata kama umesoma chuo duni namna gani, unakuwa na stadi, uelewa na ujuzi wa hali ya juu na kujiamini pia. Elimu yetu ya tz inatupa shida sana mara unapokwenda kusoma ulaya na marekani ambako wanafunzi na jamii yao na jamii yao kwa ujumla ina utamaduni wa kusoma vitabu. Unakuta wenzako wanasoma vitabu mulivyogawiwa kwenye kozi kama wanacheza vile, na mukienda kwenye semina wanakuwa fiti, huku wewe vikutesa mno kuvisoma.
Hivyo udom ni chuo kichanga sana, chahitaji muda ili kiwe bora. Kufuata mipango waliojiwekea ndiyo msingi wa maendeleo ya chuo hicho.
ok tufanye nini sasa ukiwa ni mmoja wa wapingaelimu ndani ya JF SEMA nini kifanyike ili tuondokane na kauri yako isiyoweza kubalika daimaaa?
mapinduziiii daimaaaaa
Maandishi makubwa ya nini? kama una hoja utaeleweka hata ukitumia font size ya kawaida tu!
Lazima uwe mmoja wa product za chuo cha kata
wawili kati ya walimu muhimu sn udom ni kaka mmojaaliwahi kuwa katibu wa serikali ya wanafunzi Tumaini, huyu bwana alisoma Bachelor ya Tourism akamaliza mwaka 2008 na hadi sasa hajasoma masters anasubiri skolashipu. Mwingine ni mdada alisoma kozi kama ya huyo katibu sa serikali ya wanafunzi wa Tumaini, mbaya zaidi Curriculum ya hiyo tourism imekaa kimagumashi sana. UDOM ni chuo cha kata tu
Mweee thambi thangu mniachiemuongeze na mwl.kapinga wa loyola high school mabibo. O level na A level history.Sasa lecturer wa udom. Wakat udom inafunguliwa uyu alihama na wanafunzi wake wa sekondari ya loyola. Yeye anaenda kuwa mwl wao wanaenda kuwa wanafunzi . Kama unabishi muulize Teri gilead aliyegombea urais udom mwaka jana,nae ni mwanafunzi wake na waliama pamoja. Sa si bora wangekaa pale pale loyola na wengne wakakaa Tandaimba, Tumain University alaf wakayaita Udom ila HQ ikawa Dodoma? Mleta mada kusema ukweli si kupinga,kupinga ni kukaa ukweli. Jf si wapinga maendeleo ni wapinga ukweli na hawataki kusikia hata Phd za kwenye Gift pepa kama za mh.MSAFIRI a.k.a traveller!
Mimi ninapinga sana JF kujiita land of great thinkers... Sasa kama huyo hapo ni kweli great thinkers kweli inaonyesha hata sociology haijui na kitu gani kinasomemeshwa kwenye sociology masikini weee!! hebu niambie mtanzania gani aliyeatoa social theory?kuhusu TZ social theory nyingi sana zimetolea na kama,Karl Max,Herbert Spencer,Emile Durkheim,Ferdinand Tonnies,Robert K.Merton,Max Weber,Georg Simmel,Talcott Persons,Anthony Giddens,Max Horkheimer,Harrison white na wengineo. Sasa hao wote ni watanzania na hawajatoa theory zao kwa kuishi na jamii ya WTz sasa nashangaa sana vyuo vyetu hata kabla ya huyo muhindi vinazitumia theory zao na vitabu vyao...Kitu chengine naomba Viongozi wa JF suala la nani mtu kuwa mwanachama bora liangaliwe tena bora atu awasilishe maombi ikiwe hard copy ya IQ score results...
Tatizo ukweli mchungu..kuwa waanzishaji wa kitu sio dhambi..walioanzisha UDOM (wanafunzi) sio dhambi kukubali kuwa chuo bado kichanga..kinachoponza tu ni hawa wanasiasa..hata serikali kuanza kutafuta upenyo wa kukitumia chuo hicho vibaya (eg wanafunzi kuchanga hela kumchukulia fomu mgombea, kufanya maandamano ya kipuuzi kushadidia maamuzi ya kipuuzi ya serikali, n.k)..cha msingi 'Tumieni muda mwingi kujifunza kutoka vyuo vingine, ndipo mtakapotambua "VYUO VIKUU NI SEHEMU AMBAPO MAWAZO HURU NA IMARA YANAPOKOMAZWA'....taratibu tu UDOM nayo siku moja itakuwa chuo imara na kongwe..stop being Arrogants!
#mkuu kuna tofauti kati ya isp na internet cafe, unajua hivi ni vitu vya technologia. Isp ni internet service provider kama vile african online, na wengine wote wanaounganisha wateja/watumiaji wa kawaida/mashirika katika mtandao wa internet. Siyo kama pale internet cafe za posta, hila hawa ndio wanaleta huduma ya mtandao katika sehemu za internet cafes na makampuni mbali mbali. Kwa hilo unaombwa kufuta usemi wako.
mimi kukatwa kod yangu aimaanish nisie kitu ata km kibovuHivi nyie mnaokiponda udom mnakunya akili au?
Hamfikirii kuwa kodi zenu mnazokatwa kwenye mishahara
yenu zimechangia kujenga pale?
Badala mjivunie angalau kodi zenu zimefanyia jambo la heri bado linalalamika.
Wewe Jackbauer wacha kutudanganya Katika Chuo ambacho walimu wake wengi hawana sifa ni MUHAS.. kwani hao wanaojiita ma sn lecture wengi wao hawana PhD na hasa kwenye clinical medicine ma Pro ni wachache sana hivi juzi tu watu ndiyo wamepewa huo kuwa ma Ass pro lakini ukiangalia CV zao zinatia kichefu chefu kwani wengi wao publication 0.na walimu wenye master kwa clinical medicine ndiyo wanaotoa lecture na hao hao huwa wanawasimia wanafunzi wa master...na katika basic science wako wenye MD tu basi na wanasomesha je MUHAS pia chuo cha kata..
Na kuhusu jambo jengine ambalo huna hana idea nalo USA in general more 30% ya wananchi wake wana degree ya kwanza na kuendelea. na katika utafiti uliofanyika karibuni mji ambao una degree holder kidogo basi ni 19% ya population ya mji huo.kwa hivyo kijana kabla ya kusema kitu fanya utafiti wako.mimi nimeshafundisha MUHAS..