Tutajieni vyuo mlivyosoma nyie. Kwa maneno yenu mmeanza kukubaliana na ukweli
Wewe nenda kwenye internet na angalia rank ya vyuo vya Tz Duniani kama nilivyosema hapo ni uongo au not vyuo tulivyosoma sisi haitokusaidia.lengoni kujua jinsi gani elimu katika nchi yetu iko ndogo kiasi gani na tujadili nini kifanywe ili itatuliwe.kwani wengi wetu tuko kwenye ndotoni kwa kuzania ya kuwa tuko juu kielimu kama watu wanavyojisifia kwa sababu ukisha kujiona uko top unakuwa huna chance ya ku improve...sasa we need reality check ya kujua sisi tupo wapi?