Wana JF, ni halali kweli UDOM kuitwa chuo cha kata?

Mitihani yao yote maswali ni multiple choice tu,wala hakuna maswali ya kujieleza

kuna mdogo wangu anasoma b.com hapo udom,niliona paper zao za accounting na marketing walizofanya,aisee jamaa wanatunga mitian migumu balaa na hakuna multiple choice.
 
Afu ako ka kitu kakuadmit point mbili mbona hamkaongelei kama chuo ni bora kwanini Competition hamna... Maana icho ndo kingetofautisha kati ya shule ya kata or vipaji maalumu kwa secondary....
 
kuna mdogo wangu anasoma b.com hapo udom,niliona paper zao za accounting na marketing walizofanya,aisee jamaa wanatunga mitian migumu balaa na hakuna multiple choice]
Uyo ticha awe mfano japo atakua anatengeneza sap na c nyingi kutokana na nature ya wanafunzi wenyewe
 
Brother vvm umeikomalia udom vp kunakitu unatuficha nje ya kutuita chuo cha kata nini???
 
Brother vvm umeikomalia udom vp kunakitu unatuficha nje ya kutuita chuo cha kata nini???
Mi kwakweli sipendi mtu anayepotosha uma kwa kuvutia upande wake ni bora kusema ukweli ili kama kuna ugonjwa wauponye mapema kuliko kuuficha hali ikazidi kuwa mbaya uko baadae,,, mimi mwenyewe ni mdau mkubwa wa udo na sipendi udom inavyosemwa ivo na ninatamani io hali ibadilike haraka maana kwa facilities mlizo nazo hata udsm kwenu ni ndogo.
 
unadhan ni kitu gan kilichoifanya udom kupanda mpaka top 5 ya vyuo bora tz? kwasasa udom walim wengi wanarudi kutoka masomon na wengi sana wameandika publications na journals kibao pia chuo kimetoa mchango mkubwa ktk jamii kupitia wanafunzi walomaliza!halaf ni ajabu sana kumfananisha anaesoma udom bsc engineering na we unaesoma cjui laws enforcement! nadhan bado upo chuo maliza uingie kitaa uone ushindani wanaotoa wanafunzi wa udom ktk interviews! nenda makampuni makubwa ya mafuta ka BG., pan african energy uliza kwe interviews zao za mwaka jana wanafunzi wa wap ndo waliajiriwa??kuna watu kibao walikuwa na masters zao za ud ila walipigwa chin na bachelor's holders wa udom!
uliza wanafunzi wa petroleum udsm pia jinsi gani wanavyotupigia cm kutuuliza tuwasaidie ishu za masomo! udom is a new baby.''a baby that is growing fast and quite soon shall start running''

Uko higher kifeelings ila point yako najaribu kuitafuta siioni izo publications zipo udom tu au mbona library sivioni kama vya wenzao kina proffesor shivji, Dr. Kadeghe michael, Dr. Mvungi n wengineo...ila hayo maneno niambie mkitimiza miaka 50 najua udom itakua imekomaa nakuwa na influence ndani na nje ya nchi...ila kwa sasa shamba la bibi hata wanaosomea masters wanakwambia mambo bwerere hamna kusuffer sana compares to their fellows of udsm...and about law enforcement sijasoma ili sijui nipate ajira or mkwanja mrefu or nini ni basi ni kitu iliyopo moyoni n i trust my self with it.. that nitaitumia kuibadilisha jamii yetu ya wana tz...so kwenye izo interviews unazotaka nishuhudie wala sitakuwepo 😱 😱[/QUOTE]


naiheshimu sana UDSM! nimekwera na hizo dharau zako! hata ka udom itachukua 50 yrs kuja kujulikana na kuwa bora zaid ila c sababu ya wewe kudharau uwepo wake na graduates wake! wengi wanafanikiwa kimaisha kupitia elimu wanayoipata iwe ni kuajiriwa au kujiajiri! pia kila chuo kina system yake ya ufundishaji uctake kufananisha ugumu wa ufundishaji wa chuo unachosoma ukaona vyuo vyengine hamna kitu.
 
katika orodha ya vyuo bora Tanzania.
cha kwanza ni....
1.udsm
2.SUA
3.MUHIMBILI
4.OUT
5.UDOM

NA VYUO VIKUU VYOTE TZ NI 51

NASHAANGAA MNAOPONDA UDOM

NIMESOMA SHAHADA YA KWANZA PALE,NA SHAHADA YA PILI PALE,,,,MBADILIKE NYIE WA TZ MSIOENDA VYA KWENU.
 
Uzi mzuri mkuu ,,,ubishani wa vyuo ni wastage of time,,,, ni bora tujadili nini chakuxoma chuoni ili tupunguze tatiznd la unemployment bongo!!!!
 
Walitakiwa 1800 lakini wakadahiliwa 7000+
Hawa wanaotetewa na kina BULAYA
 
Kamwe sitakubali wanangu wasome kwenye hiki chuo cha kata, inawezekana kabisa 75% ya wanachuo hawana qualifications
 
Back
Top Bottom