Mla Mbivu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 224
- 48
kamaliza degree mwaka huu kajiunga na masters mwaka huu na inaonekana kamaliza yupo internet sasa akili matope wakisema chuo cha kata mnakuwa mbog, masters kasoma kwa wiki ngapi huyu kisha yupo internet cafe. Aaha kweli ukistaajabu ya musa utaona ya .................
hee!! Hivi kuna sehemu inayosema masters kwenye ile post??
Kweli j.f imevamiwa, nenda kasome dogo, bila shaka upo sekondari.
HALAFU NANI KAKUAMBIA INTERNET SERVICE PROVIDER (ISP) NI INTERNET CAFE?
KAAZI KWELI KWELI.