Wana JF, ni halali kweli UDOM kuitwa chuo cha kata?

kamaliza degree mwaka huu kajiunga na masters mwaka huu na inaonekana kamaliza yupo internet sasa akili matope wakisema chuo cha kata mnakuwa mbog, masters kasoma kwa wiki ngapi huyu kisha yupo internet cafe. Aaha kweli ukistaajabu ya musa utaona ya .................

hee!! Hivi kuna sehemu inayosema masters kwenye ile post??
Kweli j.f imevamiwa, nenda kasome dogo, bila shaka upo sekondari.
HALAFU NANI KAKUAMBIA INTERNET SERVICE PROVIDER (ISP) NI INTERNET CAFE?
KAAZI KWELI KWELI.
 
Ndugu zangu ma GREAT THINKERS
naomba niwaulize swali moja tu leo juu ya uhalali wa baadhi ya wapinga maendeleo ya kielimu ktk JF kukiita chuo kikuu cha dodoma kuwa ni CHUO CHA KATA,ningependa kutambuwa ni vigezo ktk ku grade UDOM kama chuo kikuu cha kata?

karibuni jamvini
MSEMA UKWELIIIIII HAPENDWIIIII DAIMAAAAAA

mapinduziiii daimaaaaaaaaaaa :target::target:

Nadhani JF hawako mbali sana na ukweli. Natumaini wana vigezo vyao vya kuita chuo cha kata. Nimeongea na wengi wao na mawazo yao ni kuwa 1. Ukiona mtoa pumba JF basi atakuwa ameandika kutokea Dodoma, sina uhakika ni hapo UDOM.
2. Wakati wananchi wa vijijini wakipigania mageuzi ya uongozi wa nchi kwa njia ya kura, Wasomi [kata] Udom walikuwa wamevaa mavazi ya kijani na kupongeza mafanaikio yaliyoletwa na CCM miaka 50 iliyopita. Ni Wanakata pekee yao nchi nzima walioandamana kufungamana na mafisadi. Hata wana kata vijijini waliwashangaa.
3. Lakini ukweli ni kuwa kama umesoma shule za kata na kuibuka na CDF Mahali pa kukimbilia ni UDOM, huko SUA, UD hupati hata reserve.
Hizi CDF zinapatikana secondari za kata.

Kwa ujumla chuo ni kizuri sana kwa majengo, kinaitwa cha kata kwasababu kinapokea na kutoa sub standard wasomi! Wasomi wasiojielewa.
Ni maoni tu.
 
wewe unaijua MUHAS Kweli?hii ilikuwa MUCHS chini ya UDSM,haikuanzishwa kwa papara kama UDOM,Lecturers wake ni wazee wa zamani waliotoka university ya East Africa.Ukiona M.D kwenye kufundisha ni Tutorial ass.maprofesa wapo na hao unaosema wamepata juzi ni wawili tu.kwa taarifa yako nawafahamu M.D(MUHAS sio MUCHS graduates) walioko UDOM ambao kwa sasa wanasoma masters Bugando ili waje kufundisha watoto wetu hapo UDOM,ingawa watasaidia lakini sidhani kama watadeliver the same as prof premji,mbembati,pallangyo,matuja,karim,lyamuya e .t .c.
Nadhani u-mvivu wa kusoma la sivyo sielewi kwa nini huoni publications za watu wa MUHAS,try to visit pubmed,EA MED JOURNAL n.k ili u-appriciate kazi za kitanzania.inawezekana ulifundisha MUHAS,labda ulikuwa unafundisha midwifery au lab techn. Vitu ambavyo havifundishwi hata na degree holder.mwalimu mzuri wa clinical medicine ni yule aliyepractise thats why kuna walimu wa basic science na clinicals(medicine sio sociology or politics).ukitoa mifano rejea ya kitafiti ni lazima uangalie maeneo yote yaani duniani(worldwide)africa au E.A,sio kutuwekea data za USA Pekee.
you have to be serious when discussing serious issues like education,stop yelling like a stupid politician.
Shule za kata,vyuo vilivoibuka kama uyoga vikiongozwa na UDOM ni kosa jingine ambalo madhara yake yataonekana mda si mrefu.


Si mchezo kijana hao unawataja Ma Pro wengi wao wameshastaafu.usinidanganya mimi hiyo medicine ndiyo ndiyo kazi yangu kwa zaidi ya miaka 10 sasa na hapa nilipo nafanya fellowship ya Heart failure inayohusu ass ya micro RNA kwenye fibroblast proliferation na kupelekea heart failure nazani hiyo itakusaidia.Hao wanafunzi wa MUHAS walioko UDOM ambao wengine wapo bugando si akina MAEDA na wenzake?.Hao ma prof uliosema wametoka East Africa wengi wao wameshastaafu na hao akina Pro Mbembat amepata juzi tu na ndiyo unaweza kumuona darasani kwa sababu yeye ndiyo head wa dep ya surgery lakini hao wengiine uliowataja hata darasani hawaonekani na Pengine Pro Karim siku moja moja ndiyo unamuona kwenye seminor.lakini walimu wanaosomesha MUHAS wengi wana master na Phd holders ni wachache mno na wanaosimamia wanafunzi wa master kama wote wao wana master. Kijana usinidanganye au kunitisha hizo zote miminazijua na hamna publication hata moja wacha unafiki na uongo.nakupa challenge moja nitajie ma pro wengine wa clinical medicine kama 6 tu ambao wanafanya kazi MUHAS sasa hivi. wavha nikusaidie watatu MGUSI,LEMA,MGAYA sasa wewe nimalizie watatu. wakati hapa nilipo dep ya cardiovascula medicine kuna kama 10 hivi hao ni full pro wacha ass na assi pro. Usichokoze watu.. kwa viwango vya kimataifa kwa hali iliyokuwa nayo MUHAS sasa hivi hakifai kutoa hata degree wachia mbali master. kwa kozi ya PhD haitoweza kutoa milele....Usije kuniambia wale akina Muganyizi na wezake wa OB&GY wanafanya PhD zao MUHAS.. wale wote wanafanya vyuo vya nje wengine sweden na wengine france..Upo? nasema tena wacha kutudanganya
 
Kwa mara nyingine nasema

wanaoponda UDOM na Mataahira na inabidi wakapimwe akili,

wanapelekwa na hisia na chuki na wivu vimewatawala,

nimejaribu kufanya utafiti nikaona wote wanaoponda UDOM

ni vilaza especially wanaotoka katika vyuo flani flani

ambavyo kwa sasa vinaonekana kufunikwa na UDOM,

mdogo wangu amemaliza UDOM kwenye college ya I.T mwaka huu,

na alipata multiple admission moja ya UDSM engineering,

ila akaamua kwenda UDOM kusoma I.S na miaka yote aliyosoma pale

alifanya field na sasa anafanya kazi kwenye kampuni flani kubwa

hapa dsm inayotoa huduma za Internet (ISP),

na yuko nondo zaidi hata ya dogo wangu mwingine aliyemaliza

UDSM Computer Science mwaka jana.

Kwa kifupi ukiona mtu mwenye Bachelor kakabidhiwa course afundishe

labda anafundisha watu wa Diploma au Certificate,

lakini hakuna m2 mwenye Bachelor anayesimamia somo lolote UDOM,

zaidi ya kusimamia semina.

Narudia tena nyie mnaoponda UDOM bila kufahamu ukweli

ni wanafiki, mataahira, wapumbavu na wazandiki

msiopenda maendeleo ya elimu katika nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania, mungu ibariki UDOM.

Huna haja ya kutumia lugha ya kashfa na matusi kutetea hoja yako. Hii lugha unayoitumia inaweza kuwa inakuelezea wewe jinsi ulivyo.

Kama nia yako ni kutetea ubora wa Udom unaweza ama ukakosoa hoja wanaokiita chuo cha kata ama ukajenga hoja kuthibitisha kuwa siyo chuo cha kata.
 
kweli kizbao noma unapinga jf kuwa land yaG.thinkers alaf unasign in. We ulitaka ukute akina nani? Unasema Tz hamna socioligist theories?unajua maana ya sociology au ?sociologist uliowataja wanagusa moja kwa moja jamii ya Tz au una maana Tz ina tamaduni za watu uliowataja tu? Usiwe mzembe zunguka ktk maktaba uwajue wasomi wetu,sio kukaa vijiwen ukisimuliwa majina oh karl marx,weber! Du wee noma! Tz ina tamadun zake tofauti na unovodhani! Jf ni jamvi makini mkuu. Usipokubaliana nao haimaanishi status yao inapotea. Unataka tuanze kupimana IQ kuwa kigezo cha kuingia Jf? Una maana ianze kuwa discriminative! Je IQ za wageni wataozidi ata jf mods watapimwa na nani,au unadhan IQ yako ndo best of all? Au basi jf ikupe ajira uanze kuchuja unaowataka wewe! Wapo wengi kama wewe pindi wanapokabwa na hoja wanakimbilia kuuliza aliyekualika ni nani?ajabu! Pia wapo wanaotaka hard kopi za vyeti,IQ n.k vp mtaishia kuangalia hardkopi wakat watu wanajenga hoja. Wake up man,discuss!

Mimi nimesema social theory. na wewe mwenzangu unaelala maktaba nipe ni akina nani hao ma sociologist wa Ki tz na nipe theory zao ni zipi au nipe publication zao ili na mimi nipate kuwajua na dunia ipate kuwajua au nipe majina ya vitabu kama 3 vya sociology ambavyo vimetugwa na mtz na vinatumika kusomeshea? mimi huyo jamaa aliposhangaa sociology kusomeshwa na muhindi kwa lugha ya kebehi ilikuwa dhahir hajui anakiongea nini kwani huyo muhindi anaweza kuwa mtz vile vile je hakufikiria hivyo huyo great thinker wako?Na kuna mfano ameutoa DieHard hapo hukusu vicious cycle. na ni mtaalam kutoka canada ameweza kujua ya kuwa theory hiyo haiwi applicable TZ. hiyo inaonyesha alikuwa najua jamii ya kiTz ni ya aina gani ijapokuwa yeye si Mtz.kwa hivyo raia wa kigeni anauwezo wa kusomesha sociology Tz kwani materials nyingi sana tunazotumia zimeandikwa na wageni, lakini itakuwa jambo la busara kama waTz wakisomesha.Na mwisho mimi siyo sociologist bali nimesoma sociology as Elective nilipokuwa undergraduate(sikusoma TZ).kwa hivyo hayo majina sikuyasikia kijiweni
 
Kamaliza degree mwaka huu kajiunga na masters mwaka huu na inaonekana kamaliza yupo internet sasa akili matope wakisema chuo cha kata mnakuwa mbog, masters kasoma kwa wiki ngapi huyu kisha yupo internet cafe. aaha kweli ukistaajabu ya musa utaona ya .................

mbona unamuongezea habari? Yeye amesema mdogo wake amemaliza mwaka huu na hajaspecify kama alikuwa anachukua degree au masters.
 
Si mchezo kijana hao unawataja Ma Pro wengi wao wameshastaafu.usinidanganya mimi hiyo medicine ndiyo ndiyo kazi yangu kwa zaidi ya miaka 10 sasa na hapa nilipo nafanya fellowship ya Heart failure inayohusu ass ya micro RNA kwenye fibroblast proliferation na kupelekea heart failure nazani hiyo itakusaidia.Hao wanafunzi wa MUHAS walioko UDOM ambao wengine wapo bugando si akina MAEDA na wenzake?.Hao ma prof uliosema wametoka East Africa wengi wao wameshastaafu na hao akina Pro Mbembat amepata juzi tu na ndiyo unaweza kumuona darasani kwa sababu yeye ndiyo head wa dep ya surgery lakini hao wengiine uliowataja hata darasani hawaonekani na Pengine Pro Karim siku moja moja ndiyo unamuona kwenye seminor.lakini walimu wanaosomesha MUHAS wengi wana master na Phd holders ni wachache mno na wanaosimamia wanafunzi wa master kama wote wao wana master. Kijana usinidanganye au kunitisha hizo zote miminazijua na hamna publication hata moja wacha unafiki na uongo.nakupa challenge moja nitajie ma pro wengine wa clinical medicine kama 6 tu ambao wanafanya kazi MUHAS sasa hivi. wavha nikusaidie watatu MGUSI,LEMA,MGAYA sasa wewe nimalizie watatu. wakati hapa nilipo dep ya cardiovascula medicine kuna kama 10 hivi hao ni full pro wacha ass na assi pro. Usichokoze watu.. kwa viwango vya kimataifa kwa hali iliyokuwa nayo MUHAS sasa hivi hakifai kutoa hata degree wachia mbali master. kwa kozi ya PhD haitoweza kutoa milele....Usije kuniambia wale akina Muganyizi na wezake wa OB&GY wanafanya PhD zao MUHAS.. wale wote wanafanya vyuo vya nje wengine sweden na wengine france..Upo? nasema tena wacha kutudanganya

kufanya medicine for 10 yrs haimaanishi unaifahamu MUHAS.
Prof kinabo,mwafongo,abood,kahamba,museru,nkony the list continues.samahani kwa kuongeza zaidi ya watatu.
Nakushangaa unapokubali kuwa hata MUHAS haistahili kutoa degree halafu unatetea UDOM kuwa sio chuo cha kata.punguza ushabiki na ujuaji!!
 
mimi kukatwa kod yangu aimaanish nisie kitu ata km kibovu
kukatwa kod ni tofauti na huduma niliyokatwa kod yangu
NI CHUO CHA KATA FULL STOP.KOD YANGU INATEKETEA,

sikupingi rose ila namna wengine wanavyoponda ni kama vile udom ni takataka.
Mi nafikiri tunatakiwa kupigania nini kifanyike udom isonge mbele badala ya kutoa mapungufu ambayo vyuo vyote vya tz wanavyo ila kwa udom inaonekana kama vile vimezidi.
 
kufanya medicine for 10 yrs haimaanishi unaifahamu MUHAS.
Prof kinabo,mwafongo,abood,kahamba,museru,nkony the list continues.samahani kwa kuongeza zaidi ya watatu.
Nakushangaa unapokubali kuwa hata MUHAS haistahili kutoa degree halafu unatetea UDOM kuwa sio chuo cha kata.punguza ushabiki na ujuaji!!

Inawezakuwa hivyo kwani kufahamu kitu ni relative...Pro Aboud Hasomeshi tena..Na kitu kimoja niangalizie sehemu moja tu ya zangu niliyounga mkono UDOM kutoa. mimi nilizungumzia MUHAS baada ya kukitolea mfano wewe ya kuwa kinastahili. mimi maeleze yanu yote hapo MUHAS na UDOM ya wale wale tu na ukienda katika Private University zote Tz hali inatisha kuliko hivyo vya serikali.kusema ukweli Tz hatuna qualifyied lectures wa kutosha na hilo linajulika.huwezi kusema kwa sasa ilivyo nchi yetu tu enrol university 2500 tu. kamailivyokuwa kabla ya 2001.mwisho ninasema kama UDOM ni chuo cha kata basi hivyo vilivyobakia ni mkumbo mmoja kama mtu ana 5 ni Fna 10 ni F vilevile.
 
huna haja ya kutumia lugha ya kashfa na matusi kutetea hoja yako. Hii lugha unayoitumia inaweza kuwa inakuelezea wewe jinsi ulivyo.

Kama nia yako ni kutetea ubora wa udom unaweza ama ukakosoa hoja wanaokiita chuo cha kata ama ukajenga hoja kuthibitisha kuwa siyo chuo cha kata.

umenena mkuu,

ila wakati mwingine inabidi,

hata mkulu aliwaita kina nanihii "mbayuwayu"

hahaaa.
 
Kwa mara nyingine nasema

wanaoponda UDOM na Mataahira na inabidi wakapimwe akili,

wanapelekwa na hisia na chuki na wivu vimewatawala,

nimejaribu kufanya utafiti nikaona wote wanaoponda UDOM

ni vilaza especially wanaotoka katika vyuo flani flani

ambavyo kwa sasa vinaonekana kufunikwa na UDOM,

mdogo wangu amemaliza UDOM kwenye college ya I.T mwaka huu,

na alipata multiple admission moja ya UDSM engineering,

ila akaamua kwenda UDOM kusoma I.S na miaka yote aliyosoma pale

alifanya field na sasa anafanya kazi kwenye kampuni flani kubwa

hapa dsm inayotoa huduma za Internet (ISP),

na yuko nondo zaidi hata ya dogo wangu mwingine aliyemaliza

UDSM Computer Science mwaka jana.

Kwa kifupi ukiona mtu mwenye Bachelor kakabidhiwa course afundishe

labda anafundisha watu wa Diploma au Certificate,

lakini hakuna m2 mwenye Bachelor anayesimamia somo lolote UDOM,

zaidi ya kusimamia semina.

Narudia tena nyie mnaoponda UDOM bila kufahamu ukweli

ni wanafiki, mataahira, wapumbavu na wazandiki

msiopenda maendeleo ya elimu katika nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania, mungu ibariki UDOM.

huna cha mdogo wako wala nini wewe ndie mwanafunzi wa hapo katani,,,,,,,,,,,,,unaona jinsi ulivyofundishwa huna ethics nzuri wewe..............hapo ni chuo cha kata tu
 
Mtazamo wangu kwa vyuo vya tanzania:

1. Ifm, cbe, mwl. Nyerere, social works, kiu:

hivi ni vyuo vya kijiji

(havijafikia kata)

2. Udom, st. Johns, st. Augustine, muslim morogoro:
hivi ni vyuo vya kata

3. Tumaini, mzumbe, iaa, mist:

hivi ni vyuo vya tarafa

4. Udsm, muhas, ardhi,sua:

hivi ni vyuo vya wilaya

kwa kifupi bado hata hivyo tunavyoviona vina unafuu bado ni bomu, elimu ya bongo iko chini ndio maana chuo cha kwanza tanzania duniani hakipo hata 1000 bora.
 
huna cha mdogo wako wala nini wewe ndie mwanafunzi wa hapo katani,,,,,,,,,,,,,unaona jinsi ulivyofundishwa huna ethics nzuri wewe..............hapo ni chuo cha kata tu

nipotezee dogo,

sijaona tofauti ya udom na vyuo vingine vya bongo...
 
mtazamo wangu kwa vyuo vya tanzania:

1. Ifm, cbe, mwl. Nyerere, social works, kiu:

hivi ni vyuo vya kijiji

(havijafikia kata)

2. Udom, st. Johns, st. Augustine, muslim morogoro:
hivi ni vyuo vya kata

3. Tumaini, mzumbe, iaa, mist:

hivi ni vyuo vya tarafa

4. Udsm, muhas, ardhi,sua:

hivi ni vyuo vya wilaya

kwa kifupi bado hata hivyo tunavyoviona vina unafuu bado ni bomu, elimu ya bongo iko chini ndio maana chuo cha kwanza tanzania duniani hakipo hata 1000 bora.


TEHE TEHEEE

NIMEKUGONGEA THANKS KWA MTAZAMO WAKO,

Huu utafiti umeufanya kwa vigezo gani???
 
Mtazamo wangu kwa vyuo vya tanzania:

1. Ifm, cbe, mwl. Nyerere, social works, kiu:

hivi ni vyuo vya kijiji

(havijafikia kata)

2. Udom, st. Johns, st. Augustine, muslim morogoro:
hivi ni vyuo vya kata

3. Tumaini, mzumbe, iaa, mist:

hivi ni vyuo vya tarafa

4. Udsm, muhas, ardhi,sua:

hivi ni vyuo vya wilaya

kwa kifupi bado hata hivyo tunavyoviona vina unafuu bado ni bomu, elimu ya bongo iko chini ndio maana chuo cha kwanza tanzania duniani hakipo hata 1000 bora.

Maneno yako sawa sawa, lakini kitu kimoja ukisema 1000 unavipendelea .. havimo hata kwenye list ya first 4000 duniani.....
 
Maneno yako sawa sawa, lakini kitu kimoja ukisema 1000 unavipendelea .. havimo hata kwenye list ya first 4000 duniani.....
Tutajieni vyuo mlivyosoma nyie. Kwa maneno yenu mmeanza kukubaliana na ukweli
 
Mtazamo wangu kwa vyuo vya tanzania:

1. Ifm, cbe, mwl. Nyerere, social works, kiu:

hivi ni vyuo vya kijiji

(havijafikia kata)

2. Udom, st. Johns, st. Augustine, muslim morogoro:
hivi ni vyuo vya kata

3. Tumaini, mzumbe, iaa, mist:

hivi ni vyuo vya tarafa

4. Udsm, muhas, ardhi,sua:

hivi ni vyuo vya wilaya

kwa kifupi bado hata hivyo tunavyoviona vina unafuu bado ni bomu, elimu ya bongo iko chini ndio maana chuo cha kwanza tanzania duniani hakipo hata 1000 bora.

Aise kumbe kuna tofauti kubwa namna hiyo? Nilidhani vipo level moja
 
Back
Top Bottom