Mla Mbivu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 224
- 48
hakuna la kujivunia!elimu sio majengo.
Tatizo letu tanzania tunataka kila mtu awe na 'white coller job'
vocational training ni muhimu kwa watoto wetu,haiwezekani na haitatokea watanzania wote tukawa na akili za kufika university hata tukiweka udom kila kata.lazima kuwe na wasomi werevu(wachache) na watu wenye elimu ya msingi level ya vocational training/fom 6 ya ukweli.wasomi hawa wapewe jukumu la kuiletea maendeleo nchi kwa kutumia vipaji vyao vya kiakili.hata marekani,uk na kenya hakuna degree holders weengi kama tunavyohisi.nadhani ingekua jambo la msingi kuviboresha vyuo kama udsm,sua,mzumbe,ifm,dit... Kuliko kukurupuka na hiki chuo cha kata.
Najua ntawaumiza sana wale wanaopata marks za tia maji tia maji but i ll never hesitate kueleza ukweli unapohitajika.
mwana acha chuki wewe, wewe ulikuwa unaona poa
dodoma isiwe na chuo eti viboreshwe vilivyopo?
Sema kama umefanya utafiti na ukaona utofauti uliopo
especially ki-academic kati ya udom na hivyo vyuo ulivyotaja hapo juu,
tuambie vyuo hivyo vimeizidi udom katika nyanja zipi kielimu, au unaropoka tu.
Acha chuki za kishamba.