netti mimi
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 147
- 108
Habari Wana JF,
Nina rafiki yangu amemaliza chuo kikuu mwaka juzi sasa mwezi uliopita kwa bahati mbaya mvua ikinyesha akiwa yupo miangaikoni begi analowekea nguo na vitu vya muhimu akakuta limeloa ivyo ikapelekea cheti chake cha chuo kuloa na kuharibika na vilevile kusababisha bahadhi ya masomo kutokuonekana yaan yamefutika. Swali: Je, afanye nini kupata kipya ni chachuo tu vingine aliwekea lamination. Chuo ni SAUT Mwanza.
Asanteni sana
Nina rafiki yangu amemaliza chuo kikuu mwaka juzi sasa mwezi uliopita kwa bahati mbaya mvua ikinyesha akiwa yupo miangaikoni begi analowekea nguo na vitu vya muhimu akakuta limeloa ivyo ikapelekea cheti chake cha chuo kuloa na kuharibika na vilevile kusababisha bahadhi ya masomo kutokuonekana yaan yamefutika. Swali: Je, afanye nini kupata kipya ni chachuo tu vingine aliwekea lamination. Chuo ni SAUT Mwanza.
Asanteni sana