Nashukuru kwa kunikumbuka mkuu,mi nipo bwana...shaka ondoa.....Pa1balantanda
I miss Mkuu Mwiba.
Is there anyone who knows his whereabouts?
Ushapata Laga saa hizi haya bwana...Mwiba apotelee hukohuko alipo hatum-miss wala nini..
Ushapata Laga saa hizi haya bwana...
Sasa unachanganya lugha sijuwi chupa ya ngapi hiyo ushaitundika kwenye medula oblongata.Yeba..nakamata laga kwa kupitia fedha ninayoi-earn kwa jasho langu..thats is wasup ai?
Rafiki yangu Mwiba amefulia...tehe teheMimi namtafuta NaimaOmari..mweye info zake please anijulishe😕
Pia ndugu Mwiba....🙂
Yupo around...Mimi namtafuta NaimaOmari..mweye info zake please anijulishe😕
Kibs,Yupo around...
Wachangiaji makini wengi watakimbia JF iwapo MODS hawatakuwa makini kupunguza pumba zinazozidi kushika kasi hapa, jamaa wa zeutamu wamejikita hapa! by the way yule jamaa YIMN naye yuko wapi?