Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Naona undercurrent sarcasm kwa sana.

Mzee wa sauti ya umeme mafanikio mema.
 
This FMES character seems to be very "interesting" in real life

- Ohh yeah!, family and religious man, wife with two kids na siku zote kusaidia sana wananchi wengine wanaohitaji msaada ninaouweza tu, na always a JF-member.

Otherwise, usiogope ni bin-adam kama wengine wote, ila very humble na down to earth na kumbuka this is internent.

Respect - FMES!
 
Hahaaaa...LOL....Unanichekesha sana mpwa...Kwamba unaivizia nafasi kubwa kitaifa...Unataka kusikia kitaifa zaidi....LOL...Haya kila la kheri(kwi kwi kwi)...Ukatuwakilishe vema huko...Penye nia pana njia mazee

- Mkulu wangu heshima sana, ila wenye akili nyingi wanasema hivi whatever you do hakikisha kuwa you are the best, na wengine wanakuona na kukusikia taifa ni watu na watu wenyewe ni sisi, bwa! ha! ha! ha!.

Respect!
 
Naona undercurrent sarcasm kwa sana.

Mzee wa sauti ya umeme mafanikio mema.

- Mkuu Icadon, always respect unajua hilo, waswahili wanasema fumbo huwa wanafumbiwa wajinga, werevu hung'amua tena mapema sana kwa hiyo usiwe na wasi mkuu everything is under control maana jamaaa ninamjua vizuri sana na all his games humu JF, bwa! ha! ha! na yeye anajua hilo tena vizuri sana.

Respect!
 
Ungewachunia kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ungekuwa umewapatia zaidi!! Wallahi tena......Kadampinzani aliondoka kimya kimya, Mchambuzi alisema anaondoka na hakurudi tena! Saa nyingine FMES unawapa ammo hawa "adui" zako, ukisha-declare kitu basi hakuna kuangalia nyuma, vinginevyo unakuwa unakula maneno yako na ndio maana jamaaz wanaendelea kukuzodoa!!

Uchune....

- Mkulu wangu YRSMINE,

Wewe ni jabali la JF na you have my respect, tupo pamoja sana mkuu, usiwe na wasi wasi mkuu wangu unajua hii pia sometimes ni burudani katika bulogu, it is fun maisha huwa yanahitaji kupunguza stress, otherwise nimesikia ujumbe wako mzito sana.

With all my Respect!

Wazee wa sauti ya umeme - FMES!
 
Ungewachunia kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ungekuwa umewapatia zaidi!! Wallahi tena......Kadampinzani aliondoka kimya kimya, Mchambuzi alisema anaondoka na hakurudi tena! Saa nyingine FMES unawapa ammo hawa "adui" zako, ukisha-declare kitu basi hakuna kuangalia nyuma, vinginevyo unakuwa unakula maneno yako na ndio maana jamaaz wanaendelea kukuzodoa!!

Uchune....

Aka wazee wa logic bila ze dataz.
 
Haya Mkuu kila la heri. Hii vita dhidi ya mafisadi wanaoingamiza nchi yetu ndiyo kwanza imeanza na inahitaji juhudi za Watanzania wote popote pale walipo ili tuwashinde mafisadi hawa na kuwatokomeza kabisa. Naifananisha vita hii na vita vya nduli maana Mwalimu alitwambia 'sababu za kupambana na nduli tunazo, ari tunayo na uwezo pia tunao' hivyo hivyo tunaweza kuyatumia maneno hayo katika vita dhidi ya mafisadi maana athari zake kwa Watanzania zinashabihiana sana na athari zilizobabishwa na uvamizi wa nduli.. Popote pale ulipo unaweza kabisa kuendelea kushiriki katika mapambano hayo. Kwa mara nyingine nakutakia kila la heri wewe na familia yako, nafasi ikikuruhusu basi si vibaya kupita hapa jamvini kwetu.
 
FEMES,
Have never seen you as calm as today, you havent flipped at anyone so far! this is the right attitude kama utakuwa unafikiria kupanda majukwaani as its completely different issue na kuandika kwenye mtandao, if you say wrong things mbele za watu siku hizi unapopolewa mawe! And so many people will be saying things that you dont want to hear ,tena infront of your face- you will need this kind of calmness!
All the best and goodluck, unakaribishwa London for a cuppa.
 
FMES heshima mbele sana mkuu kama unavyopenda kusema siku zote!
ni juzi tu hapa nimeamua kuwa member wa JF.lakini siyo kweli kwamba nimeijua Jf juzi hiyohiyo na kuamua kuwa member.naijua jf tangia 2006.
Mkuu wewe ni mmoja kati ya watu ambao nilikuwa naifuatilia michango yao kwa karibu sana.Umenifanya niijue vizuri ccm na wakulu wa tanzania kwa ujumla kwa dataz zako ulizokuwa ukizimwaga hapa jamvini.personally ukitaja top 5 best members wa jf lazima nili include jina lako na siyo unafiki.
kuondoka kwako kutaipoozesha jf hasa katika jukwaa la siasa.kwavile ni uamuzi wako hakuna wakukuzuia lakini zile breaking news za ccm mkuu ingekuwa vyema kama ungeendelea kutuletea
otherwise kwahayo machache,all the best mkuu katika hizo plans zako mpya.
 
Haya Mkuu kila la heri. Hii vita dhidi ya mafisadi wanaoingamiza nchi yetu ndiyo kwanza imeanza na inahitaji juhudi za Watanzania wote popote pale walipo ili tuwashinde mafisadi hawa na kuwatokomeza kabisa. Naifananisha vita hii na vita vya nduli maana Mwalimu alitwambia 'sababu za kupambana na nduli tunazo, ari tunayo na uwezo pia tunao' hivyo hivyo tunaweza kuyatumia maneno hayo katika vita dhidi ya mafisadi maana athari zake kwa Watanzania zinashabihiana sana na athari zilizobabishwa na uvamizi wa nduli.. Popote pale ulipo unaweza kabisa kuendelea kushiriki katika mapambano hayo. Kwa mara nyingine nakutakia kila la heri wewe na familia yako, nafasi ikikuruhusu basi si vibaya kupita hapa jamvini kwetu.

- Mkulu Bubu, siku zote you have my respect, mafisadi toka baada ya uchaguzi wa UV-CCM, wamegeuza makali sasa hivi wana-play katika level mpya tena ya ajabu sana, walifanikiwa kumdanganya kila mtu kwenye uchaguzi wa UWT na since then wamekuwa kama invisible, wamezuia habari zote za uozo wa UV-CCM zisitoke, majuzi wamempa heshima kubwa Kawawa, ambayo wananchi wengi hawaelewi the catch behind hiyo hype, kwamba wanamtayarisha tu Kawawa kumtumia kwenye kamati kuu katika kuenguea majina ya wagombea wasiowataka,

- Mafisadi wakiongozwa na Lowassa, Nchimbi, na Kingunge na Makamba watakuita mbele ya CC halafu watakwambia kuwa Mzee Kawawa ni kiongozi safi na mwenye kuheshimika sana na taifa, watamsimamisha ili akwambie kwamba hufai kupewa nafasi ya kugombea maana Mwalimu angekuwepo asingependa wagombea kama wewe, akimaliza you are out ndio maana hasa ya kelele za majuzi Ikulu na kitabu cha Kawawa, WhY now? Mafisadi wameanza kujipanga hao. Majuzi umeona sasa Mama Maria akitembelea Ikulu na picha na muungwana unafikiri ni kwa nini hasa? Na why now? Viongozi muhimu karibu wote wa upinzani wanasema wanatafuta ubunge, na sasa it is official kwamba tutanunua Dowans na kumlipa Rostam kupitia kwa Manji,

Basically, for now tumeshindwa vita na mafisadi labda mpaka baada ya uchaguzi ujao it hurts lakini ndio the ugly truth, wabunge sasa matumbo joto maana the time is up na mafisadi are all over wengi wao na hasa tuliokuwa tukiwategemea wameanza kukata deal nao yaani mafisadi, it is ugly outthere mkuu, lakini hatufi tamaa kuna uwezekano wa kuwarudisha wabunge wapiganaji labda wanne tu inasikitisha lakini ndio tatizo la umasikini wetu, wengi wetu ni masikini wa mali sasa tumeruhusu umetufika mpaka kwenye akili, nguvu ya mafisadi ni pesa tu maana wabunge wetu wengi wapiganaji hawana pesa kwa hiyo we lost tena big time.

Otherwise, heshima mbele sana na kazi njema wewe na familia yako pia.

Respect!
 
FEMES,
Have never seen you as calm as today, you havent flipped at anyone so far! this is the right attitude kama utakuwa unafikiria kupanda majukwaani as its completely different issue na kuandika kwenye mtandao, if you say wrong things mbele za watu siku hizi unapopolewa mawe! And so many people will be saying things that you dont want to hear ,tena infront of your face- you will need this kind of calmness!
All the best and goodluck, unakaribishwa London for a cuppa.

- Mkuu wangu respect, malumbano ya JF ni one thing na real politics ni another story, nimekulia kwenye siasa ninajua tofauti ya mawe ya kweli na ya kwenye internent, lakini nimekusikia sana.

Respect!
 
FMES heshima mbele sana mkuu kama unavyopenda kusema siku zote!
ni juzi tu hapa nimeamua kuwa member wa JF.lakini siyo kweli kwamba nimeijua Jf juzi hiyohiyo na kuamua kuwa member.naijua jf tangia 2006.
Mkuu wewe ni mmoja kati ya watu ambao nilikuwa naifuatilia michango yao kwa karibu sana.Umenifanya niijue vizuri ccm na wakulu wa tanzania kwa ujumla kwa dataz zako ulizokuwa ukizimwaga hapa jamvini.personally ukitaja top 5 best members wa jf lazima nili include jina lako na siyo unafiki.
kuondoka kwako kutaipoozesha jf hasa katika jukwaa la siasa.kwavile ni uamuzi wako hakuna wakukuzuia lakini zile breaking news za ccm mkuu ingekuwa vyema kama ungeendelea kutuletea
otherwise kwahayo machache,all the best mkuu katika hizo plans zako mpya.

- Ahsante sana mkuu, na Respect back!
 
-...ni majuzi tu mshikaji wangu mwingine wa karibu sana Sister Pendo, alifariki dunia bado mpaka leo inanipa taabu sana mkuu kuikubali maana unajua sometimes kuna washikaji wavuka level ya ushikaji na kuwa kama ndugu...

Respect!

Pole sana kwa kuondokewa na 'mshikaji' wako, inabidi ukubali tu ndio hali halisi.


- Mkulu Bubu, siku zote you have my respect, mafisadi toka baada ya uchaguzi wa UV-CCM, wamegeuza makali sasa hivi wana-play katika level mpya tena ya ajabu sana, walifanikiwa kumdanganya kila mtu kwenye uchaguzi wa UWT na since then wamekuwa kama invisible, wamezuia habari zote za uozo wa UV-CCM zisitoke, majuzi wamempa heshima kubwa Kawawa, ambayo wananchi wengi hawaelewi the catch behind hiyo hype, kwamba wanamtayarisha tu Kawawa kumtumia kwenye kamati kuu katika kuenguea majina ya wagombea wasiowataka,

- Mafisadi wakiongozwa na Lowassa, Nchimbi, na Kingunge na Makamba watakuita mbele ya CC halafu watakwambia kuwa Mzee Kawawa ni kiongozi safi na mwenye kuheshimika sana na taifa, watamsimamisha ili akwambie kwamba hufai kupewa nafasi ya kugombea maana Mwalimu angekuwepo asingependa wagombea kama wewe, akimaliza you are out ndio maana hasa ya kelele za majuzi Ikulu na kitabu cha Kawawa, WhY now? Mafisadi wameanza kujipanga hao. Majuzi umeona sasa Mama Maria akitembelea Ikulu na picha na muungwana unafikiri ni kwa nini hasa? Na why now? Viongozi muhimu karibu wote wa upinzani wanasema wanatafuta ubunge, na sasa it is official kwamba tutanunua Dowans na kumlipa Rostam kupitia kwa Manji,

Basically, for now tumeshindwa vita na mafisadi labda mpaka baada ya uchaguzi ujao it hurts lakini ndio the ugly truth, wabunge sasa matumbo joto maana the time is up na mafisadi are all over wengi wao na hasa tuliokuwa tukiwategemea wameanza kukata deal nao yaani mafisadi, it is ugly outthere mkuu, lakini hatufi tamaa kuna uwezekano wa kuwarudisha wabunge wapiganaji labda wanne tu inasikitisha lakini ndio tatizo la umasikini wetu, wengi wetu ni masikini wa mali sasa tumeruhusu umetufika mpaka kwenye akili, nguvu ya mafisadi ni pesa tu maana wabunge wetu wengi wapiganaji hawana pesa kwa hiyo we lost tena big time.

Otherwise, heshima mbele sana na kazi njema wewe na familia yako pia.

Respect!

Duh, hii ndio JF addiction, yaani hata wakati wa kuaga unamwaga 'dataz' tena mbichi mbichi.


Mapumziko mema kwa matumaini ya kukusoma muda sio mrefu. Respect.
 
Pole sana kwa kuondokewa na 'mshikaji' wako, inabidi ukubali tu ndio hali halisi.


Duh, hii ndio JF addiction, yaani hata wakati wa kuaga unamwaga 'dataz' tena mbichi mbichi.

Mapumziko mema kwa matumaini ya kukusoma muda sio mrefu. Respect.

- Respect
 
Mkuu heshima ikufikie,

Kwa kweli ulikuwa umenikuna katika nyanja nyingi hapa JF.

Nakutakia kila lakheri uko kwenye wanja mpya

Kwa kweli, baada ya kusoma mabandiko yako huko, wewe ni kweli Mkuu wa uwanja wa Vita sio JF Ville bali hata kwenye wanja Kuu-Tanzania. Utabakia kuwa ma fav pale JF Ville- Na utabakia kuwa ma fav kwenye siasa za Watanzania.

Nitahakikisha nakutafuta hapa Dar, utanijua vizuri.

Sure, nita miss karakta wangu mkuu KB!!!😀

No hard feelings.

Aluta continua.
 
- Wakuu wengine wote respect na hakuna tatizo tutajibu maswali yote na concerns kama zipo, maana sio vyema kuwekewa maneno mdomoni na wengine

Haya Kamanda kila laheri kwenye uwanja mpya....tofauti za kifikra ukizikubali zitakujenga sana....utaendelea kubaki memba muhimu hapa JF michango yako ni lulu....hata kama wengine hupingana na wewe....sehemu ya maisha ya kijamii

Best wishes

Masa
 
- Mkulu Bubu, siku zote you have my respect, mafisadi toka baada ya uchaguzi wa UV-CCM, wamegeuza makali sasa hivi wana-play katika level mpya tena ya ajabu sana, walifanikiwa kumdanganya kila mtu kwenye uchaguzi wa UWT na since then wamekuwa kama invisible, wamezuia habari zote za uozo wa UV-CCM zisitoke, majuzi wamempa heshima kubwa Kawawa, ambayo wananchi wengi hawaelewi the catch behind hiyo hype, kwamba wanamtayarisha tu Kawawa kumtumia kwenye kamati kuu katika kuenguea majina ya wagombea wasiowataka,

- Mafisadi wakiongozwa na Lowassa, Nchimbi, na Kingunge na Makamba watakuita mbele ya CC halafu watakwambia kuwa Mzee Kawawa ni kiongozi safi na mwenye kuheshimika sana na taifa, watamsimamisha ili akwambie kwamba hufai kupewa nafasi ya kugombea maana Mwalimu angekuwepo asingependa wagombea kama wewe, akimaliza you are out ndio maana hasa ya kelele za majuzi Ikulu na kitabu cha Kawawa, WhY now? Mafisadi wameanza kujipanga hao. Majuzi umeona sasa Mama Maria akitembelea Ikulu na picha na muungwana unafikiri ni kwa nini hasa? Na why now? Viongozi muhimu karibu wote wa upinzani wanasema wanatafuta ubunge, na sasa it is official kwamba tutanunua Dowans na kumlipa Rostam kupitia kwa Manji,

Basically, for now tumeshindwa vita na mafisadi labda mpaka baada ya uchaguzi ujao it hurts lakini ndio the ugly truth, wabunge sasa matumbo joto maana the time is up na mafisadi are all over wengi wao na hasa tuliokuwa tukiwategemea wameanza kukata deal nao yaani mafisadi, it is ugly outthere mkuu, lakini hatufi tamaa kuna uwezekano wa kuwarudisha wabunge wapiganaji labda wanne tu inasikitisha lakini ndio tatizo la umasikini wetu, wengi wetu ni masikini wa mali sasa tumeruhusu umetufika mpaka kwenye akili, nguvu ya mafisadi ni pesa tu maana wabunge wetu wengi wapiganaji hawana pesa kwa hiyo we lost tena big time.

Otherwise, heshima mbele sana na kazi njema wewe na familia yako pia.

Respect!

Quite interesting! That is how people will miss you if you go!!

Mimi nayaona mwenyewe kwa macho yangu baada ya kurudi bongo. Ni makubwa kuliko yanavyoonekana kwenye internet. Hii vita ya ufisadi bado ni abstract zaidi kuliko reality. Ni vigumu mno kuushinda ufisadi katika hali ambayo watu wanashabikia na kusifia watu waliofanikiwa kwa ufisadi. Lakini inabidi vita iendelee, hakuna kurudi nyuma.
 
- Basically, for now tumeshindwa vita na mafisadi labda mpaka baada ya uchaguzi ujao it hurts lakini ndio the ugly truth, wabunge sasa matumbo joto maana the time is up na mafisadi are all over Respect!

Mkuu FMES nimekaa na kuyafikiria sana hayo uliyoandika especially the quoted ones. Lakini I have just come up with a solution, though that might sound harsh, primitive, innapropriate, or impracticable!!!!

Unakumbuka ule usemi usemao "UKITAKA KUUA NYOKA ANZA NA KICHWA" ?
 
Mkuu heshima ikufikie,

Kwa kweli ulikuwa umenikuna katika nyanja nyingi hapa JF.

Nakutakia kila lakheri uko kwenye wanja mpya

Kwa kweli, baada ya kusoma mabandiko yako huko, wewe ni kweli Mkuu wa uwanja wa Vita sio JF Ville bali hata kwenye wanja Kuu-Tanzania. Utabakia kuwa ma fav pale JF Ville- Na utabakia kuwa ma fav kwenye siasa za Watanzania.

Nitahakikisha nakutafuta hapa Dar, utanijua vizuri.

Sure, nita miss karakta wangu mkuu KB!!!😀

No hard feelings.

Aluta continua.

- Respect!
 
Back
Top Bottom