Searching and looking for his name in Tanzania daima magazines but its always absent,
Because he is no body,just house negro of Dr.W.Slaa
He loves chadema more than he loves himself,
Trying to fool the mass that he is the grandson of nyerere,but gues what..!!,he is just stupid njaa kali and kanjanja lisilo na mbele wala nyuma.
Young boy u have to live yourlife now because there's no promise of a second time again,all what you have to do is just 'live'
Laiti chadema wangekuwa wana plan nawewe tokea pale ulipoanza kujikweza na kujichukulia nasaba ya nyerere na kuacha nasaba ya msambila ambae ni mzee wako mzazi,obviously wangekupa hata nafasi ya ufagizi pale ufipa,lakini ndio kwanza wanazidi kukupuuza,huoni kama unazidi kupoteza muda zaidi...!!
Njoo huku Mtwara tukupe mashamba ya korosho ulime,i think that will help you,mjini hapo pagumu sana na pameshakushinda usizidi kudhalilika
Na Said Kubenea
JAKAYA Mrisho Kikwete, mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa, anapaswa kushitakiwa kwa uchochezi.
Akifungua mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama chake mjini Dodoma leo, Kikwete alichochea wanachama wa CCM kuwapiga wapinzani kwa kudai kuwa, "Uvumilivu una kikomo."
Amewataka wana CCM kuacha unyonge kwa madai kwamba wapinzani wamekuwa wakiwapiga huku wao wakisubiri polisi kuchukua hatua za kisheria.
Hii ina maana kwamba, Kikwete ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano, amewataka wanachama wa CCM, kuchukua sheria mkononi. Ametaka wananchi kuumizana, kupingana na kuuana. Huu ni uchochezi unaoweza kuingiza nchi katika machafuko ya kisiasa, kidini na kijamii.
Kama Kikwete alitaka urais, bila shaka alijipima na kujiona anaweza kufanya kazi hiyo. Kama alikuwa anajua anakwenda Ikulu kujaribu, basi alikuwa amekosea. Ikulu siyo sehemu ya kujaribu.
Kauli ya Kikwete ya kutaka wananchi wajibu mapigo, ni ishara kwamba ameomba kazi ambayo haiwezi.
Rais wa nchi hawezi kuchochea raia wake kupigana. Anapaswa kutumia vyombo alivyonavyo kusimamia sheria.
Ni lazima akumbushwe kwamba nchi hii ikiingia katika machafuko au mauaji ya halaiki, yeye ndiye atakuwa wa kwanza kuulizwa. Anaweza asiulizwe na vyombo vya sheria vya hapa, lakini ataulizwa na vyombo vingine vya dunia.
Mbona hukusema haya wakati wana CCM wamechomewa nyumba, wamekatwa mikono na kutolewa macho huko kahama?
Mbona hukuwashitaki Mbowe na Slaa wanaotembea kwa chopper kushinikiza ngumi na mapanga kila siku?
Mchochezi ni nani? Umemwelewa JK we Kubenea au ni muendelezo wa majungu yako ya kukosa kuteuliwa nae tangu 2005?
JK hakumaanisha mapanga wala ngumi, na kama unapenda haki dhidi ya wachochezi basi faili la kwanza Mahakamani washitakiwe Mbowe na Slaa pamoja na wabunge wao kwa uchochezi na utekelezaji wa mauaji.
Nenda Bugando Mwanza ukawaone majeruhi ndo uje uandike makala yenye haki.
Kubenea unajiaabisha.
Hata wao chadema watakushangaa kama unasimama kuwatetea.
Ushahidi wa mwanzo ni namna wananchi walivyoamua kuwakataa kupitia kura na kuambulia kata 3, je unadhani hiyo ni kawaida?
Kubenea vua miwani ya ushabiki uitendee haki kalamu yako.
Anataka wachukue hatua kama hizi bila hofu. Maana hakuna wa kupelekwa Polisi wala mahakamani kama ilivyotokea hapo
View attachment 139464
View attachment 139466
Huyu Masawe kaenda kuvamia mkutano wa CCM ili iweje? Alikua anatafuta kubakwa?
ahadi ya kupewa ubunge wa viti maalum na chadema imemtia uchizi huyu kubenea,hajui kwamba viti maalum vimefutwa? mbowe na slaa wamemdanganya, huyu kubenea toka amwagiwe tindikali akili zake haziko sawa, kiufupi tu, ni kwamba KUBENEA KAWA CHIZI...
kama mgekuwa mnajali haki za watu kupiga kura,daftari lingekuwa linafanyiwa review kilamwaka kwa ajiri ya kusajiri watu wapya wanaokidhi kigezo cha umri.don't preach water while drinking wine.Alicho sema sawa tu.
Kama vyama vingine vina fanya uhuni na ugaidi ili kuwatusha watu wasipige kura njia nzuri ni kujibu mapigo kwa kuwalinda wakapige kura.
Wakizongea vituo vya kuisabia kura nao ccm wazongee
Fujo za uchaguzi za wengine jawabu ni jino kwa jino
Nafikiri mkuu The bigshow umeenda nje ya maada! Nakuomba urudi ujadili uzi uliowekwa na si kumshambulia mtu.
Kama unataka kupeleka ujumbe kwa Yericho, anzisha uzi wako na sio kwenye uzi huu!
Maada iliyo mbele yetu ni kauli ya mheshimiwa rais wa jmt. Je ni Kweli alitoa kauli hiyo? Na kama aliitoa, kwa yeye kama rais wa nchi anayesimamia na kuilinda katiba yetu ni sawa? Kama si sawa, je amevunja sheria?
Chadema kaeni mkijua kile mlicho fanya Shinyanga kitalipwa kalenga au chalinze
Na bado, si mlifikiri CCM wamelala, mtakiona cha moto na vurugu zenu.
mimi naona mwenyekiti wa chamaKatka hali ya kushangaza,mkuu wa nchi,rais jk amechochea wananchi kupigana et kwa sabb tu ya itikadi za kisiasa.
Rais kawaambia wana ccm akiwa kwenye kikao cha nec dodoma kuwa,'acheni woga,nany jibuni mapigo..,.
Rais kasahau kuwa wenye ugomvi ni ccm kwani kule kahama,wanaccm walimteka na kumpiga mwandish wa habar wa mwananchi et kwann wanawapiga picha wanaccm wakiwapiga wapinzani..
Ni dhahir kuwa sasa serikali ya ccm ndio wachochez wakuu hata kwa migogoro ya ardh..kaul hii ni ya kupingwa kwa nguv zote..
Moods hata ukifuta, magazet karb yote yameandika leo
kama mgekuwa mnajali haki za watu kupiga kura,daftari lingekuwa linafanyiwa review kilamwaka kwa ajiri ya kusajiri watu wapya wanaokidhi kigezo cha umri.don't preach water while drinking wine.
Amechoka na amani ana taka kujaribu kwanza ya Rwanda na Burundi.
kama mgekuwa mnajali haki za watu kupiga kura,daftari lingekuwa linafanyiwa review kilamwaka kwa ajiri ya kusajiri watu wapya wanaokidhi kigezo cha umri.don't preach water while drinking wine.
Hii mada ya YERIKO inahusiano gani na daftari la kupigia kura? au kuwapiga watu kuna uhusiano gani na daftari kuboreshwa? shughulisha akili yako mkuu.