Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

wewe mjinga usisababishe tukapata hasira bure hivi unajua ni watu wa ngapi wa chadema wameishauwawa na kuumizwa na wengine mpaka sasa ni vilema kuanzia wakati wa uchaguzi wa Kiteto 2007,Tarime, busanda, biharamulo,na mpaka igunga kumbe Kikwete alinyamazia yale mauji kwasababu yeye ni sehemu ya mpango huo amehusika kupanga huu upuuzi wa kuwaua Watanzania kwasababu wana mawazo mbadala huyu anatangaza umwagaji damu na hatuatakubali hata kidogo.

Waliuawa kwa sababu gani? kama siyo vurugu walizoanzisha wao? usitegemee kuwa ukianzisha vurugu siyo lazima ufe wewe, jiwe likirushwa halichagui umeanzisha vurugu wewe au la. CHADEMA mjitathmini sana, ukiona mkuu wa nchi ametoa kauli kama hiyo ujue serikali imechoka, sasa mkiendekeza viroba vyenu na uchagaa hakika mtakwisha
 
JAKAYA Mrisho Kikwete, mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa, anapaswa kushitakiwa kwa uchochezi.

Akifungua mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama chake mjini Dodoma leo, Kikwete alichochea wanachama wa CCM kuwapiga wapinzani kwa kudai kuwa, “Uvumilivu una kikomo.”

Amewataka wana CCM kuacha unyonge kwa madai kwamba wapinzani wamekuwa wakiwapiga huku wao wakisubiri polisi kuchukua hatua za kisheria.

Hii ina maana kwamba, Kikwete ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano, amewataka wanachama wa CCM, kuchukua sheria mkononi. Ametaka wananchi kuumizana, kupingana na kuuana. Huu ni uchochezi unaoweza kuingiza nchi katika machafuko ya kisiasa, kidini na kijamii.

Kama Kikwete alitaka urais, bila shaka alijipima na kujiona anaweza kufanya kazi hiyo. Kama alikuwa anajua anakwenda Ikulu kujaribu, basi alikuwa amekosea. Ikulu siyo sehemu ya kujaribu.

Kauli ya Kikwete ya kutaka wananchi wajibu mapigo, ni ishara kwamba ameomba kazi ambayo haiwezi.

Rais wa nchi hawezi kuchochea raia wake kupigana. Anapaswa kutumia vyombo alivyonavyo kusimamia sheria.

Ni lazima akumbushwe kwamba nchi hii ikiingia katika machafuko au mauaji ya halaiki, yeye ndiye atakuwa wa kwanza kuulizwa. Anaweza asiulizwe na vyombo vya sheria vya hapa, lakini ataulizwa na vyombo vingine vya dunia.


binafsi nilitoa chozi la furaha baada ya kusikia kauli Hii..

imetutia nguvu hatuta vumilia ujinga wala kuwa wanyonge mbele ya watu dhalimu
 
Umenikumbusha ndugu,katika orodha ya wanachama wa freemason na Rais wenu yumo,hivyo yawezekana ni zamu yake kutoa damu za watu,ndiyo anatafuta hizo damu kwa njia za uchochezi wa Raia wake ili Damu ipatikane.

unafikiri FREEMANSON MBOWE yeye hataki kutoa kafara?
 
binafsi nilitoa chozi la furaha baada ya kusikia kauli Hii..

imetutia nguvu hatuta vumilia ujinga wala kuwa wanyonge mbele ya watu dhalimu
Mkuu kila mtu anayependa kuona amani inaendelea kudumu atakuwa ameipokea hii kauli kwa mikono miwili kwa vile sasa wadhalimu wanajua kuwa muda wowote wanaweza kukabiliana na nguvu ya dola.
 
muwe mnawauliza mapdre wenu wawatafsirie wamesoma sana biblia ambayo kwa kiwango kikubwa imeandikwa kwa mafumbo la sivyo hamutaweza kujua viongozi wasomi wa CCM wanakuwa wanamaanisha nini kwenye kauli zao. Usitegemee vichwa matope kama cha MBOWE, LEMA, MSIGWA , LISSU, VICENT NYERERE na ninyi wote mjue wanakuwa wana maanisha nini?

1. CHADEMA ikiingia madarakani , mfuko wa cement 5000/= . gharama ya kuzalisha mfuko mmmoja shilingi ngapi?
2. CHADEMA ikiingia madarakani elimu, afya bure. tupe mfano wa nchi mojawapo afrika na hata ulaya inayotoa elimu bure?
3.Itaichukua CHADEMA mwaka mmoja kuibadilisha Tanzania kuwa nchi ya viwanda. unajua mapinduzi ya viwanda ulaya yalichukua muda gani?
4. Bomba la gesi kutoka Mtwara linjaengwa kwenda Ulaya na siyo Dar es Salaam, SLAA huyo.
5. Itaichukua CHADEMA siku 100 kuipatia Tanzania Katiba mpya. Tangu mchakato wa Katiba mpya uanze siku 100 bado? au hiyo ya CHADEMA wangelkaa mtaa wa UFIPA na kuiandika ili ndani siku 100 iwe imekamilika?

Kama ni matamshi ya kijinga CHADEMA wanaongoza.

Thatha, nitakupa mambo machache hapa chini ili na wengine wa kusaidie kuongeza na kukukumbusha na masuala ya Dini sinta yagusia kabisa kwasabbu hiyo ni sera ya CCM NA KILA MWANANCHI MTANZANIA MWENYE AKILI TIMAMU HILI ANALIJUA;
1.CHADEMA walisema nchi inahitaji KATIBA mpya na wakaiweka katika Ilani yao ya uchaguzi sasa ninajiuliza iweje CCM isiyokuwa ya Kidini ikaiba sera ya Chama cha Kidini na kuifanya ya kwake.Uniambie uandikaji wa Katiba Mpya mnatekeleza Ilani ya nani? CHADEMA au CCM?
2.CHADEMA walisema wakichukua nchi Elimu itatolewa Bure na kama ilivyo ada kwa ukasuku wa CCM mka adopt hili hook nail and sinker bila hata kuomba ushauri kwa vichwa hivi unavyo viita vya kidini viwaelekeza na mna ya kutekeleza mpango huo badala yake Mumeishia kuchemsha.
3.Tabia hii ya kugelezea vitu kwa wengine au kupenda kuteleza kwenye ganda la ndizi bila kushughulisha bongo ndo yanayopelekea kuanza kulalama humu JF mara ooh Warioba kakosea ,mara ooo serikali mbili ndo sera yetu,mARA TUJIANDAE KISAIKOLOJIA , MARA OOOH SASA TUSIWE WALEGEVU nk.
4. Kuhusu mapinduzi ya Ulaya kuchukua Miaka mingapi acha uvivu wa kufikiri CHADEMA hawajazungumzia kuanzisha teknolojia mpya wamezungumzia viwanda na uelewe kwamba maenendeleo ya Ulaya yalihusisha na uendelezaji wa Teknolojia jambo ambalo kwa sasa unaweza ukanunua teknolojia na si kwenda kuanzisha tekonojia au ubunifu wako hayo ni maeneo mawili tofauti.

By the way ni bora Viongozi wenye udini kama unavyodai walioko CHADEMA lakini wanajitambua na kutambua umuhimu wa kumkomboa mtanzania toka katika makucha ya mkoloni mweusi CCM kuliko kuwa na Waziri wa CCM aliyepewa dhamana ya kuongoza Wizara nyeti ya Elimu bila kujua Tanzania inaundwa kwa Muungano wa chi zipi! Ni kweli tunahitaji kuelimishwa zaidi na viongozi wetu ila ni ninyi mjitahidi kuwafundisha japo historia tu viongozi wenu kabla ya kuwapa madaraka ili kuiepusha nchi hii na Aibu mkuu.
 
Jaribuni kuboresha kama hamjaaibika!

mbona unakwepa kujibu swali? umesema kati ya watanzania mil. 22 waliojiandikisha waliopiga kura ni mil.8. Nakuuliza tena tatizo ni kuboresha daftari au tatizo ni mpiga kura mwenyewe?

Tena 2010 kidogo mlikuwa na nguvu kutokana na makosa ya CCM uteuzi wa wagombea wasiokubalika, 2015 mtaisoma namba jamaa yangu.
 
Haswaaa! hii ni shida mara mwingine mkuu wa waganga wa jadi(kingunge).Naipenda tz nawachukia viongozi kama hawa.
 
Mnaanza kulia lia kabla hatujajibu mapigo, tulieni tujibu mapigo wasengerema nyie.

Huu usemi wa Mh rais wetu aliye jisahau uko kinyume, katika chaguzi zote wanao onewa na kunyanyaswa ni wapinzani, hivi sasa katoa ruhusa kwa wapinzani kujibu mapigo, hii ataisoma. Lakini kabla hili agizo halijaanza kutekelezwa, avunje jeshi la polisi, usalama wa taifa na mahakama maana havina tena kazi na tuna walipa mishahara. Tukae sasa kama nchi ya kusadikika ya mzee Shaaban Robert.

Yaani Ccm mko motuary mkisubiria sanda. Yaani chama chenye serikali hana dira???? Poor you.
 
Umenikumbusha ndugu,katika orodha ya wanachama wa freemason na Rais wenu yumo,hivyo yawezekana ni zamu yake kutoa damu za watu,ndiyo anatafuta hizo damu kwa njia za uchochezi wa Raia wake ili Damu ipatikane.

Haswaa! mara mwingine mkuu wa waganga wa jadi(Kingunge). Naipenda tz nawachukia viongoz kama hawa.
 
Hivi kweli ina ingia akilini kwa kiongozi wa nchi RAISI kuchochea wananchi wake wapigane?! Wakati huohuo unasema vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini yake na anauwezo wa kuviamrisha kufanya atakavyo?! Mie nadhani huo ni upotoshaji wa maksudi wa kauli ya RAIS. Wa tz wenzangu hebu tuwe na tabia ya kutafakari, kumeng'enya na kuhoji kabla ya kuamini au kutokuini jambo lolote linaloletwa mbele yako. Binafsi nimetafakari na kuimeng'enya kauli hiyo na nimejihoji mambo mengi sana mfano:
1.Hivi kweli raisi Kikwete tunaye mjua mpenda Amani, umoja wa kitaifa na mwenye kuheshimu utawala wa sheria leo hii awe mtu wa kwanza kufanya uchochezi?!
2.ktk kipindi chake tumeshuhudi akiamuru hatua za kisheria zifuatwe kwa wale wote walio kiuka eg. Mauaji ya albino, n.k
 
Jk anajichanganya sana na kauli zake sijui anakumbk pia alivyosem ccm waache kutegemea polisi! Kw kaul hii inamaana ndiye anayewatum ccm kufanya vurug si mnakumbka Rage na wenzake walivyompga mfuasi wa CHADEMA DODOMA?
 
Yeriko hampaswi kumsuta JK kwa kauli yake, mnapaswa kujiuliza kama aliyoyasema ni ya kweli na kamani ya kweli basi muone umuhimu wa kubadilika amani ya Tanzania haitalindwa na rais KIKWETE au CCM peke yao, ni jukumu la taifa zima mkiwemo ninyi mnaolalamkiwa.
Mkuu, jana hujaangalia taarifa ya habari?
 
Chadema tukutane kalenga,sisi tutakua tuna jibu mapigo ndio staili yetu


"Wana CCM acheni Unyonge"-Kikwete
 
hii ametangaza vita kati ya GREENGUARD +POLISI vs WANANCHI wasio na hatia kwa kweli amenihuzunisha sana sikutegemea kama kiongozi wa nchi mshauri mkuu wa wananchi anaweza kuwa mchochezi kiasi hichi
 
Thatha, nitakupa mambo machache hapa chini ili na wengine wa kusaidie kuongeza na kukukumbusha na masuala ya Dini sinta yagusia kabisa kwasabbu hiyo ni sera ya CCM NA KILA MWANANCHI MTANZANIA MWENYE AKILI TIMAMU HILI ANALIJUA;
1.CHADEMA walisema nchi inahitaji KATIBA mpya na wakaiweka katika Ilani yao ya uchaguzi sasa ninajiuliza iweje CCM isiyokuwa ya Kidini ikaiba sera ya Chama cha Kidini na kuifanya ya kwake.Uniambie uandikaji wa Katiba Mpya mnatekeleza Ilani ya nani? CHADEMA au CCM?
2.CHADEMA walisema wakichukua nchi Elimu itatolewa Bure na kama ilivyo ada kwa ukasuku wa CCM mka adopt hili hook nail and sinker bila hata kuomba ushauri kwa vichwa hivi unavyo viita vya kidini viwaelekeza na mna ya kutekeleza mpango huo badala yake Mumeishia kuchemsha.
3.Tabia hii ya kugelezea vitu kwa wengine au kupenda kuteleza kwenye ganda la ndizi bila kushughulisha bongo ndo yanayopelekea kuanza kulalama humu JF mara ooh Warioba kakosea ,mara ooo serikali mbili ndo sera yetu,mARA TUJIANDAE KISAIKOLOJIA , MARA OOOH SASA TUSIWE WALEGEVU nk.

By the way ni bora Viongozi wenye udini kama unavyo dai walioko CHADEMA lakini wanajitambua na kutambua umuhimu wa kumkomboa mtanzania toka katika makucha ya mkoloni mweusi CCM kuliko kuwa na Waziri wa CCM aliyepewa dhamana ya kuongoza Wizara ya Elimu bila kujua Tanzania inaundwa kwa Muungano wa chi zipi!

Wewe unatapatapa sana mkuu,katika mchango wangu ulionijibu hakuna sehemu nimesema CHADEMA ni chama cha kidini , nashangaa unajizogoa mwenyewe kwa vile unajua kabisa ninyi ni wadini. Halafu ujue kuwa Katiba Mpya na elimu bure hazikuwa agenda zilizoanzishwa na CHADEMA, wapo watu kama akina MTIKILA, chama cha CUF na hata wabunge wa CCM walikuwa na hoja hizo tangu hata kabla haijafahamika kama KUNA SIKU CHADEMA kitakuja kuoenakana kwenye ramani ya vyama vya siasa nchini.

Naomba na mimi nikupe mfano mmoja tu wa namna ambavyo CHADEMA wanapenda kujichomeka kwenye hoja za wengine.

Miaka yote CUF waliwatuhumu CHADEMA kuwa wanashrikiana na chama cha CONSERVATIVE cha kule uingireza, chama ambacho ni wazi kinaunga mkono USHOGA. Hoja hii ya CUF imewatesa sana CHADEMA mpaka WENJE alipokuwa na udaku wake kuwa CUF nao wanashirikiana na chama cha ushoga, basi wakalibebea bango ili mradi tu wajinasue kuwa MASHOGA, lakini ukweli utaendelea kubaki pale pale kuwa CHADEMA wanashirikiana na mashoga wa Uingereza na hata juzi JK aliulizwa kuhusu msimamo wake juu ya ushoga na jibu lake likawa ni la herufi mbili tu kubwa yaani "NO"
CHADEMA wadandiaji wa hoja na sera za vyama vingine, ndicho chama kichanga kabisa ukilinganisha na CCM, CUF na NCCR-Mageuzi, hawa ni wazuri sana wa ku-copy na ku-paste.
 
hii ametangaza vita kati ya GREENGUARD +POLISI vs WANANCHI wasio na hatia kwa kweli amenihuzunisha sana sikutegemea kama kiongozi wa nchi mshauri mkuu wa wananchi anaweza kuwa mchochezi kiasi hichi

Red Briged Mafiaso ya Chadema ndio wananchi????
 
Huu ni uchochezi ulio dhahiri! Rais amevunja katiba, Rais amekiuka kiapo cha kuwalinda raia na mali zao!
Kama Pinda ameshtakiwa kwa kutaka raia wapingwe kutetea haki zao, Rais afanywe nini?!
Kwa hali tuliyofikia JK anapaswa kupelekwa The Hague!
 
Quotes-by-Albert-Einstein-An-empty-stomach-is-not-a-good-political-adviser-Best-inspirational-qu.jpg
 
Back
Top Bottom