Mrigariga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,761
- 1,623
Alicho sema sawa tu.
Kama vyama vingine vina fanya uhuni na ugaidi ili kuwatusha watu wasipige kura njia nzuri ni kujibu mapigo kwa kuwalinda wakapige kura.
Wakizongea vituo vya kuisabia kura nao ccm wazongee
Fujo za uchaguzi za wengine jawabu ni jino kwa jino
Crabat nina wasi wasi na uelewa wako. Kauli hii ya kiongozi wa nchi anaiongoza,yeye vyombo vyote vya dola kwa kweli ina ukakasi. Ni kauli inayopaswa kutolewa na mtu wa mitaani na si kiongozi wa nchi tena yenye kujinasibu kuwa inaongozwa na utawala wa sheria!! Si ni IGP wake nzdiye aliyekuja na kaulimbiu ya KUTII SHERIA BILA SHURUTI?! Sasa iweje tena Boss wake aje na kauli inayokinzana na mwenye dhamna ya 'Usalama wa Raia na mali zao.'
Kama vyama vingine vina fanya uhuni na ugaidi ili kuwatusha watu wasipige kura njia nzuri ni kujibu mapigo kwa kuwalinda wakapige kura.
Wakizongea vituo vya kuisabia kura nao ccm wazongee
Fujo za uchaguzi za wengine jawabu ni jino kwa jino
Crabat nina wasi wasi na uelewa wako. Kauli hii ya kiongozi wa nchi anaiongoza,yeye vyombo vyote vya dola kwa kweli ina ukakasi. Ni kauli inayopaswa kutolewa na mtu wa mitaani na si kiongozi wa nchi tena yenye kujinasibu kuwa inaongozwa na utawala wa sheria!! Si ni IGP wake nzdiye aliyekuja na kaulimbiu ya KUTII SHERIA BILA SHURUTI?! Sasa iweje tena Boss wake aje na kauli inayokinzana na mwenye dhamna ya 'Usalama wa Raia na mali zao.'