Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,135
- 2,217
Unajua una safari ndefu afu unakula ovyo ovyo sio?
Hawaruhusu kunya wala kutapika kwny choo cha bus mkuu mule ni kukojoa tuYapo mfano ABC upper class sema abiria wenyewe hawajui au wanaona aibu kutumia hivyo vyoo.
Mi nikipandaga lazima nikate kimba za kufa mtu
Kasema nani? Mbona nakataga makimba freshHawaruhusu kunya wala kutapika kwny choo cha bus mkuu mule ni kukojoa tu
hata mm unitokea sana hasa abood za morogolo unaingi KUNYA chalinzeJuzi kati nilipanda Happy Nation naenda Mwanza, kufika Morogoro pale Kitungwa, asubuhi basi zote za Mwz, Dodoma, Kahama, Bukoba, zimepaki pale, vyoo matundu 30, abiria 2,000..
Kuna mama mahoni yale, kapagawa, kakimbilia basi letu, kapaniki, kasahau hata jina la basi lake, anachokumbuka ni jekundu na alimuacha mwanaye kiti cha nyuma, tukamuacha Msamvu polisi, sijui alimpata mwanaye!
Everyday is Saturday................................
Hizo tukiwa jkt unalala na kukoroma kabisaa. Maana 20×60sec= 1200 seconds.Hapa ndio naona sasa maana ya sisi vijana kupitia mafunzo ya ukakamavu JKT au Mgambo sasa dk 20 kula chakula unalalamika hazitoshi upo serious kabisa
kukojoa dk 1 kunya dk 1 kula dk 1 umekuwa jini?Hizo tukiwa jkt unalala na kukoroma kabisaa. Maana 20×60sec= 1200 seconds.
Kila tukio gawa suku 60
Kukujoa, kunya, kula na kunawa mikono, unapata karibia 960 kusinzia.
Hata mimi nimesikia leo sijawahi ona luxury wanaoweza kupoteza mda kiasi hichoHayo magari kwaajili ya wazee na wamama wasiokuwa na haraka na ya vijana wenye haraka za kibiashara yameanza kutofautishwa lini?
Mimi sijui tofauti zao na kuwa ni yapi.
Msaada tafadhali.
Dah basi unaharibu mzeeKasema nani ? mbona nakataga makimba fresh
Fanya research tuu mkuu yapo, kama KLM na ABC, hotelini nusu saaBus zote ni hivyo hivyo. Hamna cha luxury wala nini, wote wanajikuta wana haraka wao kuliko abiria.
Utofauti upo ila sio rasmi wa kutambulika na mamlakaHayo magari kwaajili ya wazee na wamama wasiokuwa na haraka na ya vijana wenye haraka za kibiashara yameanza kutofautishwa lini?
Mimi sijui tofauti zao na kuwa ni yapi.
Msaada tafadhali.
Hapa labda uwe mtaliindio hivyo tu umasikini, ila ilipaswa kama unakwenda Mwanza, unapanda gari mpaka dodoma unapumzika pale kuanzia mchana mpaka kesho yake asubuhi, unakula bata kidogo na kunyoosha mgongo, ukianza safari dodoma unakwenda kulala nzega, na siku tatu unamalizia Mwanza...
Na kunywa maji piaUnajua una safari ndefu afu unakula ovyo ovyo sio?
Matokeo ya kuishi in a pithole country,mabasi ya safari ndefu ni lazima yawe na choo ndani kwa ajili ya no 1,na kila baada ya 200km za kusafiri bus linatakiwa kupumzisha abiria kwenye kituo chenye huduma sio porini!vituo vya mafuta vilivyopo kwenye highways ni muhimu viwe na vyoo vya kutosha na huduma zinginezo.
Nilipanda basi moja nikiwa naenda kusini. Safari ya masaa zaidi ya kumi. baada ya masaa manne dereva akasimama porini. Akatangaza Muda wa kuchimba dawa, dakika tano wanawake kulia, wanaume kushoto. Watu wakashuka wa wakatembea kama mita kumi, naona wanawake wanachuchumaa, wanaume wanafungua zipu.
Umbali kati ya wanawake na wanaume ni kama mita tatu. Konda anawahimiza wamalize shughuli chapchap, yuko nervous anasema polisi wanaweza kutokea muda wowote. Dah nilichoka.
Hivi Simba, chui, chatu au mnyama yoyote mfano angetokea, si angeondoka na mtu.