Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Kuna kampuni inaitwa inaitwa SPECIALIZED ina ma lorry zaidi ya 1,000 yanabeba makaa ya mawe kutoka Mkoa wa Ruvuma...
.
Naskia kashusha kashusha Gari nyingine 500 bandarini...
.
Watu wana pesa aisee.
Malori 1000 unayachukuliaje mkuu?

Huko kitai kwenye kupakia wangekuwa ni wao tu na huko wanakoyapeleka wangezagaa wao!

Barabarani wangetawala wao tu..
 
Ushawahi jiuliza kwanini matajiri wengi wanajenga ma hotel makubwa hayawaingizii hata hela
Au hio hela inayoingia inabaki kuwa ya mboga za watoto nyumbani
Dunia ina mengi Sana hii uhuni wa kutosha
 
Kwa kweli Mimi nimepanga kwenda kumuuliza tajiri mmoja yani yeye alifanyaje hadi akaweza kumiliki kuanzia Milioni 500.
Nimeamua nitumie njia yoyote ile kupata hela kwa kweli.
Achana na hayo mawazo fikir zaid kuhusu MUNGU pesa ni muhimu ila usifikie kwene hali ya kutaka kufanya lolote ili uipate kikubwa weka juhud na iman kwa MUNGU utapata
 
Pambana,Pambana anza na kujenga uaminifu kwa waliokuzunguka.

Baba yangu hakunipa mtaji (pesa) wa maisha zaidi ya ELIMU.

na kingine siku 1 aliniambia,Unaenda huko duniani Mtaji wako mkubwa ili ufanikiwe ni UAMINIFU kwa waliokuzunguka.

KUWA MWAMINIFU hata kama huna kitu sasa,epuka kuchukua cha mtu fanya kazi kwa bidiii ukipewa 10,000 ukatumwa kitu cha 1000 ukaenda ukakuta kile kitu kinauzwa 500 usibanie ile 500 rudisha chenchi 9500 kisha mwambie aliekutuma Bidhaaa imeshuka bei chenchi hii hapa.

Kweli yako iwe Kweli na Hapana yako iwe Hapana.

Ukiaminika na waliokuzunguka, ni sifa namba 1 ya kutoka kimaisha huitaji kuwa na kipande cha Ardhi, huitaji kuwa na Pesa.

UKIAMINIKA wewe ni Tajiri hata kama unajiona huna kitu sasa lakini kama kuna mtu akiwaza kumtuma mtu kitu mahali akili yake inakufikiria wewe ndie mtu sahihi (Umemaliza mwaisa).
Upo sahihi mkuu
 
Mara nyingi mchawi ni matumizi, sio kwamba watu hatupati pesa!

Mfano mimi nikiangalia hela zilizopita mikononi mwangu ni zaidi ya mil 300...ila mali ninazomiliki hata mil 50 hazifiki [emoji3]

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa..yaani tungeweza kutunza pesa tunazopata hata robo yake..tungefika mbali saana
 
Pambana,Pambana anza na kujenga uaminifu kwa waliokuzunguka.

Baba yangu hakunipa mtaji (pesa) wa maisha zaidi ya ELIMU.

na kingine siku 1 aliniambia,Unaenda huko duniani Mtaji wako mkubwa ili ufanikiwe ni UAMINIFU kwa waliokuzunguka.

KUWA MWAMINIFU hata kama huna kitu sasa,epuka kuchukua cha mtu fanya kazi kwa bidiii ukipewa 10,000 ukatumwa kitu cha 1000 ukaenda ukakuta kile kitu kinauzwa 500 usibanie ile 500 rudisha chenchi 9500 kisha mwambie aliekutuma Bidhaaa imeshuka bei chenchi hii hapa.

Kweli yako iwe Kweli na Hapana yako iwe Hapana.

Ukiaminika na waliokuzunguka, ni sifa namba 1 ya kutoka kimaisha huitaji kuwa na kipande cha Ardhi, huitaji kuwa na Pesa.

UKIAMINIKA wewe ni Tajiri hata kama unajiona huna kitu sasa lakini kama kuna mtu akiwaza kumtuma mtu kitu mahali akili yake inakufikiria wewe ndie mtu sahihi (Umemaliza mwaisa).
Bandiko Bora sana.
 
Zwazwa ni we we usijua kwamba zipo, tunaishi na tajiri wa kinyatunzu kunasiku mwaka juzi walisahau kufunga chumba anachofugia joka lake linalompa utajiri, Bonge la joka likatoka likaingia mtaani watu wakataka kuliua alipopata taarifa alipiga Sim polisi wakaja kuzuia lisiuawe naye akaja akaanza kulipigia makofi na miluzi joka likamfuata akalibeba akaliingiza kwenye cruiser lake akalipeleka nyumbani, aliwaambia watu mnashangaa nn? Hawajawahi Ku on a nyoka? Kuna tajiri mwingine Ana MTO to tahira kina Siku alitoroka akapotea ilibidi atangaze dau la lakitano kwa atakaye muona chapu tu ndani ya nusu saa wahuni wakamleta wakala pesa toka siku hyo nyumbni kwake ndani ya fence kuna gate zingine tatu just in case get I moja likisahaulika mengine yawe yamefungwa manake huyo dogo ndagu inayompa pesa na anazo kwerikweri
Thibitisha hapa wewe zwazwa
 
Tutafanya yote ila usipokuwa katili na roho ngumu sahau kuwa tajiri. Hapa Afrika ukishaanza tu kuzinusa hela utaona unaletewa bills za ndugu, jamaa na marafiki bila kusahau viongozi wa kiroho. Tena kwa sisi wakristo kiongozi wa kiroho atakuambia jiwekee hazina yako mbinguni sio hapa duniani. Kadi za Michango ya harusi zitakuwa kibao. Bado kuna viumbe uliowaajiri watataka kukupiga kwenye biashara zako. Ukitaka ufike mbali lazima ulaumiwe na wajinga wajinga. Hata mafisadi hutakatisha pesa zao kwa watu smart. Hawezi fuatwa maskini kwenye michongo kama hiyo.
Kwny michango ya harus hapo ukenena, ukipata kaz ya mshahara wa laki 5 kadi znakuja km.8 hv na ukiwanyima wananuna
 
New combines can cost anywhere between $330,000 and $500,000 without add-ons (Source). For this reason, many farmers opt to purchase a used combine to save money. Just like buying a used car, a used combine can be just as reliable and useful as a new combine, depending on what you buy.
How about tractors
 
Back
Top Bottom