Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,769
- 54,903
Ni kama vile MO anavyokopesheka na mabenki ya nje na ndani kwa sababu yale mashamba yake ya katani anayatumia kama collateral security (dhamana) kupata mikopoUtajiri upo katika ARDHI miliki ARDHI kadri uwezavyo siku 1 itakuheshimisha