Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Shortly wengi wao wametokea kwenye familia au koo za uchumi jumuishi ( cooperate economy na sio mainstream) kwaio wengi ni kulisi lisi etc.

Mfano Mohammed Dewji alihustle wapi he just found food on the fridge alichokifanya nikuchagua nini cha kupika easy
Kwangu Mimi ndio aina ya utajiri ninaoukubali.

Kule ule wa kusema ukaanza ku hustle mwenyewe.

Na mwanao nae aka hustle mwenyewe.

Na msjukuu wako na aka hustle mwenyewe

Ku break generational chain of poverty hapo haitowezekana kamwe asilini abadani.

Huwezi Kuta wahindi au waarabu masikini wa kutupwa sababu wanajua nini maana ya pesa na Ni vipi wawaweke watoto kwenye ctclyya pesa zao wazalishe zaidi na zaidi kizazi na kizazi.

Sisi waafrika akifa baba tu kwakuwa alikuwa hataki kushikirikisha wanae kwenye mali zake(ubinafsi) Kila kitu kinarudi ground zero. Mali kupotea au kukwapuliwa sababu watoto hawakuandaliwa kuziemdeleza na kuzalisha zaidi.

Mfano mzuri wa generational wealth mcheki yule RATAN TATA na Ile TATA EMPIRE sio yeye mwanzilishi wa ule ukwasi na Babu zake.
 
Imagine, kuna haya mabasi

Ester Luxury
Tilisho
Happy Nation
Sauli
New Force
Arusha Express
Shabiby
Abood
Machame Express
Kapricon
Kilimanjaro Express
Dar Express
Zube
Saratoga
Mgamba
Kimbinyiko
Abc
Ally's
Saibaba
etc etc

Malori ndiyo usiseme.

Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60. Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500. Jamaa wanapata wapi hela aisee?
Binafsi nimetoka nyumbani na kuanza kutafuta maisha kwa kila hali mjini na mashambani toka mwaka 1996 ,mpaka leo nimepita kwingi sana, nimelima, nimevua samaki, nimetegeneza magari,nimechimba dhahabu na Almasi, nimeendesha magari ya mashirika, lakini mpaka leo maisha yangu ni ya kawaida sana na Kwa namna nyingine naweza kusema ni magumu tu

Kuna kazi ngumu sana kukusanya pesa kiasi cha Milion moja kabla hujapata shida ya Milion mbili, yaani pesa haikusanyiki, tunaishia kujenga nyumba ya vyumba vitatu vya kuishi na kula na huduma ndogo ndogo za kawaida

Nasema ya kwamba, pesa ina mambo makubwa mawili tu

1. PESA ya kuikuta tu labda kutoka Kwa wazazi au ndugu

2. PESA ya mtu msomi aliye bahatika kufanya kazi za mashirika ya kimataifa tena ngazi za juu zenye mishahara ya Milion 40 na kuendelea, na huyo nae afanye kazi zaidi ya miaka kumi labda

Nje na hivyo, Kuna ukwapuzi na uchawi japo huo uchawi sina hakika sana lakini nadhani wakwapuzi ndiyo wengi

Unaikusanyaje billion 1 tu katika maisha haya ya kiAfrica hususani Tanzania?

Iko Siri tusiyoijua kwa watu wenye PESA
 
Ukiwaza ghorofa bado umeenda mbali, sasa hivi mnaambiwa nunueni viwanja huko chanika mnaona n maporini.

Utajiri upo katika ARDHI miliki ARDHI kadri uwezavyo siku 1 itakuheshimisha.

Msidharau viwanja vinavyouzwa kama hela unayo sasa hivi, tupia Ardhini. it will pay you back siku 1.

utakua ktk historia za matajiri hii nchi,Ardhi haijawahi ni dissapoint.
Mimi naishi katika hili na nina ushuhuda toka kwangu mwenyewe, ardhi ina mabunda mengi unaweza kuyatoa kwa kuitumia kama dhamana au ukauza na ukapata mabunda.
 
Hiyo n mil 119 kwa mwaka kwa bus moja , sawa na milion 9.9 kwa mwez kwa bus moja ,sawa na lak 330.7 kwa siku kwa bus moja , ni hesabu sahihi kabisa tena kiwango cha chini mno
Kuna mdau amesema ni kwa bus moja
 
Kabla hawajawa na hayo mabasi wanamiliki "real estate" za maana sehemu tofauti.

Ukiwa na Plot 1 tu pale k.koo msimbazi, una uwezo wa kukopa Bank hela ya kufata Yutong zako hata 10 na ukapewa.

Matajiri hao, sifa yao kuu ni 1 "wanakopesheka" Muogope mtu anaeweza kukopa 1B na akapewa muogope sana huyo mtu.

Mpaka upewe kuna vigezo vingi taasisi za ukopeshaji huziangalia ikiwemo mali zisizo hamishika.

Wewe unayaona mabus na malori lakini Hizo taasisi wanajua mali za thamani zaidi ya hayo ma bus na malori.

Ungezijua hizo mali wanazomiliki mpaka wakawa na sifa ya kukopesheka hivyo ndio Ungeandika Thread GAZETI na ???????? ungeanza nazo mpka unamaliza nazo.

Hii ni kweli na nawajua baadhi walioanza kuweka real estate kama dhamana na kuchukua mikopo mikubwa kuanzisha biashara ya mabus.
 
Imagine, kuna haya mabasi

Ester Luxury
Tilisho
Happy Nation
Sauli
New Force
Arusha Express
Shabiby
Abood
Machame Express
Kapricon
Kilimanjaro Express
Dar Express
Zube
Saratoga
Mgamba
Kimbinyiko
Abc
Ally's
Saibaba
etc etc

Malori ndiyo usiseme.

Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60. Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500. Jamaa wanapata wapi hela aisee?

wengine ni vabaraka tuu.wenye huo mtaji wako serikalini. Ila wengi wao;nasema wengi wao ni ule utajiri kutoka kwa yule jamaa aliyemwambia Yesu amsujudie pale nyikani atampa milki.
 
Samsa Logistics wana lori nyingi, nani mwenye hii kampuni maana wanagari nyingi pia, vile vile hata hawa wanyarwanda wanazidi kwa gari nyingi sana za mizigo. Lori zenye RL.....ni za kutosha.
Kwa Buses Kanda ya ziwa kwenda Dar Ally's ana fujo na road, bila kumsahau SATCO na happy nation.
 
Imagine, kuna haya mabasi

Ester Luxury
Tilisho
Happy Nation
Sauli
New Force
Arusha Express
Shabiby
Abood
Machame Express
Kapricon
Kilimanjaro Express
Dar Express
Zube
Saratoga
Mgamba
Kimbinyiko
Abc
Ally's
Saibaba
etc etc

Malori ndiyo usiseme.

Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60. Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500. Jamaa wanapata wapi hela aiseeS
Swali la kijinga
 
Back
Top Bottom