Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Inamlipa kwan ukipiga hesabu kwa mwezi kila gari linarejesho la mil 1.43 ,kwa mwezi magari yote anavuna sio chini ya Tshs 420 mil,other factors remain constant,kwa mwaka ana vuna 5bill ,akitoa rejesho na other running costs anaweka 4bill kibindon,biashara ya transportation inalipa tized
Turnover ya 5bil faida yake umeitolea maelezo kwa sentensi moja duh hatari sana hii 😄
 
Kwa kweli Mimi nimepanga kwenda kumuuliza tajiri mmoja yani yeye alifanyaje hadi akaweza kumiliki kuanzia Milioni 500.
Nimeamua nitumie njia yoyote ile kupata hela kwa kweli.
Kua makini mkuu baadhi ya matajiri kafara zao ni ulawiti
 
Hayo mabasi unayoyaona ni chamtoto hawa jamaa Wana mahoteli ya hatari,Petro station za kutosha,ukija kwenye kilimo na ufugaji ukiona utalia brother!! Yan ng'ombe wao wanatoa maziwa kama Wana kisima tumboni!! Wana magest daaaa acha tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Imagine, kuna haya mabasi

Ester Luxury
Tilisho
Happy Nation
Sauli
New Force
Arusha Express
Shabiby
Abood
Machame Express
Kapricon
Kilimanjaro Express
Dar Express
Zube
Saratoga
Mgamba
Kimbinyiko
Abc
Ally's
Saibaba
etc etc

Malori ndiyo usiseme.

Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60. Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500. Jamaa wanapata wapi hela aisee?
GSM ana Malory zaidi ya 1000
 
Hao wahindi achana nao kabisa.

Hata Ngano Bandarini wao ndio hubeba kusambaza kwenye viwanda
Meli nzima

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ngano sio kipaumbele chao kabisa pale bandarini hao ni mbolea clinker copper slags na sulphur

Huko kwenye ngano anaweza peleka lori tano tu tena kumsaidia mo au azania basi na sio kila meli
 
Lakini mkuu nilishawahi kusikia sio mabasi yote ni ya hao wamiliki.nasikia kuna vigogo serikalini huwa wanaingiza gaei zao kwahio wanajificha humo.
Kuna magari trafiki akiyachelewesha njiani au akilikagua kagua kazi hana.
Yapo yanayobeba mihadarati lakini yalikua yakipishwatu. Hapo inamaana wakulungwa wanahusika
 
How about tractors
Mid-size farm tractors with 25hp – 80hp are generally priced from $22,700 to $49,000. Bigger tractors that come with 100 hp and 4-wheel drive are a bit more costly, ranging from $55,000 to $70,000. The most powerful tractors with 150 hp are going to cost at least $72,120 and in some cases will exceed $120,090.
 
Back
Top Bottom