Hakuna wizi wala uchawi, Bank zinahusika hapo, Mabenk mengi yana pesa na yanahitaji wakopaji, watu mnalilia tuu uchawi, lakini usiende Bank kama hata kampuni huna maana hakuna mtu atapoteza muda na wewe, anza kidogo onyesha satements zako na documents za kibiashara na kodi unayolipa, cha maana anzisha kampuni onyesha cash flow zako, taxes etc kitu ambacho ni rahisi sana, ukienda bank watakuwa more than happy kuongea na wewe ili wakupe mkopo.
Tatizo weng wavivu hamtaki kufanya kazi na kufuata sheria ili muonekane wafanyabiashara wa kweli, hata eka 5 za mahindi na kampuni na ukionyesha ulichouza kihalali bank watakupa mkopo mkubwa tuu, usitake mkopo wa milioni 300 wakati huna hata kampuni ya biashara inayoingiza kipato, bank hawatazungumza na wewe