Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Huwezi kupewa mkopo kama huna kitu bro..
Kanuni ya Benki ni kwamba, asiyehitaji huo mkopo Kwa kuwa anazo za kutosha ndo hubembelezwa akubali kupewa!!

Unafikiri Kwa nini maskini hawakopesheki Benki bali huangukia mikononi mwa vikampuni uchwara vinavyotoa mikopo umiza?!
Anza polepole, unafikiri wenye mabasi walizaliwa nayo? wengi wamefanya kazi kwa bidiii hata kwa kufuga kuku na kuuza nyanya, hakuna shortcut kwenye maisha lazima ufanye kazi tuu, bahati zipo lakini sio kitu cha kutegemea
 
Mkopo tu,benki hazina shida kukopesha kama una dhamana ya Mali isiyohamishika mfano wengi wanamiliki majengo ukipiga thamani ya jengo ni 1bilion hapo unaweza kukopa bilion mbili,pili wanamiliki ardhi ya kutosha hekari Kwa hekari ukiwa na hati na ukienda benki utapewa mkopo mzuri tu,tatu sajiri kampuni na utunze kumbukumbu za mahesabu plus hesabu ziwe zinakaguliwa na uwe unalipa Kodi ukienda benki mkopo mzuri,nne unatakiwa uwe katili,ukiwa mpole utamaliza mkopo Kwa kuugawa Kila mwenye tatizo unatoka hapo sahau kumilik milori na mabus na Tano kama ni mwanaume epukana na wanawake wenye makalio makubwa na madogo yaan kiufupi punguza starehe.
Sawa kabisa, biashara kubwa watu wanatumia pesa za Benk (mikopo), wenye pesa hawatumii pesa zao mara nyingi, na mabenk wakishaona una biashara inayoeleweka watakupa mkopo tuu na wala hawahitaji mali isiyohamishika, mfano umechukua mkopo kampuni ya basi, watahakikisha kampuni ipo na mabasi yamenunuliwa na yana insurance zote, ukileta uhuni watauza mabasi yako yote kisheria na kukushitaki na kuanza kukuinglia mali zako au biashara zako nyingine mpaka deni lote liishe, mwenye akili hawezi kucheza na benki maana benk zina namna ya kupata pesa yao na kukutia hasara zaidi
 
Hakuna pesa za majini wala kafara acha uzwazwa.
Zwazwa ni we we usijua kwamba zipo, tunaishi na tajiri wa kinyatunzu kunasiku mwaka juzi walisahau kufunga chumba anachofugia joka lake linalompa utajiri, Bonge la joka likatoka likaingia mtaani watu wakataka kuliua alipopata taarifa alipiga Sim polisi wakaja kuzuia lisiuawe naye akaja akaanza kulipigia makofi na miluzi joka likamfuata akalibeba akaliingiza kwenye cruiser lake akalipeleka nyumbani, aliwaambia watu mnashangaa nn? Hawajawahi Ku on a nyoka? Kuna tajiri mwingine Ana MTO to tahira kina Siku alitoroka akapotea ilibidi atangaze dau la lakitano kwa atakaye muona chapu tu ndani ya nusu saa wahuni wakamleta wakala pesa toka siku hyo nyumbni kwake ndani ya fence kuna gate zingine tatu just in case get I moja likisahaulika mengine yawe yamefungwa manake huyo dogo ndagu inayompa pesa na anazo kwerikweri
 
Zwazwa ni we we usijua kwamba zipo, tunaishi na tajiri wa kinyatunzu kunasiku mwaka juzi walisahau kufunga chumba anachofugia joka lake linalompa utajiri, Bonge la joka likatoka likaingia mtaani watu wakataka kuliua alipopata taarifa alipiga Sim polisi wakaja kuzuia lisiuawe naye akaja akaanza kulipigia makofi na miluzi joka likamfuata akalibeba akaliingiza kwenye cruiser lake akalipeleka nyumbani, aliwaambia watu mnashangaa nn? Hawajawahi Ku on a nyoka? Kuna tajiri mwingine Ana MTO to tahira kina Siku alitoroka akapotea ilibidi atangaze dau la lakitano kwa atakaye muona chapu tu ndani ya nusu saa wahuni wakamleta wakala pesa toka siku hyo nyumbni kwake ndani ya fence kuna gate zingine tatu just in case get I moja likisahaulika mengine yawe yamefungwa manake huyo dogo ndagu inayompa pesa na anazo kwerikweri
Watanzania bwana! Haya swali ni moja kwako wewe uliona hilo joka likitoka Chumbani? Jibu yes or no.
 
Zwazwa ni we we usijua kwamba zipo, tunaishi na tajiri wa kinyatunzu kunasiku mwaka juzi walisahau kufunga chumba anachofugia joka lake linalompa utajiri, Bonge la joka likatoka likaingia mtaani watu wakataka kuliua alipopata taarifa alipiga Sim polisi wakaja kuzuia lisiuawe naye akaja akaanza kulipigia makofi na miluzi joka likamfuata akalibeba akaliingiza kwenye cruiser lake akalipeleka nyumbani, aliwaambia watu mnashangaa nn? Hawajawahi Ku on a nyoka? Kuna tajiri mwingine Ana MTO to tahira kina Siku alitoroka akapotea ilibidi atangaze dau la lakitano kwa atakaye muona chapu tu ndani ya nusu saa wahuni wakamleta wakala pesa toka siku hyo nyumbni kwake ndani ya fence kuna gate zingine tatu just in case get I moja likisahaulika mengine yawe yamefungwa manake huyo dogo ndagu inayompa pesa na anazo kwerikweri
Hilo joka wewe uliliona na uliona police wanazuia watu wasiliue? au story tuu, dogo hakuna shortcut ya mafanikio zaidi ya hardwork na kama unataka kufa maskini amini huo upuuzi
 
Zwazwa ni we we usijua kwamba zipo, tunaishi na tajiri wa kinyatunzu kunasiku mwaka juzi walisahau kufunga chumba anachofugia joka lake linalompa utajiri, Bonge la joka likatoka likaingia mtaani watu wakataka kuliua alipopata taarifa alipiga Sim polisi wakaja kuzuia lisiuawe naye akaja akaanza kulipigia makofi na miluzi joka likamfuata akalibeba akaliingiza kwenye cruiser lake akalipeleka nyumbani, aliwaambia watu mnashangaa nn? Hawajawahi Ku on a nyoka? Kuna tajiri mwingine Ana MTO to tahira kina Siku alitoroka akapotea ilibidi atangaze dau la lakitano kwa atakaye muona chapu tu ndani ya nusu saa wahuni wakamleta wakala pesa toka siku hyo nyumbni kwake ndani ya fence kuna gate zingine tatu just in case get I moja likisahaulika mengine yawe yamefungwa manake huyo dogo ndagu inayompa pesa na anazo kwerikweri

Nashindwa nicheke au nikuonee huruma. Wewe na ndevu zako unaamini huu upuuuzi? Hii soty yako ni hearsay as always kama kawaida ya story za uchawi. Fuga nyoka na wewe uone kama utapata hizo pesa.

Kwanza, naomba majina ya hao matajiri, naomba majina tu maana hii ishu ilikua publicly kwa mujibu wako hadi polisi wakafika, naomba majina yao.

Story zote za uchawi ni hearsay na zinaaminiwa na mazwazwa wa kiwango cha lami.
 
Mfano GSM ana malori 1000

Wolrd Oil ana Tanker zaidi ya 300

Alistair ana lori zaidi ya 100

Lake Oil ana Mende zaidi ya 100, Tanker zaidi ya 200, Cement Truck zaidi ya 300 kwenye SGR

MO ana magari zaidi ya 1000

Azam ana magari zaidi ya 500

Shabiby ana Mabasi 50+
Hongera data zako nimezicrosscheck ziko accurate sana
 
Imagine, kuna haya mabasi

Ester Luxury
Tilisho
Happy Nation
Sauli
New Force
Arusha Express
Shabiby
Abood
Machame Express
Kapricon
Kilimanjaro Express
Dar Express
Zube
Saratoga
Mgamba
Kimbinyiko
Abc
Ally's
Saibaba
etc etc

Malori ndo usiseme.
Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60. Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500. Jamaa wanapata wapi hela aisee?
Wanatoa CRDB na hati zao Za nyumba zimejaa huko
 
Tutafanya yote ila usipokuwa katili na roho ngumu sahau kuwa tajiri. Hapa Afrika ukishaanza tu kuzinusa hela utaona unaletewa bills za ndugu, jamaa na marafiki bila kusahau viongozi wa kiroho. Tena kwa sisi wakristo kiongozi wa kiroho atakuambia jiwekee hazina yako mbinguni sio hapa duniani. Kadi za Michango ya harusi zitakuwa kibao. Bado kuna viumbe uliowaajiri watataka kukupiga kwenye biashara zako. Ukitaka ufike mbali lazima ulaumiwe na wajinga wajinga. Hata mafisadi hutakatisha pesa zao kwa watu smart. Hawezi fuatwa maskini kwenye michongo kama hiyo.
 
Imagine, kuna haya mabasi

Ester Luxury
Tilisho
Happy Nation
Sauli
New Force
Arusha Express
Shabiby
Abood
Machame Express
Kapricon
Kilimanjaro Express
Dar Express
Zube
Saratoga
Mgamba
Kimbinyiko
Abc
Ally's
Saibaba
etc etc

Malori ndo usiseme.
Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60. Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500. Jamaa wanapata wapi hela aisee?
Naomba ni kuulize kama angalao ulishasikia habari za Credit suisse,🤔
 
Wengi wanafanya leverage ya biashara zao kama mtu alishakuwa na fleet capacity ya magari hata 5 labda ana investments nyingine kama nyumba viwanja na mashamba basi huyo anaweza kukopa ili kukuza biashara yake.

Ndo maana utashangaa baada ya mwaka au miaka miwili analeta chuma mpya kwamba utajiuliza kwamba zile za mwazo zimemlipa kiasi cha 100% ya bei aliyonunua ? Maana anashusha chuma mpya za bei ile ..Ishu hawa wanachukua mikopo na wanakopesheka.

wanakuwa na mali za rehani (mortgage) ili kukopa hata bank tofauti na wengi wakishindwa lazima wafilisike.
 
Back
Top Bottom