Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,737
- 46,266
Kapigwa risasi barabarani mtu mweusi lakini hali ni swali kabisa siyo mauaji ni tukio la kawaida.jana kauwaa mtu mwingine mr braziel, in Houston texas
Kapigwa risasi barabarani mtu mweusi lakini hali ni swali kabisa siyo mauaji ni tukio la kawaida.jana kauwaa mtu mwingine mr braziel, in Houston texas
Tafanya comparison gani wakati Marekani hali ni nzuri hamna tatizo lolote hamna mauaji ni tukio la kawaida.Unajadili ya Marekani au unafanya comparison .
Saddam ni Rais wa Marekani.
Mwisho wa Marekani si mzuri, just the matter of time.Hali ya US kwa sasa inasikitisha sana.
Wanauwana kwa ubaguzi wa rangi tu.
Cha kushangaza wale wanaojidai kulalamika na kulaani sana inapotokea habari ya ufataani kuhusu mfanyakazi wa ndani kutokutendewa haki Dubai au Riadh leo wapo kimya kuhusu mauaji huko US.
Kulikoni?
So unajadili mazuri ya huko Marekani?Tafanya comparison gani wakati Marekani hali ni nzuri hamna tatizo lolote hamna mauaji ni tukio la kawaida.
Wanakwenda kuwinda Kinanna au?![]()
![]()
(Above pictures) Wamarekani weupe wanatembea na silaha (wanaogopa kuvamiwa na Wamarekani weusi).
Ndiyo.So unajadili mazuri ya huko Marekani?
Mkuu umeishi Marekani muda wote huo na ujawahi kusimamishwa wala kuhojiwa kwa hiyo tufanye reference kutoka kwako na ripoti za huko Marekani tena kutoka vyuo vikuu ambazo sinasema madereva weusi ndiyo wanaongoza kupekuliwa tuachane nazo ni waongo?
Wahenga hawakukosea waliposema nyumbani ni nyumbaniHa ha ha kama ulikuwepo kwa mind yangu Leo hamna USA baby na kibendera..chezea kufa wewe
We kuzalishwa watoto 6 wa baba sita tofauti umeona usalama huo? Au mpk uzae chura chotara ndio ujue hakuna usalama.Marekani ni nchi salama sana.
Yego,Mkuu, mimi kama mimi; sijawahi kusimamishwa na Polisi. Tukio moja tu nililowahi nitokea ni pale nilipo park gari kwenye rout ya snow emergency. Nilikuta nimebandikiwa ticket ya kwenda kulipa faini kwa ajili ya kosa hilo!. Na ni kosa la kawaida sana, haliingizwi kwenye record yako. Kwangu mimi, huwezi kunishawishi kwenda kuishi nchi nyingine yoyote hapa duniani zaidi ya Marekani na Tanzania nikakuelewa!. I love these two Countries!.
nyani ameungana na wazungu nae amisha kuwa mzunguThis is grossly overstated!
Hali siyo mbaya kabisa na siyo mbaya kama mnavyodhani.
Kwanza sidhani kama wengi wenu mpo Marekani achilia mbali kufika.
Wenyewe wanasema incident not massacre..Hahaha, yaani watu kuuliwa sio mauji??!!
Which language are you talking about?
Wazungu wakibeba silaha sawa huyu ndugu yetu tatizo daah!.Kumbe watu waoga kufaa!