sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Aamin.Mwenyeezi Mungu akuzidishie subra na akuepushie mabaya mpaka utakapoolewa kihalali, utajivunia hilo maisha yako, nakuombea akuondoshee vishawishi.
Aamin.Mwenyeezi Mungu akuzidishie subra na akuepushie mabaya mpaka utakapoolewa kihalali, utajivunia hilo maisha yako, nakuombea akuondoshee vishawishi.
Sina maana nyingine bali ni kuweka wazi kwamba sijawahi mpaka wakti muafaka utakapofika!
Mwenyeezi Mungu akuzidishie subra na akuepushie mabaya mpaka utakapoolewa kihalali, utajivunia hilo maisha yako, nakuombea akuondoshee vishawishi.
Yalaaaaaaaaaa!
Mzee kitumbua kina mchanga tena mchanga wa bichi
Hongera sana Zinduna, ila pia kama dada yako nitakukata makofi ukirudi home.
Hongera sababu unajivunia kua bikra, which is fine. Na umeamua kujitunza hadi utakapo olewa, which is also fine sababu umeamua hivo.
Ila makofi ni yakujitangaza. Hivyo vitu ni vyako, shangazi, mama na mume wako, full stop.
sasa unaweka humu members na guest wote wajue ili iweje? hahahaha
Ha ha ha! RR,Hongera sana Zinduna, ila pia kama dada yako nitakukata makofi ukirudi home.
Hongera sababu unajivunia kua bikra, which is fine. Na umeamua kujitunza hadi utakapo olewa, which is also fine sababu umeamua hivo.
Ila makofi ni yakujitangaza. Hivyo vitu ni vyako, shangazi, mama na mume wako, full stop.
sasa unaweka humu members na guest wote wajue ili iweje? hahahaha
Ummpe makofi ya nini? Mpe Ban tu atulie usituumizie Bikra wetu Kama Mariam.Hongera sana Zinduna, ila pia kama dada yako nitakukata makofi ukirudi home.
Hongera sababu unajivunia kua bikra, which is fine. Na umeamua kujitunza hadi utakapo olewa, which is also fine sababu umeamua hivo.
Ila makofi ni yakujitangaza. Hivyo vitu ni vyako, shangazi, mama na mume wako, full stop.
sasa unaweka humu members na guest wote wajue ili iweje? hahahaha
Mmh, ingekuwa enzi zangu akyanani usingepona.
Ila hongera kwa kujitunza.
Fafanua vizuri pengine hujawahi kutumia tigo
Wenye bikra hatusemi
brand new. new model automatic with acDuh!!! Mpwa kama kawa siyo!!
Vipi wewe hawajatembelea smile yako!?
Mkuu ndo maana nimebaki na mshangao
Hapa aim ni kutangaza kuwa yuko bikira apate mtu au anatangaza nini sasa
hapo sijaelewa lengo lake ni nini