Mr. Rocky ajira hiyo inatangazwa, masharti na vigezo kuzingatiwa.
Ajira yenyewe haijakaa njema
Imekaaa kichina china
Unaweza kukuta famba tuu hiyo
Mr. Rocky ajira hiyo inatangazwa, masharti na vigezo kuzingatiwa.
Fafanua vizuri pengine hujawahi kutumia tigo
Ntajipaisha kwa mpenzi wangu na sio kwenye jamvi kama vile natafuta wateja.
Ajira yenyewe haijakaa njema
Imekaaa kichina china
Unaweza kukuta famba tuu hiyo
Zinduna anataka kutuwashia kwenye gia, tumeshituka!!! Fuata principle kama unataka mchumba sema mimi nipo, Mr. Rocky katema mzigo anaona wa kichina.
Ngoja mimi niwe Tomas, cheki PM yangu.
Mkuu mpaka kwenye PM umeenda
We mkali unataka utest nini mkuu
Angalia usikute famba
Nataka niwe Tomas mkuu, ngoja nisichonge sana nisije aribu CV maana nipo kazini saizi mkuu.
Kuna watu humu wanadhani eti mie nishashiriki tendo kabla ya ndoa, jamani nakuapieni wallaahi wala sijawahi hata siku moja. Ni kweli ninao marafiki wa kiume wengi sana wengine naishi nao eneo moja na wengine nimekutana nao FB na hapa JF. Niimeshawahi kuwa na mitoko na baadhi ya marafiki zangu tukiwa na baadhi ya marafiki zetu wa kiume mara kadhaa, lakini si zaidi ya hapo. Wale mnaodhani kuwa nishawahi, leo nawaambieni sivyo hivyo, sijawahi na wala haitatokea hadi pale nitapompata yule nimtarajiae. Nimelelewa na kukuzwa katika maadili ya kidini ambapo ninaamini tendo kabla ya ndoa ni batili na ni dhambi kubwa kwa Mnyaazi Mungu.
Hili ni jibu kwa wale wanaoni-PM kifedhuli .Ahsanteni kwa kunielewa! LOL
katika imani yangu hakuna kiapo kikubwa kama hayo maneno uliyoya2mia. Kama unatania Mungu atakulaani usifanye utani na Mungu, ila kama ni kweli poa. Cwezi kukupa hongera kwani ni wajibu kuji2nza na usubiri kuolewa
Zinduna anataka kutuwashia kwenye gia, tumeshituka!!! Fuata principle kama unataka mchumba sema mimi nipo, Mr. Rocky katema mzigo anaona wa kichina.
Ngoja mimi niwe Tomas, cheki PM yangu.
Tunaosotea tuko wangapi?
Siku ya tukio lazima tujue muda na venue
tutakuja na pop corn na soda
huyu mtoto hawezi kutupitishia mshikaki hapa jamvini afu tusionje
Sitafuti mchumba wala mume bado nasoma kwanza!
Kuna watu humu wanadhani eti mie nishashiriki tendo kabla ya ndoa, jamani nakuapieni wallaahi wala sijawahi hata siku moja. Ni kweli ninao marafiki wa kiume wengi sana wengine naishi nao eneo moja na wengine nimekutana nao FB na hapa JF. Niimeshawahi kuwa na mitoko na baadhi ya marafiki zangu tukiwa na baadhi ya marafiki zetu wa kiume mara kadhaa, lakini si zaidi ya hapo. Wale mnaodhani kuwa nishawahi, leo nawaambieni sivyo hivyo, sijawahi na wala haitatokea hadi pale nitapompata yule nimtarajiae. Nimelelewa na kukuzwa katika maadili ya kidini ambapo ninaamini tendo kabla ya ndoa ni batili na ni dhambi kubwa kwa Mnyaazi Mungu.
Hili ni jibu kwa wale wanaoni-PM kifedhuli .Ahsanteni kwa kunielewa! LOL