bikira zinauzwa,kariakoo makutano ya jamuhuri na agrei! na kuna punguzo la msimu wa sikukuu!
Hee! kumbe Kongosho ni He?
Duh mkuu una akili wewe yaani kidogo ungetunukiwa Udoctor
bikira zinauzwa,kariakoo makutano ya jamuhuri na agrei! na kuna punguzo la msimu wa sikukuu!
Hujui tu mi ni Dr.Dr. nimetunikiwa toka maternity ward
Mbona sijasikia ukitangazwa kama hawa wengine
fanya fanya utangazwe bana tukujue kuwa wewe ni doctor doctor Fidel
Hufuatilii tu babu Asprin na babu Dark City walisha nitangaza paper kibao nimeandika fuatilia maktaba.
Hujui tu mi ni Dr.Dr. nimetunikiwa toka maternity ward
Wenye nazo kimyaa tumetulia
uuuuuuwiiii hahahahhahahaa hivi kongosho haya maneno unayatoa wapi...!?Umeona eeh, utadhani ansema karibuni.
Mbwa wako asipobweka bweka mwenyewe.
Na biashara matangazo, weka embe zako chumbani kama wanunuzi wataona, zitaoza zote.
ina maana siku ile nilitoa kanyaboya?
lol hamna ulichofanya pale.