Waliopata mafanikio na Adsense, tunaomba ushuhuda na ushauri wenu

Wakuu kwema? Poleni na mihangaiko ya maisha pamoja na Ups and Down za January.

Mada ya uzi wangu ni kama kichwa kinavyojieleza juu. Kwa wafuatiliaji wazuri wa JF na mitandao mingine duniani kwenye habari za Technology kumekuwepo na wimbi kubwa la watu wakisema wanatengeneza pesa nzuri kwa Ads haswa kupitia Google Adsense.

Katika jitihada za kujiongezea kipato mwaka huu nina mpango wa kumiliki website itakayojikita katika fani niliyobobea. Nipo kwenye maongezi ya awali na designer wa website pamoja na makubaliano ya gharama za utengenezaji pamoja na hosting hadi itakapo kuwa hewani.

Sasa basi dhumuni la andiko langu ni kutaka kupata shuhuda na ushauri kutoka kwa blogers ambao tayari wapo kwenye tasnia hii. Je ni kweli inalipa kiasi hicho kama watu wasemavyo? Je ni vitu gani vya kuzingatia unapoweka Ads za Adsense kwenye site yako? Kuna Ads Network nyingi jee ni lazima kutumia Ads Network moja kwa website moja au unaweza zaidi ya moja? Kama kutakuwa na ushauri mwingine wa ziada mbali na hayo maswali basi itakuwa msaada kwangu na kwa wengine ambao pia wana nia kama yangu.

Karibuni kwa michango.

Wakuu kwema? Poleni na mihangaiko ya maisha pamoja na Ups and Down za January.

Mada ya uzi wangu ni kama kichwa kinavyojieleza juu. Kwa wafuatiliaji wazuri wa JF na mitandao mingine duniani kwenye habari za Technology kumekuwepo na wimbi kubwa la watu wakisema wanatengeneza pesa nzuri kwa Ads haswa kupitia Google Adsense.

Katika jitihada za kujiongezea kipato mwaka huu nina mpango wa kumiliki website itakayojikita katika fani niliyobobea. Nipo kwenye maongezi ya awali na designer wa website pamoja na makubaliano ya gharama za utengenezaji pamoja na hosting hadi itakapo kuwa hewani.

Sasa basi dhumuni la andiko langu ni kutaka kupata shuhuda na ushauri kutoka kwa blogers ambao tayari wapo kwenye tasnia hii. Je ni kweli inalipa kiasi hicho kama watu wasemavyo? Je ni vitu gani vya kuzingatia unapoweka Ads za Adsense kwenye site yako? Kuna Ads Network nyingi jee ni lazima kutumia Ads Network moja kwa website moja au unaweza zaidi ya moja? Kama kutakuwa na ushauri mwingine wa ziada mbali na hayo maswali basi itakuwa msaada kwangu na kwa wengine ambao pia wana nia kama yangu.

Karibuni kwa michango.

images
Upande wangu Google Admob unaniweka mjini japo Nina Deni NMB bank na Loan Board ila nagonga glass mpaka workmate wanatoa macho, kwani wanajua Niko chini ya ⅓ pale Bodi ya mikopo walipoanza kuchukua pesa yao
 
Asante kwa ushauri mkuu, kule nipo pia na ni kweli kama usemavyo kule pia kuna madini ya kutosha sana. Ila lengo kuu la kuanzisha uzi humu ni kutaka kupata madini ya watu wa nyumbani nao nisikie wanasemaje si unajua maisha ya mbele tofauti na kwetu africa.
Biashara mtandao is not local. Kwa hip lazima utumie sana international platform, hapa kumepia sana ukitaka kushuhudia nenda jukwaa la tech gadget,science yani limedorora sana, update hakuna yani in mambo Yale Yale yaliopita ndio mengi.
 
Biashara mtandao is not local. Kwa hip lazima utumie sana international platform, hapa kumepia sana ukitaka kushuhudia nenda jukwaa la tech gadget,science yani limedorora sana, update hakuna yani in mambo Yale Yale yaliopita ndio mengi.
Zamani lile jukwaa la tech lilikuwa so hot sana miaka 2010 mpaka 2015 hivi, mimi mambo mengi najifunza njiani, Quora nipo kwasababu ya kusoma soma mambo ya historia tu.
 
Biashara mtandao is not local. Kwa hip lazima utumie sana international platform, hapa kumepia sana ukitaka kushuhudia nenda jukwaa la tech gadget,science yani limedorora sana, update hakuna yani in mambo Yale Yale yaliopita ndio mengi.
Yah ni kweli mkuu biashara ya mtandao its not local. Kupooza kwa jukwaa la Tech nadhani ni sababu ya sisi waafrica bado tumelala sana katika swala zima la technology.
 
Upande wangu Google Admob unaniweka mjini japo Nina Deni NMB bank na Loan Board ila nagonga glass mpaka workmate wanatoa macho, kwani wanajua Niko chini ya ⅓ pale Bodi ya mikopo walipoanza kuchukua pesa yao
Ha ha ha ha, Hongera sana mkuu. Hope nitafika pia huko kwenye Apps ngoja nianze na blogging kwanza.

"Kula bata mkuu hadi kuku aone wivu." :):)
 
Mkuu nakushauri nenda jiunge Quora.Lile jukwaa lina watu halisi wanaotoa ushauri wa kitaaluma na wengi ni Magwiji ktk hayo mambo nilisoma sana ushauri kule nilichagua njia ngumu ambayo napambana nayo.Mfano nilikuwa nastrago Ku master basics za java katika Class,object,method na construor.
How to call method nk. Kule nilipata ushauri wa kitabu mahususi for beginners na sasa na hio kitu nimeanza pata mwanga.Hivyo tutumie sight za hapa home na kimataifa pia.Tusiwe local sana.Nakwambia hakuna jukwaa nalolipenda kama Quora, LinkedIn niliitumia kidogo nikiwa chuoni nayo pia kuna wataalamu wanaweza kukushauri nini, volevile zingatia ushauri wa humu nao si haba.
Quora ni zaidi ya jukwaa mi nine subscribe hua wananitumia email
 
Upande wangu Google Admob unaniweka mjini japo Nina Deni NMB bank na Loan Board ila nagonga glass mpaka workmate wanatoa macho, kwani wanajua Niko chini ya ⅓ pale Bodi ya mikopo walipoanza kuchukua pesa yao
Kwenye hiyo App una create contents ?
 
Kama unaanza Blogging acha kwanza kufikiria unapataje pesa mwanzo tu, fikiria unaandaaje content nzuri, unapataje traffic kwenye blog yako. Ukianza na wazo la pesa utakata tamaa mapema Sana. Shusha content nzuri share sehem mbalimbali watu waitambue blog yako, then jifunze monetization.
 
Mkuu karibu kwenye fani lenye watu wenye roho mbaya, wanafiki na wabinafsi waliopindukia.

Huku watu hawashei trick wala nini. Utaambulia kuoneshwa Dollars kwenye dashboard.

Blogger wenye roho nzuri Tanzania ni 1/20,000

Tena kuna blogger wakijua hata blog yako wanakufanyia figifu ufungiwe matangazo.

Baada ya kusema hayo, nikwambie tu usitegemee makubwa kutoka kwa bloggers wa kibongo. Anza mwenyewe huku ukijifunza along the process taratibu na kukaza kigumu. It takes time
Mimi nina blg yangu ninaandika masuala ya afya hasa kisukari, ina miezi mitatu lakini traffic inaenda sawa. Nimeenga watu wanaozungumza kingereza na nimeifanyia matangazo ya kulipia sijapata adsense acccount bado sitaki za kununua nataka nipate ile yangu kabisa. Sina haraka kwasababu nina lengo la muda mrefu.
Uzuri ninakula pesa kwingine kupitia freelancing so sina haraka na pesa za adsense nataka niende kwa uhakika.
 
Mimi nina blg yangu ninaandika masuala ya afya hasa kisukari, ina miezi mitatu lakini traffic inaenda sawa. Nimeenga watu wanaozungumza kingereza na nimeifanyia matangazo ya kulipia sijapata adsense acccount bado sitaki za kununua nataka nipate ile yangu kabisa. Sina haraka kwasababu nina lengo la muda mrefu.
Uzuri ninakula pesa kwingine kupitia freelancing so sina haraka na pesa za adsense nataka niende kwa uhakika.
Binafsi ninazo 2. Moja Nilikuwa nafanya tricks ( zisizoathiri Adsense ) na traffic nikikuwa natoa Facebook. Ila Facebook siku hizi wamekuwa very strict, hivyo nimegundua tricks siyo long term solution, kama tricks inabidi kila mara utafute mpya.

So, nikaanzisha nyingine ambayo ni purely SEO-oriented.

Ingawa inatakuwa uwe patient maana Google wanaamini site kidogo kidogo kulingana na vigezo vyao.

Kuhusu blog za Afya unapaswa kuwa makini sana maana Google hawana utani, huwa zinapigwa sana penalty kwenye rankings. Ni kama ilivyo kwenye personal finance blogs.

Kuhusu Adsense binafsi sijawahi kushindwa kuipata, sijui why watu huwa wananunua ( Labda kama huna I.D au unakwepa usumbufu wa sanduku ka posta )

Matangazo umefanya Facebook ad au Google afs ?
 
Binafsi ninazo 2. Moja Nilikuwa nafanya tricks ( zisizoathiri Adsense ) na traffic nikikuwa natoa Facebook. Ila Facebook siku hizi wamekuwa very strict, hivyo nomegundua tricks siyo long term solution, kama tricks inabidi kila mara utafute mpya.

So, nikaanzisha nyingine ambayo ni purely SEO-oriented.

Ingawa inatakuwa uwe patient maana Google wanaamini site kidogo kidogo kulingana na vigezo vyao.

Kuhusu blog za Afya unapaswa kuwa makini sana maana Google hawana utani, huwa zinapigwa sana penalty kwenye rankings. Ni kama ilivyo kwenye personal finance blogs.
Mkuu unajua kwa muda mrefu nilikuwa nafanya issue za copy writing na SEO writing kwa blogs za watu wengi wa huko nje katika niche tofauti tofauti. Sasa ilifika kipindi nikawaza kwanini nisianzishe blog yangu? Ndiyo maana nimefanya hili.
Niko makini sana mpaka picha ninazotumia niko makini nazo
 
Mkuu unajua kwa muda mrefu nilikuwa nafanya issue za copy writing na SEO writing kwa blogs za watu wengi wa huko nje katika niche tofauti tofauti. Sasa ilifika kipindi nikawaza kwanini nisianzishe blog yangu? Ndiyo maana nimefanya hili.
Niko makini sana mpaka picha ninazotumia niko makini nazo
Uzuri wa blogs, ukishaanza kupata organic traffic tayari inakuwa ni money making machine, passive income.

Hutumii nguvu, hata ukisa umelala, unafanya mambo mengine dollar zinatiririka tu.
 
Uzuri wa blogs, ukishaanza kupata organic traffic tayari inakuwa ni money making machine, passive income.

Hutumii nguvu, hata ukisa umelala, unafanya mambo mengine dollar zinatiririka tu.
Yes ndiyo uzuri wake na ndiyo maana sitaki itengeneza kwa ujanja ujanja. Nataka nifuate njia za kawaida, kwasasa naifanyia matangazo ya kulipia ila lengo ni kwamba wanaotembelea wasiondoke kutokana na contents watakazokutana nazo. in future nategemea kutofanya matangazo tena.
 
Yes ndiyo uzuri wake na ndiyo maana sitaki itengeneza kwa ujanja ujanja. Nataka nifuate njia za kawaida, kwasasa naifanyia matangazo ya kulipia ila lengo ni kwamba wanaotembelea wasiondoke kutokana na contents watakazokutana nazo. in future nategemea kutofanya matangazo tena.
Ila nakushauri uombe Adsense kabisa ili ujihakikishie compliance.

Usije kutumia pesa kuipush halafu mwisho wa siku ukatakiwa kufanya marekebisho.

Ads gani unafanya ?
 
Kila la kheri Mkuu.

Mimi ninafikiria kuongeza articles na kufanya Link building.

Issue ni kwamba kuna matapeli sana, ni ngumu kupata freelancer sahihi.

Kuna wahindi wanafanya link building za kimagumashi kwaajili ya kutrick search engines tu.
Tafuta upwork na kabla ya kumpa kazi soma project zake za awali na review ya clients wake.
 
Back
Top Bottom