Waliopata mafanikio na Adsense, tunaomba ushuhuda na ushauri wenu

duuh nimekumbuka niko chuo niliangaika sana kuanzisha blog nakumbukuka michuzi ilikuwa hot sana niliangaika sana kupata adsense za google nilipata kwa kuomba kupitia website ya kampuni ndio nkapata adsense acccount ila nilikuwa ibiwa na mkenya fulani nilipokuwa bize na shule ilikuwa na dola 8 ..kuna jamaa nilikuwa nao hosteli walikuwa bize muda wote kutafuta habari na kufanya false clicking kwenye blogs za wengine wakose adsense..
Duuuh pole sana mkuu.
Kwahiyo jamaa walikua wanaona wenzao wanafaidi sana hadi kuwafanyia false clicking kweli wabongo nyoso 😂😂 kama Mkaruka alivyosema fani la watu wenye roho mbaya.
Hapo nimepata somo la kuwa anonymous haswa kwa wabongo ni muhimu.
 
Duuuh pole sana mkuu.
Kwahiyo jamaa walikua wanaona wenzao wanafaidi sana hadi kuwafanyia false clicking kweli wabongo nyoso 😂😂 kama Mkaruka alivyosema fani la watu wenye roho mbaya.
Hapo nimepata somo la kuwa anonymous haswa kwa wabongo ni muhimu.
Nao walikuwa wanalipa kisasi kuna wadau nao walikuwa wanatembea zao kwa false clicking
 
Asee na mi nipate msaada hapa , pia nina blog ina mwaka na miezi kadhaa hivii lkn contents za ndani zipo kwa kiswahili, google adsence nikiomba nanyimwa mpaka nimepause kupost ,labda nina kwama wap? For sure habari nyingi nakopi kwa mablogger wakubwa lakn
Google hawakubali lugha ya Kiswahili wala contents za kukopi. Unless hizo contents ziwe nafasi za kazi au nyingine zozote ambazo ni sawa kutumika Kwenye commercial purposes
 
duuh nimekumbuka niko chuo niliangaika sana kuanzisha blog nakumbukuka michuzi ilikuwa hot sana niliangaika sana kupata adsense za google nilipata kwa kuomba kupitia website ya kampuni ndio nkapata adsense acccount ila nilikuwa ibiwa na mkenya fulani nilipokuwa bize na shule ilikuwa na dola 8 ..kuna jamaa nilikuwa nao hosteli walikuwa bize muda wote kutafuta habari na kufanya false clicking kwenye blogs za wengine wakose adsense..
Ila watu wana roho mbaya aise, false clicking tena jamani ili tu mwenzio akose duuh.!!
 
Mafanikio yapo na ni makubwa ila siku hizi kuna changamoto sana ya adslimit,hii ndo inawakwamisha watu wengi wa blog na app zenye matangazo ya google adsense/admob kupishana na pesa kwa siku hizi

Ila mara nyingi kama una traffic ya SEO huwezi ona hizo changamoto we utapiga pesa tu maisha yako yote.
 
Mafanikio yapo na ni makubwa ila siku hizi kuna changamoto sana ya adslimit,hii ndo inawakwamisha watu wengi wa blog na app zenye matangazo ya google adsense/admob kupishana na pesa kwa siku hizi

ila mara nyingi kama una traffic ya SEO huwezi ona hizo changamoto we utapiga pesa tu maisha yako yote.
Hivi unaweza kupata changamoto ya Ads limit hata kama umeset Auto Ads ??
 
Mafanikio yapo na ni makubwa ila siku hizi kuna changamoto sana ya adslimit,hii ndo inawakwamisha watu wengi wa blog na app zenye matangazo ya google adsense/admob kupishana na pesa kwa siku hizi

ila mara nyingi kama una traffic ya SEO huwezi ona hizo changamoto we utapiga pesa tu maisha yako yote.
Wanaopigwa limit ni sababu ya traffics hazitokani na SEO au shida inakua nini zaidi mkuu? Kama ni hivyo hii si inawahusu sana wanaoshare links kwenye social networks na kwingineko?
 
wanaopigwa limit ni sababu ya traffics hazitokani na SEO au shida inakua nini zaidi mkuu? Kama ni hivyo hii si inawahusu sana wanaoshare links kwenye social networks na kwingineko?
Sometimes inatokea tu wakihisi kuna invalid clicks.

Mimi nina $47 lakini baada ya hapo nikaacha kushare imebaki hivyo hivyo tangu mwaka jana.

Hivi karibuni nikapokea email ya Ads limit. Ila baada ya kama wiki 2 matangazo yakarudi yenyewe.

Nahisi kwakuwa waliona ni $47 halafu miezi kibao haiongezeki wakadhani niliipata kwa manouvre.
 
Nawezaje kurudisha blog ambayo domain name sikurenew,google wakaifunga i mean nataka kuirudisha kwa jina lile lile.
 
Sometimes inatokea tu wakihisi kuna invalid clicks.

Mimi nina $47 lakini baada ya hapo nikaacha kushare imebaki hivyo hivyo tangu mwaka jana.

Hivi karibuni nikapokea email ya Ads limit. Ila baada ya kama wiki 2 matangazo yakarudi yenyewe.

Nahisi kwakuwa waliona ni $47 halafu miezi kibao haiongezeki wakadhani niliipata kwa manouvre.
Ada limit inapigwa Kama hakuna much ads request kwenye site yAko..kwa kifupi inapigwa hiyo Kama viewers wako chini ya kiwango....kwa maana ingine adsense hawawezi kudisply ads kwenye site ambayo hakuna viewers ..so ukiwa na viewers wengi hii kesi unaishinda cjap
 
Back
Top Bottom