Walichofanya HELSB sio haki!

Walichofanya HELSB sio haki!

Nyie JF badilisheji hiyo heading,inaonekana mnakubaliana nayo.
 
Boom sina, nadaiwa 300,000 ya ada kumalizia na mkopo wa 75,000 kwa friends.

Nadai 150,000 ambayo najua sitapata (bad debt) na 20,000 ambayo nitapata.

Kama mwezi uliopita jamaa mmoja ana uswahili akataka nimkopeshe hela anunue sabufa ili awapagawishe mademu zake wakija ghetto. Akadai akipata boom anirudshie, najua asingerudisha kwa hali hii.

Kuna girl alinichunia last week leo akanitext mchana eti nimtumie hela ya kula ana njaa. Sikumjibu kabisa akaja kutext jioni eti alikosea ile text, nafunga vioo najua hali si shwari.

Kuna mwingine huyo ni rafiki wa muda sana akalia shida na 10k. Nikaona kwa kuwa mlokole huyu nampa atakuwa ana shida kweli.
Tukio la HESLB sijalipokea vema maana tutasumbuana na watu uko, na hivi vigali vinavyoshusha na kubeba watu hapa vitaongezeka kwa sana.
 
Tajiri huyo.

Amepanga chumba analipa laki na 20 halafu analalamika maisha magumu.
Acha mambo ya ajabu. 120,000 si ni sawa na 20,000 @ month hela ndogo kabisa kuwahi kusikia ikiwa kodi ya chumba.

Maeneo ya vyuo vyumba gharama kubwa sana na vina ushindani. Labda kama analipa 120k kwa mwezi ambavyo hakuna kichaa wa kutumia boom kulipia kodi hiyo labda kama anakula mawe.
 
Unaweza kuta mtoa mada ni jamaa muuza maandazi amenunua vocha baada ya kupata faida
 
Boom sina, nadaiwa 300,000 ya ada kumalizia na mkopo wa 75,000 kwa friends.
Nadai 150,000 ambayo najua sitapata (bad debt) na 20,000 ambayo nitapata.

Kama mwezi uliopita jamaa mmoja ana uswahili akataka nimkopeshe hela anunue sabufa ili awapagawishe mademu zake wakija ghetto. Akadai akipata boom anirudshie, najua asingerudisha kwa hali hii.

Kuna girl alinichunia last week leo akanitext mchana eti nimtumie hela ya kula ana njaa. Sikumjibu kabisa akaja kutext jioni eti alikosea ile text, nafunga vioo najua hali si shwari.

Kuna mwingine huyo ni rafiki wa muda sana akalia shida na 10k. Nikaona kwa kuwa mlokole huyu nampa atakuwa ana shida kweli.
Tukio la HESLB sijalipokea vema maana tutasumbuana na watu uko, na hivi vigali vinavyoshusha na kubeba watu hapa vitaongezeka kwa sana.
Sijaelewa unahitaji nini haswa?
 
Boom sina, nadaiwa 300,000 ya ada kumalizia na mkopo wa 75,000 kwa friends.
Nadai 150,000 ambayo najua sitapata (bad debt) na 20,000 ambayo nitapata.
Kama mwezi uliopita jamaa mmoja ana uswahili akataka nimkopeshe hela anunue sabufa ili awapagawishe mademu zake wakija ghetto. Akadai akipata boom anirudshie, najua asingerudisha kwa hali hii.

Kuna girl alinichunia last week leo akanitext mchana eti nimtumie hela ya kula ana njaa. Sikumjibu kabisa akaja kutext jioni eti alikosea ile text, nafunga vioo najua hali si shwari.
Kuna mwingine huyo ni rafiki wa muda sana akalia shida na 10k. Nikaona kwa kuwa mlokole huyu nampa atakuwa ana shida kweli.
Tukio la HESLB sijalipokea vema maana tutasumbuana na watu uko, na hivi vigali vinavyoshusha na kubeba watu hapa vitaongezeka kwa sana.
Mkuu umenikimbusha mbali sana
 
Ndio sababu ya kusema kesho utakunywa sumu???

Jamani kwa kilichotokea Leo kutoka kwa Loan board siyo kitu cha kiungwana kwa watoto wa masikini Kama Mimi. Em fikiria nimepewa 306000 hapo crdb hawajakata chao.

Madeni ni Kama ifuatavyo
Ada -250000
Kodi ya nyumba - 120000
Boom advance - 124000 hivi kweli hapa nitamaliza chuo Mimi. Si bora niache tu?
 
acha kulalamika kijana, yote hayo yatapita tu ila hasira zako zisikufanye uache kwenda kupiga kura October , viva magufuri
 
Jamani kwa kilichotokea Leo kutoka kwa Loan board siyo kitu cha kiungwana kwa watoto wa masikini Kama Mimi. Em fikiria nimepewa 306000 hapo crdb hawajakata chao.

Madeni ni Kama ifuatavyo
Ada -250000
Kodi ya nyumba - 120000
Boom advance - 124000 hivi kweli hapa nitamaliza chuo Mimi. Si bora niache tu?

Naomba hiyo hela nitumie halafu ndo unywe sumu.
 
Mkataba unasema ni laki tano then unawapa wanafunzi laki 2 huku Watumishi wabunge,mawaziri na marudio ya chaguzi zisizo na tija yakila mabilioni ya pesa


Pesa za ndege mnazo lakini pesa za mikopo hamuna


Pesa za kufanya mambo yasiyo na tija kwa taifa munayo lakini za kuwapa wanafunzi mikopo hamuna


Wanafunzi msijiloge mkasaini hilo boom nawaambia msisaini ambacho hamjakielewa ni kinyume na kanuni walizoweka hao hao bodi ya mikopo


Ni mambo ya hovyo yanaendelea huku mkijimwafai kwamba tutembee kifua mbele nchi ina pesa mara tupo uchumi wa kati lakini hata wanafunzi wenu mnawanyima mikopo ya kusoma na hilo boom mnawapunja huku billions of money zikinunua madege mabovu,na kununua madiwani na wabunge

Wanafunzi msisaini msichokijua hilo boom msilisaini kabisa hadi pale mambo yatakapowekwa kwenye uwazi!
Huyo ndio JIWE nayemjua MIMI kwenye issue za PESA yaani akishaona hela kama hiyo inaenda huku anaona kama INAPOTEA na ndio maana akasema ipunguzwe dawa yake muonyesheni kwenye sanduku la KURA!!
 
Back
Top Bottom