Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,269
- Thread starter
- #101
Sio wa sodaAliyegundua bia na vinywaji vikali abarikiwe.
Sio wa sodaAliyegundua bia na vinywaji vikali abarikiwe.
Ahhahah wengine tuna tumia bangiMsio kunywa ni umbwa tu , haunywi una save pesa bank una shilingi ngapi gademit😅
Kumbe upo bongo kupambana na beinya mafutaUnyama sana ukinywa supu ya kichwa na ukashusia gongo,unajihsi upo iran unalipua kambi za kijeshi za US.
Sifuti kitu mkuu na siombi msamaha na si ignore mtu tena , waliobaki humo wakafie mbali , hapa tutabanana bwashee 😆Kesho utaanza kufuta comments zako mkuu
Kila mtu ana foundation yake ila napendelea
Dah mm nitajulia wapi sio vitu vyanguHuo hua tunawaagizia madem zetu.. Wanyabi ni kiti moto na ugali wa kutosha. Na tukimaliza kula tunakunywa tena. Konyagi na supu ya kuku wapi na wapi mkuu. Supu asubuhi, tena ya kongoro ndo inakaa vizuri, unashushia na kischana cha nyagi.
NB; Nimesahau mara ya mwisho nimekula kuku lini..
Kila la kherii..Sifuti kitu mkuu na siombi msamaha na si ignore mtu tena , waliobaki humo wakafie mbali , hapa tutabanana bwashee 😆
Heri ipo kitambo bwashee 😁Kila la kherii..
Hapana wee si ndio mambo yakoKwahiyo huo mlo ni special kwa walevi tu sio?
Naona umewaita walevi peke yao tu.
Ngoja nijifunze kitu hapahii inatakiwa iwe starter mkuu..
Anza na hii kitu, utakaa bar mpaka waanze kukusanya vitu na kuzima TV.
Ime kukosha sanaGrande manView attachment 3569587
AminaWalevi na uwanja wenu
Time ya watu wa church nishtueni
Bwana asifiwe🤝
After you..Hahaha walevi ndio walipa kodi wa hiyari , wewe ambaye haupendi walevi na unaona wanafeli maisha weka Bank statement au credit report yako hapa😁
Usiwasemehe wanywa vyoda na walokole 😅After you..
Utakuja kunishkuru mkuu.Ngoja nijifunze kitu hapa
Walokole wamekukaa kooni😏Usiwasemehe wanywa vyoda na walokole 😅
Hiyo bangi wanakuuzia mchicha bwasheeAhhahah wengine tuna tumia bangi
Hahahahaaaa.. Karibu kwenye huu limwengu. Hatunaga keleleDah mm nitajulia wapi sio vitu vyangu
😀 wajinga wajinga tu haoWalokole wamekukaa kooni😏