Walevi nawaomba hapa leo

Walevi nawaomba hapa leo

Una jisikiaje ukisha kunywa bia zako au wine au pombe kali kisha uka shushia na mlo kama huu pilipili ikiwa nyingiii

View attachment 3569524
Huo hua tunawaagizia madem zetu.. Wanyabi ni kiti moto na ugali wa kutosha. Na tukimaliza kula tunakunywa tena. Konyagi na supu ya kuku wapi na wapi mkuu. Supu asubuhi, tena ya kongoro ndo inakaa vizuri, unashushia na kischana cha nyagi.

NB; Nimesahau mara ya mwisho nimekula kuku lini..
 
Back
Top Bottom