Walevi nawaomba hapa leo

Walevi nawaomba hapa leo

Omurushaka _kyerwa _Nkwenda_Kayanga 🙌 Tanzania ni kubwa sana aisee
TZ Ni kubwa sana.
Na Kule ni mbali sana aisee.

Kuna kadada tulikutana nae kule Nkwenda , kwa kukisia ni kama hajavuka 23 yrs hivi.
Wakat tunakutana nae tulikuwa weng weng. Kakasalimia , mm nikagona shikamoo, kiutan utan na nikasema 😂😂😂 ww rika langu.

Akaondoka. wenyej ndio wakaniambia yule msichana ameolewa na ana watoto 6 .
Dah 🙌 🙌.
kumbe mm ndio nilitakiwa kukasalimia. 😂😂😂😂

Watu wa pande zile wana vizaz aisee.
 
TZ Ni kubwa sana.
Na Kule ni mbali sana aisee.

Kuna kadada tulikutana nae kule Nkwenda , kwa kukisia ni kama hajavuka 23 yrs hivi.
Wakat tunakutana nae tulikuwa weng weng. Kakasalimia , mm nikagona shikamoo, kiutan utan na nikasema 😂😂😂 ww rika langu.

Akaondoka. wenyej ndio wakaniambia yule msichana ameolewa na ana watoto 6 .
Dah 🙌 🙌.
kumbe mm ndio nilitakiwa kukasalimia. 😂😂😂😂

Watu wa pande zile wana vizaz aisee.
Misosi uhakika kule na pia vijana wadogo walau miaka 18 kupanda juu wanahamasishwa sana kuoa basi ni hapo mtoto asipoendelea na mambo ya shule si ajabu kijana wa miaka 17 eti naye ana mke 😀
 
Jana namuambia min -me kuwa kaka mkubwa yupo safarini hivyo sidhani kama uzi wenyewe atauona alinikatalia katakata labda umekuja umwambie wewe .

Nafurahi kama umefika salama japo wanasema usinywe wakati unaendesha ila sidhani kama inazuia kufika kikomo cha safari yoyote
Nilikua na muda mrefu sijasafir Leo ndio imetimia week tangu nilipo ondoka ALHAMISI week iliyo pitaa...

Jana kuanzia dodoma mvua sanaa mpaka dar es salaam..

Kuna eneo tulikuta ajari ya gari Costa ya chuo cha udom na gari ndogo zimepasuana vibaya..

Asante sanaaaaaa kaka tulifika salama dar es salam
 
Pole Mzee.

Km 1,100 sio mchezo.
Kuna kipind nilisafir kwa Bus. Kutoka Dar - Kagera- Omurushaka - alaf kwa private kutoka Omurushaka -Kyerwa - Nkwenda.

Sijawah safiri safari ndefu namna ile.
Masaa 27 uko kwa gar.
Km 1,400 hiv
Yeah , hata madereva Huwa Wana kili kua dar es salaam _ bukoba ni mbali sana.. pia mwanza songea pia ni mbali sana..

Muda mrefu sikua nimesafiri kilometer nyingi ivyo acha mzee sio mchezooo
 
Back
Top Bottom