Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,265
- Thread starter
- #141
Acha zakoHiyo bangi wanakuuzia mchicha bwashee
Acha zakoHiyo bangi wanakuuzia mchicha bwashee
Ata mm naonaHahahahaaaa.. Karibu kwenye huu limwengu. Hatunaga kelele
Uhakika wa nini?Hahaha una uhakika?
Jina jingine anaitwa robhi,,gattyBhoke tulia, mangi nakula bia zangu hapa😅 nawaza vijana wanichomee ubavu mzima wa mbuzi au niache , kesho nile supu na chapati🤣🤣🤣
walevi wa nini: Bangi, kangara, chan'gaa, mapuya, bia, ugali, madawa ya kulevya, gongo, ......Una jisikiaje ukisha kunywa bia zako au wine au pombe kali kisha uka shushia na mlo kama huu pilipili ikiwa nyingiii
View attachment 3569524
KweliiiBia, mbuzi choma,ndizi choma na chipsi hii supu ukimaliza kunywa ndio huwa ya mwisho kutumika.
Woteewalevo wa nini: Bangi, kangara, chan'gaa, mapuya, bia, ugali, madawa ya kulevya, gongo, ......
Yaani nimeangalia picha tu nahisi kama nimesikia harufu ya shombo ya hiyo supu.Kwa hii supu utatapika kuanzia uyole hadi mwakaleli mkuu!
Supu ikiandaliwq vizuri huwezi kuhisi hiyo shombo ya karaha unayosema jamani inakua tam sanaYaani nimeangalia picha tu nahisi kama nimesikia harufu ya shombo ya hiyo supu.
Mnywaji supu yake ni kongoro na kwa asubuhi hata ya nyama ya ng'ombe au mtori inapanda, ila ya kuku ni nyepesi sana afu inashombo
Siwezi nisiwe muongo naweza nikarudisha chenji nahisi kinyaa au ni picha?Una jisikiaje ukisha kunywa bia zako au wine au pombe kali kisha uka shushia na mlo kama huu pilipili ikiwa nyingiii
Nimesema mimi hio ni kutapika vibaya sana picha tu nilivyoona nikajua huyu hatutakii mema kabisaKwa hii supu utatapika kuanzia uyole hadi mwakaleli mkuu!
Ila ya kuku kwenye mambo ya mitungi imenishindaga Kuna kaharufu huwa na kahisi mpaka kwenye nyama yenyewe, huwa kananikera. Mi kuku labda roast au wa kukaanga na kuchoma hapo naeza maliza kuku mzima ila supu hapana.Supu ikiandaliwq vizuri huwezi kuhisi hiyo shombo ya karaha unayosema jamani inakua tam sana
Hapo kwenye mambo ya mitungi hapoIla ya kuku kwenye mambo ya mitungi imenishindaga Kuna kaharufu huwa na kahisi mpaka kwenye nyama yenyewe, huwa kananikera. Mi kuku labda roast au wa kukaanga na kuchoma hapo naeza maliza kuku mzima ila supu hapana.
Kweli umebobeaYaani nimeangalia picha tu nahisi kama nimesikia harufu ya shombo ya hiyo supu.
Mnywaji supu yake ni kongoro na kwa asubuhi hata ya nyama ya ng'ombe au mtori inapanda, ila ya kuku ni nyepesi sana afu inashombo
Kaka nilikua safari ndio nimerud Leo nimesafiri kilometer 1100Dah nimewasahau ma daktari wenzangu kwenye mkeka wa ulevu aseee Dr am 4 real PhD
Haaahaa 😊Una jisikiaje ukisha kunywa bia zako au wine au pombe kali kisha uka shushia na mlo kama huu pilipili ikiwa nyingiii
View attachment 3569524
Pole Mzee.Kaka nilikua safari ndio nimerud Leo nimesafiri kilometer 1100
Aisee kama taifa hii nchi Kuna maeneo barabara ni mbovu mno yaani barabara lami imechoka sanaa 😊
Omurushaka _kyerwa _Nkwenda_Kayanga 🙌 Tanzania ni kubwa sana aiseePole Mzee.
Km 1,100 sio mchezo.
Kuna kipind nilisafir kwa Bus. Kutoka Dar - Kagera- Omurushaka - alaf kwa private kutoka Omurushaka -Kyerwa - Nkwenda.
Sijawah safiri safari ndefu namna ile.
Masaa 27 uko kwa gar.
Km 1,400 hiv