Walevi nawaomba hapa leo

Walevi nawaomba hapa leo

Sio lazima kushushia. Mlo kama huo mi huwa nasimamisha tungi, nachapa mlo halafu naendelea na tungi kama kawa.
Wewe unajifunza pombe. Uunakunywa hujala? Maajabu..

Nikufundishe tu. Ukinywa hujala unalewa halaka. Ukila baada ya kunywa unatapiika, unajikojolea, unakuwa mgomvi, unatukana watu, unalala mitaroni.

Huo ndo ukweli hutaki unaacha.

Kanuni kula ndo unywe. Sio pombe tu., hata maji
 
Wewe unajifunza pombe. Uunakunywa hujala? Maajabu..

Nikufundishe tu. Ukinywa hujala unalewa halaka. Ukila baada ya kunywa unatapiika, unajikojolea, unakuwa mgomvi, unatukana watu, unalala mitaroni.

Huo ndo ukweli hutaki unaacha.

Kanuni kula ndo unywe. Sio pombe tu., hata maji
Kijana pombe haina kanuni rasmi bali ni wewe na kichwa yako, unaweza kula kwanza na ukatapika vilevile.

Jua unakunywa nini, unakunywa ngapi na unatakiwa kula nini kabla, wakati au baada ya kunywa.

Ndio tatizo la vijana mnaokunywa kwa mob na vibes, mnataka kunywa kutepeta.

Mimi nimekwambia hivyo kwasababu gambe ni my daily routine na sio kitu nachopania ati "leo nilewe".
 
Kijana pombe haina kanuni rasmi bali ni wewe na kichwa yako, unaweza kula kwanza na ukatapika vilevile.

Jua unakunywa nini, unakunywa ngapi na unatakiwa kula nini kabla, wakati au baada ya kunywa.

Ndio tatizo la vijana mnaokunywa kwa mob na vibes, mnataka kunywa kutepeta.

Mimi nimekwambia hivyo kwasababu gambe ni my daily routine na sio kitu nachopania ati "leo nilewe".
Naomba tuheshiane. Usiniite kijana tena.

Ukishindwa kuniheshimu basi heshimu ID yangu. Umejiunga 2019 mimi nimejiunga 2010.

Unajiungajf mi nshaozesha. Kama umetumwa ushindwe kwa jina la Yesu
 
Naomba tuheshiane. Usiniite kijana tena.

Ukishindwa kuniheshimu basi heshimu ID yangu. Umejiunga 2019 mimi nimejiunga 2010.

Unajiungajf mi nshaozesha. Kama umetumwa ushindwe kwa jina la Yesu
Pole, punguza jazba.

Na pia usitegemee mtu ataangalia id yako kabla ya kureply mzee.

Unakuza mambo bila sababu.
Uwe na wakati mwema.
 
Back
Top Bottom