Very possible, makato yanaweza fika hata $20.Grreetings.
Nina pesa kwenye Payoneer account, niko stage ya ku Order kadi yao, ila kiasi kilichopo nilitamani nikijaribishe kukifanyia Withdrawal kuja bank account ya Tanzania.
Nina maswali machache kuhusu process hii...
1. Is it possible ka transfer from USD payoneer account to TZS CRDB account?
2. How are the charges?
3. Je, nkisubiri card yao, inawezekana kwenda any VISA ATM nkaweza withdraw without challenges?
Naombeni muongozo na maelezo zaidi wadau
REGARDS
1. Yes it is possible, I do that every now and then. It usually takes 1 day to reflect to my Equity if the withdraw is made between Monday to Thursday. A friend has CRDB and it usually take him upto 3 days.Grreetings.
Nina pesa kwenye Payoneer account, niko stage ya ku Order kadi yao, ila kiasi kilichopo nilitamani nikijaribishe kukifanyia Withdrawal kuja bank account ya Tanzania.
Nina maswali machache kuhusu process hii...
1. Is it possible ka transfer from USD payoneer account to TZS CRDB account?
2. How are the charges?
3. Je, nkisubiri card yao, inawezekana kwenda any VISA ATM nkaweza withdraw without challenges?
Naombeni muongozo na maelezo zaidi wadau
REGARDS
Mkuu ni Instant au within a few minutes. Every 28th ya kila mwez napokeaga malipo via xoom, ntumaji akishatuma ananitumia ile link ya kutrack via email haipiti hata dakika muamala wa airtel money unasoma. Kama mpaka sasa haijasoma kuna shidam au alikutumia ela nyingi sana nini?Inachukua muda gani kupokea pesa kutoka Zoom PayPal kuja Tigopesa. Kuna hela nimetumiwa tangu tarehe 26 mwezi huu, haijafika. Naombeni msaada Wakuu.
Kama pound 850 hivi. Itakuwa ndio shida? Hiyo tracking ananitumia vipi mkuu. Nipo na stress kweli.Mkuu ni Instant au within a few minutes. Every 28th ya kila mwez napokeaga malipo via xoom, ntumaji akishatuma ananitumia ile link ya kutrack via email haipiti hata dakika muamala wa airtel money unasoma. Kama mpaka sasa haijasoma kuna shidam au alikutumia ela nyingi sana nini?
kuna mida inachukua mpaka wikiInachukua muda gani kupokea pesa kutoka Zoom PayPal kuja Tigopesa. Kuna hela nimetumiwa tangu tarehe 26 mwezi huu, haijafika. Naombeni msaada Wakuu.
Hivyo ni hali ya Kawaida? Nisubiri wiki.kuna mida inachukua mpaka wiki
Naona jamaa kasema kuna muda inachukua week, mimi kiasi kikubwa ambacho nshawahi kukipokea via xoon ni $1200 nayo ni ndani ya dakika mara nyngi ni $250-400.Kama pound 850 hivi. Itakuwa ndio shida? Hiyo tracking ananitumia vipi mkuu. Nipo na stress kweli.
unaweza itrack pia, kama aliandika email yako, au yeye aitrack aone iko kwenye status gani, ila kufika wiki ni kawaidaHivyo ni hali ya Kawaida? Nisubiri wiki.
Nashukuru Wakuu. Ngoja nisubiri nione.Naona jamaa kasema kuna muda inachukua week, mimi kiasi kikubwa ambacho nshawahi kukipokea via xoon ni $1200 nayo ni ndani ya dakika mara nyngi ni $250-400.
So sikilizia halafu mimi wanaitumaga airtel.
Linki mimi wanaifuma kwenye email nikiclick naona pesa imefika wapi au iko step gan via xoom
Mbali na PayPal
OkayAsante sana. Nitafanya hii.