mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 277
- 548
1. Mtu ameweka picha kwenye page yake kumbe sio yeye bali ni picha ya rafikiake/mdogoake au nduguake gani sijui.
2. Mnakubaliana for a meeting, mwenzio anaanza kulia njaa mara anataka atumiwe pesa ya kula kwanza mara pesa ya nauli. Na ukituma pesa anazima simu au anakublock mazima!
Mdau karibu tuendelee kuweka masaibu yaliyokukuta kwenye hizi online dating platforms
2. Mnakubaliana for a meeting, mwenzio anaanza kulia njaa mara anataka atumiwe pesa ya kula kwanza mara pesa ya nauli. Na ukituma pesa anazima simu au anakublock mazima!
Mdau karibu tuendelee kuweka masaibu yaliyokukuta kwenye hizi online dating platforms