Na naona vile vile tu kama zilivyo slots au casino gamesWale wa FIFA 22 na Mortal Kombat...na wale wa hii michezo ya Online kupitia kampuni na platform mbali mbali.. ukiachana na teknolojia inayotumika,kuna utofauti gani watu wangu?
Games za online zipo za aina mbiliWale wa FIFA 22 na Mortal Kombat...na wale wa hii michezo ya Online kupitia kampuni na platform mbali mbali.. ukiachana na teknolojia inayotumika,kuna utofauti gani watu wangu?
Tom crancy the division series ni online tu?Games za online zipo za aina mbili
1. Game unadownload kwenye kifaa chako inasave tu progress online, hizi huwa hazizingui sana na zinafanana tu na za Offline.
2. Game ambayo ipo Hosted online kabisa na wewe unistream, hizi zinakula MB za kutosha na inataka usiwe na internet ya mawazo na uwe karibu na server.
Hizo za online pia ni Computer hivyo hakuna utofauti wa game ya online na offline,
Ndio online tuTom crancy the division series ni online tu?
Okay okay nishakusomaGames za online zipo za aina mbili
1. Game unadownload kwenye kifaa chako inasave tu progress online, hizi huwa hazizingui sana na zinafanana tu na za Offline.
2. Game ambayo ipo Hosted online kabisa na wewe unistream, hizi zinakula MB za kutosha na inataka usiwe na internet ya mawazo na uwe karibu na server.
Hizo za online pia ni Computer hivyo hakuna utofauti wa game ya online na offline,