ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
- Thread starter
- #81
Last edited by a moderator:
ladyfurahia kwanza kabisa namwombea msamaha maalum nikiwa kama mama mkwe wake (@Nicas Mtei)
umsamehe na usahau yote yaliyokukwaza.
Ukishamsamehe wewe atakuwa amesamehewa hata huku Mbinguni.
Kwa kuwa ni mtoto wangu nitamkumbusha amri iliyo kuu na ile inayofanana nayo na bila shaka haitatokea tena.
Inawezekana nimekukosea kwa sababu nimesema ukweli kuwa sijui habari zako?hebu ona anavyonikana huyu utafikiri hanijui vile kumbe ni wa moyoni kabisa wewe nenda MWANZA kampe ukweli wake mm nitakata ticketi ya FASTJET ili ufike haraka huko
sasa huyo mtu unayemwambia kuwa anamjua Mungu amenikana leo mbele ya kadamnasi sijui kwanin wakati watu wa Mungu huwa wanawapenda na kuwajali wengine hususani hata kama sio mpendwa mwenzako, kwani maandiko matakatifu yanasema mpende jirani yako kwa moyo wako wote, hata yule wa mbali si ni jirani pia? kwanini yeye mtu wa Mungu anakuwa hivyo? naomba umwongoze sala ya toba, na aombe msamaha hapa
kama umekwazika na kuboreka katikati yetu oky usijali ingawaje unanifahamu na sio kunijua tengeneza kiswahili chako, nisamehe kwa hilo View attachment 83766 sikujua kuwa wewe ni View attachment 83767 ingawaje sasa nimetambua na kusema kuwa forgive me best View attachment 83768 pokea suluhu yetu toka kwa dada Zion Daughter View attachment 83769
ladyfurahia kwanza kabisa namwombea msamaha maalum nikiwa kama mama mkwe wake (Nicas Mtei)
umsamehe na usahau yote yaliyokukwaza.
Ukishamsamehe wewe atakuwa amesamehewa hata huku Mbinguni.
Kwa kuwa ni mtoto wangu nitamkumbusha amri iliyo kuu na ile inayofanana nayo na bila shaka haitatokea tena.
Sidhan kama nimekukana. Nimesema kuwa sizijui habari zako. In real sense kweli mi nawezaje kuzijua habari zako? Za nini? Ntajua habari za wangapi katika maisha ya kila siku?
Hujanikosea chochote. Nilishangaa tu kuona unaposema watu waniulize habari zako.
don't worry best tusifike mbali ndugu
nimekuelewa ila tambua njia unayoelekea sasa
Hujanikosea chochote. Nilishangaa tu kuona unaposema watu waniulize habari zako.
don't worry best tusifike mbali ndugu
nimekuelewa ila tambua njia unayoelekea sasa
Nakusubiri ujueMatokeo ya wana JF kuonana ana kwa ana kubadilishana number za simu, nakutoa ahadi bila kujua historia ndo haya tunanza kuyaona na bado! Waliowakisha musumah pande zote mbili chungeni musije mukachomeka. lakiini wagombanao ndio wapatanao.-----watch this space!!!!!
Matokeo ya wana JF kuonana ana kwa ana kubadilishana number za simu, nakutoa ahadi bila kujua historia ndo haya tunanza kuyaona na bado! Waliowakisha musumah pande zote mbili chungeni musije mukachomeka. lakiini wagombanao ndio wapatanao.-----watch this space!!!!!
usisahau kuwa hapa ni chitchat. Nakushangaa ulvyokuja pm kuniuliza. Nimekushangaa sana ujue.
Mkwe wanakugombea shauri zako.