ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
- Thread starter
- #21
mhm! huyo Baba V kweli anaweza hiyo kazi mbona alikimbia pale mambo yalipokuwa makubwa jamani?
Ndoa yangu iilipita kwa Askofu Filipo na msaidizi wake Mtambuzi kwahiyo katika sheria ya KATIBA ya CC ipo na ila labda hatukuitambulisha kwa mwongoza ibada Baba V, nitapeleka kile cheti cha ndoa akione na atie saini yake pale kama takubali akikataa atakuwa na kijiba cha roho
Ndoa yangu iilipita kwa Askofu Filipo na msaidizi wake Mtambuzi kwahiyo katika sheria ya KATIBA ya CC ipo na ila labda hatukuitambulisha kwa mwongoza ibada Baba V, nitapeleka kile cheti cha ndoa akione na atie saini yake pale kama takubali akikataa atakuwa na kijiba cha roho
Last edited by a moderator: