Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Matokeo ya wana JF kuonana ana kwa ana kubadilishana number za simu, nakutoa ahadi bila kujua historia ndo haya tunanza kuyaona na bado! Waliowakisha musumah pande zote mbili chungeni musije mukachomeka. lakiini wagombanao ndio wapatanao.-----watch this space!!!!!
We jamaa una matatizo gani? Unajua nakushangaa ulvyokomalia hili swala kwenye PM. Hapa ni JF. Tena CC. So watch your steps.