Wale wagombanao ndio Wapatanao

Wale wagombanao ndio Wapatanao

Makubwa!!!Naona thread hii imechafuka sasa..Wagombanao imekuwa wagombanao kweli kwenye keyboard.
Daddy Mwita Maranya come zis wei nahitaji hekima zako.

Nicas Weka!!!! nami nikuvue ngozi uliyovaa. Utatukana sisi wote ZD,ladyfurahia na mimi. Wala sitaki unioe FYI. Kumekucha kaka!!!

Samahani ZD, sina ID nyingine. Uliza Nicas ananifahamu vizuri!!
 
Last edited by a moderator:
hahaha. Hli ni liroho la ugomvi lmekuja. Nalipuuza

Samahani kaka Nicas. PM hutumika kupasha habari za kibinafsi, au kupasha habari ambazo zinaweza zua utata, au kuepuka aibu, naona hulewi. Sio tuu kutongoza na matusi. Mimi naona hivi vile hii "bond" is impossible to break, nakuhitaji na nitazidi kukuhitaji utekeleze majukumu, ningependa kukomesha huu ugomvi. Natoka humu chitchat kwa leo nikupe nafasi ujivinjari na hao warembo wengine. Ila nauliza hivi, jana usiku uliingiliwa na pepo gani hilo? Hadi ukavua rinda la Yesu????!!!! Your secret is safe with me, bye bye Nicas! ZD tulia yameisha!!!
 
Samahani kaka Nicas. PM hutumika kupasha habari za kibinafsi, au kupasha habari ambazo zinaweza zua utata, au kuepuka aibu, naona hulewi. Sio tuu kutongoza na matusi. Mimi naona hivi vile hii "bond" is impossible to break, nakuhitaji na nitazidi kukuhitaji utekeleze majukumu, ningependa kukomesha huu ugomvi. Natoka humu chitchat kwa leo nikupe nafasi ujivinjari na hao warembo wengine. Ila nauliza hivi, jana usiku uliingiliwa na pepo gani hilo? Hadi ukavua rinda la Yesu????!!!! Your secret is safe with me, bye bye Nicas! ZD tulia yameisha!!!

hahahahaha. Unahtaji ushauri kutoka kwa Madame B. Inawezekana una tatizo kubwa.. Mweleze yeye halafu ataniambia tatizo lako.
 
Last edited by a moderator:
Naomba uchunge kinywa chako tena huombe msamaha mm nina familia yangu nanina mume ambaye nikichat hapa huo naye yuko karibu usinivunjie ndoa yangu bure hapa nakuheshimu sana tena sana sina ugomvi wa kumgombea best wangu naomba usijenge chuki nami na Nicas Mtei namheshimu na kumthamini kama kaka yangu na nimemuweka katika familia yetu hivyo mkwe usiwe mchochezi hapa hapa tunapatanisha tu na sio kugombana hapa ONDOA HIYO DHANA POTOFU
Mkwe wanakugombea shauri zako.
 
Last edited by a moderator:
walionikosea nimewasamehe... na plz niliowakwaza kwa namna yyote ile naomba mnisamehe... its new day!
 
Naomba uchunge kinywa chako tena huombe msamaha mm nina familia yangu nanina mume ambaye nikichat hapa huo naye yuko karibu usinivunjie ndoa yangu bure hapa nakuheshimu sana tena sana sina ugomvi wa kumgombea best wangu naomba usijenge chuki nami na Nicas Mtei namheshimu na kumthamini kama kaka yangu na nimemuweka katika familia yetu hivyo mkwe usiwe mchochezi hapa hapa tunapatanisha tu na sio kugombana hapa ONDOA HIYO DHANA POTOFU

jamani jamani..... inakuaje hapa? hii ni JF tu jamani
 
Naomba uchunge kinywa chako tena huombe msamaha mm nina familia yangu nanina mume ambaye nikichat hapa huo naye yuko karibu usinivunjie ndoa yangu bure hapa nakuheshimu sana tena sana sina ugomvi wa kumgombea best wangu naomba usijenge chuki nami na Nicas Mtei namheshimu na kumthamini kama kaka yangu na nimemuweka katika familia yetu hivyo mkwe usiwe mchochezi hapa hapa tunapatanisha tu na sio kugombana hapa ONDOA HIYO DHANA POTOFU

Mambo ccta 🙂dont take things too serious JF
 
Last edited by a moderator:
Hii hali inatisha sana. Kuna ndoa nyingi kati ya muislam na mkristu, sielewi wanataka hao wanandoa waje kuchinjana, au ndugu wa pande hizo mbili waanze kupigana vikumbo? Tuangalie utanzania wetu jamani
 
Kwa wote mliokwazika, vunjika moyo, mliokasirika, mlionuna, mliotabasamu, mliocheka, mliosinzia humu jimboni, mliofurahi na kufurahishwa sana kwa comments zote, mlioshangaa na kuona maajabu ya aina yake humu mjengoni, mliiotapika ovyo na kuona kinyaa, mliokuwa na shauku na hamu ya kuona watu wanaotoa ngeu ovyo na kuleta vijembe vya hapa na pale, mlioangalia na kutizama tu bila kucoment chochote hapa, naomba mnisamehe kwa yote nia ya mada hii ni kuwekana sawa na kufurahishana tu na sio vinginevyo.

Kwani nimeona watu wakigombana humu si mchezo na wengine wakinuna bila hata kununishwa,
samahani kwa wote nia kubwa ilikuwa ni kupatanisha na sio kugombanisha
Nawapenda wote wanajamvi wenzangu mlioshiriki
CC: Nicas Mtei (aliyekuwa kinara humu mjengoni) Agush (aliyekuwa mchochezi humu ndani) Mamndenyi (kinara mkuu), Zion Daughter (Aliyetoa maneno matamu yaliyo mabichi), CUTE, Erickb52 (aliyeinifariji) samahani sana km nimewakwaza kwani nawapenda
 
Last edited by a moderator:
ladyfurahia,
kwa nafasi uliyonipa ya ukiranja mkuu kwenye huu uzi
chukua zawadi yako
images


Kwa wote mliokwazika, vunjika moyo, mliokasirika, mlionuna, mliotabasamu, mliocheka, mliosinzia humu jimboni, mliofurahi na kufurahishwa sana kwa comments zote, mlioshangaa na kuona maajabu ya aina yake humu mjengoni, mliiotapika ovyo na kuona kinyaa, mliokuwa na shauku na hamu ya kuona watu wanaotoa ngeu ovyo na kuleta vijembe vya hapa na pale, mlioangalia na kutizama tu bila kucoment chochote hapa, naomba mnisamehe kwa yote nia ya mada hii ni kuwekana sawa na kufurahishana tu na sio vinginevyo.

Kwani nimeona watu wakigombana humu si mchezo na wengine wakinuna bila hata kununishwa,
samahani kwa wote nia kubwa ilikuwa ni kupatanisha na sio kugombanisha
Nawapenda wote wanajamvi wenzangu mlioshiriki
CC: Nicas Mtei (aliyekuwa kinara humu mjengoni) Agush (aliyekuwa mchochezi humu ndani) Mamndenyi (kinara mkuu), Zion Daughter (Aliyetoa maneno matamu yaliyo mabichi), CUTE, Erickb52 (aliyeinifariji) samahani sana km nimewakwaza kwani nawapenda

Copy: Nicas Mtei (Mkwe)
 
Agush umezoea kuparamia kila mahali hapo kwa mkwe wangu pamekushinda
unakimbilia kuja kutolea povu humu,
nenda huko huko PM
usituchafulie hali ya hewa hapa, useless.

Afu wewe umefanya iwe explosive kwa inbox yangu? he he heee Umeshinda usiku kucha ukinitumia matusi tupu. Nami nakushangaa kweli, Kama ni chitchat uchungu wa nini? Bahati mbaya sheria haziruhusu ni weke yale maneno umetumia hapa. Swali langu kubwa najiuliza ni, wewe nimutumishi kweli? maana lugha ambaye unatumia ni chafu muno,mutumishi hapana!!!! Nakushauri hivi 40 days countdown ilianza kitambo!!!! Watch this space!!
 
Last edited by a moderator:
Hii yako imenigusa ndugu yangu, ingawa kwangu mimi haikuwa halisi zaidi maana tuligombana tokea 2010 hadi sasa 2013 kila mtu ana time yake, NAONGELEA KINDOA ZAIDI. Yetu ilikuwa haina kupatana walahi, maana kila mtu alikuwa na sababu zake za msingi tuu, isipokuwa udume ukizidi wakati mwingine huwa unaharibu mambo yote, maana ujike nao una muda wa kusubiri na muda ukipita basi inakuwa imetoka hiyo ikirudi pancha, maisha inabidi yasonge tuu, kwa taabu kwa raha inabidi yasonge tuu. kuna usemi usemao; HAKUNA PENZI BILA MAUMIVU NA HAKUNA MAUMIVU BILA PENZI.
 
asante MamaGp kuwepo hebu wapatanishe hawa
 
Last edited by a moderator:
yani umenena mwana nakupa bigup ila umeshasamehe na kutokugombana tena
Hii yako imenigusa ndugu yangu, ingawa kwangu mimi haikuwa halisi zaidi maana tuligombana tokea 2010 hadi sasa 2013 kila mtu ana time yake, NAONGELEA KINDOA ZAIDI. Yetu ilikuwa haina kupatana walahi, maana kila mtu alikuwa na sababu zake za msingi tuu, isipokuwa udume ukizidi wakati mwingine huwa unaharibu mambo yote, maana ujike nao una muda wa kusubiri na muda ukipita basi inakuwa imetoka hiyo ikirudi pancha, maisha inabidi yasonge tuu, kwa taabu kwa raha inabidi yasonge tuu. kuna usemi usemao; HAKUNA PENZI BILA MAUMIVU NA HAKUNA MAUMIVU BILA PENZI.
 
Back
Top Bottom