Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,242
Sipendi ladyfurahia awe ladyhuzuni...Tatizo lilipo ntakuja Mwanza nikuambie...hali si hali kiaje tena? kuna tatizo gani?
Sipendi ladyfurahia awe ladyhuzuni...Tatizo lilipo ntakuja Mwanza nikuambie...hali si hali kiaje tena? kuna tatizo gani?
Sipendi ladyfurahia awe ladyhuzuni...Tatizo lilipo ntakuja Mwanza nikuambie...
si unamkana kama Petro alivyomkana Yesu.huzuni yake itatokana na nini? karibu sana MWANZA
mhm! huyo Baba V kweli anaweza hiyo kazi mbona alikimbia pale mambo yalipokuwa makubwa jamani?
Ndoa yangu iilipita kwa Askofu Filipo na msaidizi wake Mtambuzi kwahiyo katika sheria ya KATIBA ya CC ipo na ila labda hatukuitambulisha kwa mwongoza ibada Baba V, nitapeleka kile cheti cha ndoa akione na atie saini yake pale kama takubali akikataa atakuwa na kijiba cha roho
na ingine hii ya kiss ona sasa tulivyotokelezea hapa
NADHANI HAPPO SASA UMESHANIELEWA ZAIDI MAANA WEWE UNATUDHARAU SANA ACHA NIMWAMBIE ALIYETUANDIKISHA NDOA YETU Filipo [QUOTE =Baba V;5730675]Naona una simplifai tu mambo eeh!!! angalia wewe, napitia mafaili yangu hapa then nakujia[/QUOTE]huzuni yake itatokana na nini? karibu sana MWANZA
kwani wewe hujui kabisa ulivyonitenda mpaka usikie Zion Daughter aseme ndipo useme kuwa nina huuzuni ni kweli unanisononesha sana kwa kukataa kuwa hujui mambo yangu oky, namwachia Mungu mie
Usijali mamito.wagombanao ndio wapatanao..Kasuluhisheni PM na Nicas Mtei . Najua anatuzuga tu hapa lakn ukweli anaujua.kwani wewe hujui kabisa ulivyonitenda mpaka usikie Zion Daughter aseme ndipo useme kuwa nina huuzuni ni kweli unanisononesha sana kwa kukataa kuwa hujui mambo yangu oky, namwachia Mungu mie
kwani wewe hujui kabisa ulivyonitenda mpaka usikie Zion Daughter aseme ndipo useme kuwa nina huuzuni ni kweli unanisononesha sana kwa kukataa kuwa hujui mambo yangu oky, namwachia Mungu mie
Usijali mamito.wagombanao ndio wapatanao..Kasuluhisheni PM na Nicas Mtei . Najua anatuzuga tu hapa lakn ukweli anaujua.
si unamkana kama Petro alivyomkana Yesu.
Niandalie Sato..
tuache uongo kabisa... kweli kuna habari yoyote kuhusu wewe ambayo mimi naijua? kuwa mkweli kabisa
kweli sina haja ya kuzuga kabisa yaani.... je wewe waweza kueleza usichokijua?
Ugomvi huu ni wa nini? muna nganganiya nini au nani?? Oooooh wagombanao ndio wapatanao,Nicas upo wapi???
Nicas Mtei wewe unamjua Mungu
hauwezi kabisa kuwa na hicho kitufe.
sikujua kuwa wewe ni
ingawaje sasa nimetambua na kusema kuwa forgive me best
pokea suluhu yetu toka kwa dada Zion Daughter
huzuni yake itatokana na nini? karibu sana MWANZA
sasa huyo mtu unayemwambia kuwa anamjua Mungu amenikana leo mbele ya kadamnasi sijui kwanin wakati watu wa Mungu huwa wanawapenda na kuwajali wengine hususani hata kama sio mpendwa mwenzako, kwani maandiko matakatifu yanasema mpende jirani yako kwa moyo wako wote, hata yule wa mbali si ni jirani pia? kwanini yeye mtu wa Mungu anakuwa hivyo? naomba umwongoze sala ya toba, na aombe msamaha hapa