Canabian Rasta
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 776
- 1,725
Ok
Narudia tena.. hakuna kama Serengeti duniani. Sio Tanzania wala Africa.. I mean duniani. Ambao hamjawahi kufika Serengeti poleni sana.
View attachment 2611470
Yaani mil3 naweza kwenda Dubai na kushangaa siku mbili tatu?Kama hujawahi kutoka nje ya nchi na unataka kuona dunia ya kwanza ikoje nenda Dubai. Gharama hazitishi na visa yake inapatikana kirahisi. Nauli kwenda na kurudi around $500, hotel siku 3/4 around $200, maana yake ukiwa na $1,000 unapata na pocket money $300.
Huku si ndio kuliwashinda viongozi wa Simba?KINAPA❤️
Biden
Pale naona wazungu ndo inawafaa pamekaa kama uswazi sjui ndo african culture
Unajua mlima kilimanjaro ukifika sehemu yoyote ya mkoa wa kilimanjaro unauona,Habari wadau,ninaplan ya kutembelea mlima kilimanjaro mwaka huu. Nitakuwa na familia so sidhan kama nitapanda mlima ila nataka kujua sehem gani nitaweza kuona mlima vizuri,sehemu yenye hotel au lodge nzuri na gharama nafuu na pia sehemu nitakayoweza kupiga selfie kali kali
What?Burigi-Chato National Park
Brother you are missedHotels mbona kawaida sana. Kuanzia $50 hotel zinaridhisha kabisa. Kutembea huna haja ya mwenyeji. Google sehemu za kutembelea ukiwa Dubai then unaenda mwenyewe tu tena usitumie taxi bei mbaya,tumia dubai metro iko straightfoward unafika sehemu nyingi sana kwa bei chee.
Hakikisha unafika Wag HillHaya nipo Mwanza, Wap nisiache kupita kutalii?
Nataka mwakani niende Mtwara na Lindi ili niwe nimekamilisha kufika mikoa yote ya Tanganyika.Habari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.
Karibu uweke comment yako.
-LushotoHabari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.
Karibu uweke comment yako.
$1,000 si ni kwenye Tsh 2.3M kwahiyo kumbe inatosha kabisa kwenda na kuridi? Ngoja niache uzembe niingie hata Dubai kuhusu kulala nitalala hata stendi.
Sema nikirudi ntakuwa nimechoka sana hata hela ya daladala nitakua sina
Granmelia 🥰
Vipi huwa wanakutafuna ?
Dubai Standi?,..vp kuhusu afya ya Marinda kutafunwa?
Hawawezi sababu silali stand!,..wewe je watakuwa wamekutafuna mara nyingi eti?Vipi huwa wanakutafuna ?
Kama unajua ukilala stendi unatafunwa basi umeshatafunwaHawawezi sababu silali stand!,..wewe je watakuwa wamekutafuna mara nyingi eti?