Karibu mkuu.Ila wadau vacation ni muhimu sana kuweka kichwa sawa.
Hata kama umepigika kiasi gani jitahidi kwenda vacation at mara moja kwa mwaka ukakae sehemu na familia hata siku mbili tatu. Inasaidia sana kutuliza kichwa na kuweka muunganiko wa familia.
Maisha mafupi haya tusiishie kuchangia harusi tu, tuweke na akiba kidogo kwenda vacation na familia hata mara moja kila mwaka. Kuna raha sana kukaa fukwe za bahari na familia zetu. Kubadilisha mazingira ya nyumbani na pia kula misosi tofauti na ya nyumbani.
Napenda vacation
Kale kagofu kapo kwenye ule uchochoro! Sijawahi ingia pale ile nikipita naona Ka swimming pool ndaniKuna kahotel kamoja kako Bagamoyo kanaitwa Firefly niliendaga na famikia Christmas moja. Tulienjoy sana
Ukitaka kuiona tazama wimbo wa Marioo - Ifunanya wameshuti pale.
Ndio kalekale, kazuri sana halafu wanapapenda wazungu sana sana. Tulikaa pale siku tatu tukajihisi kama tupo ulaya flani. Pia hata bei sio rafiki kwa wazalendo wanalipa kwa USDKale kagofu kapo kwenye ule uchochoro! Sijawahi ingia pale ile nikipita naona Ka swimming pool ndani
Kama hujawahi kutoka nje ya nchi na unataka kuona dunia ya kwanza ikoje nenda Dubai. Gharama hazitishi na visa yake inapatikana kirahisi. Nauli kwenda na kurudi around $500, hotel siku 3/4 around $200, maana yake ukiwa na $1,000 unapata na pocket money $300.Habari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.
Karibu uweke comment yako.
Hili ndiyo lile jiwe marehemu Pombe alipiga picha akiwa amelala chini?Naunga mkono hoja kwa mjumbeView attachment 1915981
Ila Lushoto kwakweli ni ulaya ndogo jamani tuseme ukweli, mkuu tuongezee picha kidogo please
Lushoto ni ulaya
Mbauda na NyarugusuHabari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.
Karibu uweke comment yako.
Lushoto kama unapenda kupumzikaHabari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.
Karibu uweke comment yako.